Wachezaji wanaovuta mkwanja mrefu Yanga SC

Wachezaji wanaovuta mkwanja mrefu Yanga SC

Mtaweweseka sana.
Mkuu kwani huoni kazi ya Mayele??? Huo mshahara wanalipwa hao wazurulaji hauendani na output yao kiwanjani..
Ndio maana Kuna Wana Yanga wamejitokeza kumpa ng'ombe Mayele kumbe mshahara wake hautoshi
 
Mbona mzungu analipwa kuliko makolo wote?!
 
Alafu binti kazumari anataka tuwakatae GSM

Bila GSM hi mishahara tungeweza kulipa?
 
Back
Top Bottom