makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
MO ndio anayetakiwa kujiuzulu yeye ndio ameyataka yote ayaNi ujinga tu, tumekula 5 na mapungufu yameonekana wazi, ubora wa mpinzani wetu umeonekana
Wakimaliza uchunguzi wao wote watatajwaWachezaji watano mnataja watatu hao wawili ni akina nani?
Mo kafanyaje?MO ndio anayetakiwa kujiuzulu yeye ndio ameyataka yote aya
Na mimi pia nashangaaWachezaji watano mnataja watatu hao wawili ni akina nani?
Hata nyie mbona mlipigwa yakapita?? Nashangaa hapa msimbazi...Mbona wenzenu walivumilia yakapitaView attachment 2806922