Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Unaujua mpira mkuu. Umenena vena. Ni kweli wote walikuwa vizuri. Lakini kipindi chao wapo walikuwa vizuri na record nzuri zaidi yao. Lakini kati ya hao wote nakumbuka ni Eto alionewa ksbb ya uafrika. Lakini kiuhalisia ule mwaka fulani ilikuwa aidokoe yeye. Wakaipiga darizMkuu weka na miaka ambayo walifanya vizuri utagundua kwamba hawakustahili.
Kuna kipindi messi alipiga magoli 92 ndani ya mwaka mmoja (pele 75) . Haya ni magoli ambayo etoo au drogba au henry wangechukua miaka mitatu au minne kuyafunga.
Kipindi henry anawika kulikuwa na Ronaldinho , kipindi cha gerald alikuwepo Zidane.
11. seadolfWachezaji hawa walistahili hii tuzo lakini nyakati hazikuwa sahihi kwao:
1. Thierry Henry
2. Steven Gerald
3. Didier Drogba
4. Samuel Etoo
5. Frank Lampard
6. Robert Lewandowski
7. Arjen Roben
8. Wesley Sneijder
9. Toni Kroos
10. Andrea Pirlo
Shevchenko mzuri ila sio 2003/2004,kuna sehemu unakwama ndugu, Acha kumfananisha Shevchenko na mambo ya kipuuzi.
Soma vizuri Screenshotssasa stats za EPL ndio zikupe tunzo ya mchezaji bora wa Ulaya?
Soma vizuri Screenshots
Henry UCL kacheza mechi 10 goli 5 assist 7 dakika 889 sawa na kila dakika 74 anafunga ama kutoa pasi ya goli
Sheva mwaka huo huo mechi 9 ana Goli 4 na assist 1.
So UCL pia Henry alikua na stats nzuri kuliko Sheva, na ukiangalia aina ya Uchezaji wao Henry alikua team Player zaidi.
Umeelewa nini pale mtoa mada aliposema hazikuwa nyakati sahihi kwao?Kipindi henry anawika kulikuwa na Ronaldinho , kipindi cha gerald alikuwepo Zidane.
Soma vizuri Screenshots
Henry UCL kacheza mechi 10 goli 5 assist 7 dakika 889 sawa na kila dakika 74 anafunga ama kutoa pasi ya goli
Sheva mwaka huo huo mechi 9 ana Goli 4 na assist 1.
So UCL pia Henry alikua na stats nzuri kuliko Sheva, na ukiangalia aina ya Uchezaji wao Henry alikua team Player zaidi.
Mkuu, nahisi wewe utakuwa na chuki binafsi dhidi ya Beckham. Ama la, basi hukuwa mfuatiliaji mzuri wa mpira wa zama hizo.Huyu bishoo hakuwa mkali kivile, ni tabia tu ya waingereza kukuza vyao.
2003/2004 Chelsea kafika nusu Uefa, hakukua na timu hata moja ya Italy Nusu, Fainali ilikua Ufaransa (Monaco) na Ureno (Porto).EPL bado haikuwa power house league kwa kipindi hicho, Henry ali flop vibaya sarie A kabla kukimbilia EPL Retirement league ya wakati huo kwenda kutengeneza heshima.
Nimekupa link mwaka 2003/04 ligi ya Uingereza ilikua bora kuliko Serie A so point Hio ni kamba unatupiga,football early 2000's haikua kama ya sasa ya kuhisabiana magoli na assist, Uwezo wa Sheva ulikua ni mkubwa sana ukilinganisha na Henry. Standard ya Ligi ya Italia nayo ilikua ni kubwa sana ukilinganisha na England.
Pongezi hii ni batili...imetupwa kapuniHongera Mnec MessiView attachment 2799388
Nimekupa link mwaka 2003/04 ligi ya Uingereza ilikua bora kuliko Serie A so point Hio ni kamba unatupiga,
Pia Sheva ni more of a poacher wakati Henry alikua complete player Ukiangalia assist data Unaelewa.
Hizo data nilizoweka ni za club tu bado timu ya Taifa, 2004 Ukraine walitolewa kufuzu hata Euro hawakwenda ila Henry walifika robo.
Kushindilia msumari Kaka alikua best player wa Milan 2004
Na akachukua uchezaji bora wa Serie A huo mwaka, So haimake sense Kaka awe bora Milan na bora Serie A kisha Shevchenko awe mchezaji bora wa Dunia kwa kufunga Magoli 4 tu UCL.
Nimeanza kuangalia mpira since 90s unachoongelea wewe ni Historia, sababu mchezaji Zamani alikua mzuri basi Ashinde tu, badala ya kuongelea facts za msimu husika.Ikiwi uliishi kwenye hizo zama basi huwezi zungumza upuuzi kama huo kama Henry alikua ni zaidi ya Sheva. SHeva alikua ni completely Striker.
Nimeanza kuangalia mpira since 90s unachoongelea wewe ni Historia, sababu mchezaji Zamani alikua mzuri basi Ashinde tu, badala ya kuongelea facts za msimu husika.
Beckam namzidi 10 yrs.Mkuu, nahisi wewe utakuwa na chuki binafsi dhidi ya Beckham. Ama la, basi hukuwa mfuatiliaji mzuri wa mpira wa zama hizo.
Maana huwezi kuchukizwa na style ya nywele na uvaaji wa Beckham, ukasahau upambanaji wa huyu jamaa
Mimi sijauliza nani anamzidi mwenzake kati yako na Beckham. Nimeongelea kuhusu kufuatilia vizuri mpira kwa kipindi hicho.Beckam namzidi 10 yrs.
Kwa hiyo nilimwangalia nikiwa naujua kabisa mpira. Anyway tuyaache huyo alikuwa anaujua sana kuliko hata akina Figo.Mimi sijauliza nani anamzidi mwenzake kati yako na Beckham. Nimeongelea kuhusu kufuatilia vizuri mpira kwa kipindi hicho.
Huenda ubishoo wake nje ya uwanja hukupendezwa nao hivyo ukaacha na kufuatilia vizuri takwimu zake katika michezo. Ila jamaa uwanjani alikuwa halembi.
Kumbuka nae rivaldo mwaka mmoja nyuma alifika fainali ya kombe la dunia na timu yake taifa na mwaka huo 1999 alibeba copa America na timu yake ya taifa.Beckham leo anaanza timu yoyote duniani, jamaa alikua anacheza mpira wa kisasa kwenye muda wa zamani.
Kama hufahamu, Beckham hakua bishoo, alikua anakaba mpaka kivuli, alikua anakimbia vibaya mno, kama unavyoona watu design ya Ngolo kante na Ji sung park sababu alikua anavaa vizuri na kuweka style za nywele usifikiri alikua bishoo uwanjani.
High-energy Beckham
Kevin Mitchell on how the England captain achieves the phenomenal workrate that took England through to the World Cup finals.www.theguardian.com
Huo msimu on average Beckham alikimbia km 14,
Kuhusu 1999 Beckham kawabeba Man United Champions league hadi final, wakabeba UCL. Walibeba FA na Ligi pia timu pekee iliochukua treble kabla ya City msimu uliopita. Na alieshinda hio tuzo Rivaldo alitolewa na Man U makundi UCL.
Hii tuzo miaka Yote ina Bias kwa Wachezaji wanaocheza Uingereza.