ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mnge anza na Tatu Malogo ndio kaleta yote haya, alikua anawafichia ugonjwa mmekutana na dokitari bingwa mmefanyiwa full body analysisHata nyie mbona mlipigwa yakapita?? Nashangaa hapa msimbazi...
Upuuzi tuu wa kumsema Tatu..nyie mmebebwaaa na mibahasha yenu msimu ulopita...watu tukamyuti...Mnge anza na Tatu Malogo ndio kaleta yote haya, alikua anawafichia ugonjwa mmekutana na dokitari bingwa mmefanyiwa full body analysis
Haya majamaa ujinga wao ni wa kiwango cha juu Sana.Simba wehu sana, vimepoteana. Hivi vilijiona ni PSG flani hiviiπ€£π€£. Wanashikana uchawiiii Saaa!
Moderators waniombe Radhi kwa kufuta Uzi wangu wa Juzi kuwa Inonga, Kapombe, Manula, Chama na Baleke Wameihujumu Simba SC na Kufungwa 5 kwa 1 na Yanga SCWachezaji watano wa Simba Sc akiwemo Henock Inonga, Cloutos Chama, na Shomary Kapombe wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi yao baada ya kufungwa na Yanga SC mabao 5-1 siku ya jumapili
Wachezaji hao wanatuhumiwa kuihujumu timu kitendo kilichopelekea kupoteza kwa idadi kubwa ya mabao
Maamuzi hayo yamefanyika katika kikao cha bodi ya wakurugenzi ya Simba kilichofanyika jana jijini Daresalam
Chanzo cha uhakika kutoka Simba SC kuwa uongozi umeshapata ushahidi wa awali kuhusu tuhuma dhidi ya wachezaji hao na sasa imeanza uchunguzi wa kina ili kujiridhisha
Wachezaji hao watakua nje ya kambi ya timu mpaka hapo maamuzi mengine yatakapofanyika
Chanzo hicho kimesema huwenda leo klabu ya Simba ikatoa taarifa ya wazi kwa Umma juu ya maamuzi waliyofikia kuhusu wachezaji hao wau wasitoe ila wahusika wamepewa taarifa
Maamuzi mengine yaliyofikiwa na bodi ni kufutwa kazi kwa kocha mkuu Robertinho, msaidizi wake pamoja na kocha wa viungo.
View attachment 2806921
Kama wamesimamishwa kweli na uliowataja ndo wahusika mods wanapaswa kukuomba radhi hadharani na kukupa heshima yako ya kuiinua JF kwa kuleta taarifa kabla ya habari rasmi.Moderators waniombe Radhi kwa kufuta Uzi wangu wa Juzi kuwa Inonga, Kapombe, Manula, Chama na Baleke Wameihujumu Simba SC na Kufungwa 5 kwa 1 na Yanga SC
Don Miguel Gamond.Gamond mtu mbad
Tuliwaambia lakini πππGamond mtu mbad
ni kweli?View attachment 2806905
Wachezaji watano wa Simba Sc akiwemo Enock Inonga na Clatous Chota Chama wamesimamishwa kazi kupisha uchunguzi dhidi yao baada ya kufungwa na Yanga SC mabao 5-1 siku ya Jumapili.
Wachezaji hao wanatuhumiwa kuihujumu timu kitendo kilichopelekea kupoteza kwa idadi kubwa ya mabao
Maamuzi hayo yamefanyika katika kikao cha bodi ya Wakurugenzi ya Simba kilichofanyika jana jijini Dar es salaam
Chanzo cha uhakika kutoka Simba SC kimeiambia Kishamba Media kuwa uongozi umeshapata ushahidi wa awali kuhusu tuhuma dhidi ya wachezaji hao na sasa imeanza uchunguzi wa kina ili kujiridhisha
Wachezaji hao watakua nje ya kambi ya timu mpaka hapo maamuzi mengine yatakapofanyika
Chanzo hicho kimesema huwenda leo klabu ya Simba ikatoa taarifa ya wazi kwa Umma juu ya maamuzi waliyofikia kuhusu wachezaji hao au wasitoe ila wahusika wamepewa taarifa
Maamuzi mengine yaliyofikiwa na bodi ni kufutwa kazi kwa kocha mkuu Robertinho, msaidizi wake pamoja na kocha wa viungo.
Kishamba Updates
Watu walidharau hatimaye uzi wako umekuwa kweli , wakuombe radhi kwa kweli.Moderators waniombe Radhi kwa kufuta Uzi wangu wa Juzi kuwa Inonga, Kapombe, Manula, Chama na Baleke Wameihujumu Simba SC na Kufungwa 5 kwa 1 na Yanga SC
Doh kumbe kweliModerators waniombe Radhi kwa kufuta Uzi wangu wa Juzi kuwa Inonga, Kapombe, Manula, Chama na Baleke Wameihujumu Simba SC na Kufungwa 5 kwa 1 na Yanga SC
ππππππ Huyu ndo angekua wa kwanza kusepaHuyu Scout Mkuu hajatimuliwa?View attachment 2806969
Unalia ukiwa wapi mamaReformation. Wareform kuanzia uongozi wasiwaonee wengine tu.
TANOOOO......nikidogooooo?simba aisee . wakiliwa kidogo tu, mtafaruku