Wachezaji wawili bora kwangu kwa mwaka 2024 ndani ya Simba Sports Club

Wachezaji wawili bora kwangu kwa mwaka 2024 ndani ya Simba Sports Club

Joined
Nov 27, 2024
Posts
43
Reaction score
127
Mwaka 2024 unaisha leo, kesho majaliwa ni mwaka 2025, nimeona kikosi chote cha wachezaji wangu wa Simba Sports Club, kiukweli hadi kufikia leo binafsi ni wachezaji wawili tu ndani ya timu yangu ukimuondoa kiungo wa pembeni Elie Mpanzu ambaye ndio kwanza anajitafuta na ambaye nina matarajio naye makubwa sana kijana huyu.

Mchezaji wa kwanza ambaye amenivutia na ana mchango mkubwa mno kwa sasa ndani ya Simba ni Kibu Dennis.

Kibu kwa sasa ndio uti wa mgongo wa Simba, kwanza aliwafunga Yanga bao wakati wa mzunguko wa kwanza lakini lilikakataliwa kuwa ni offside, Kibu ametoa mchango mkubwa sana kwenye Ligi ya Mabingwa, aliwafunga Al Ahly Tripoli na kutuvusha hatua ya makundi, Kibu akawaua Cfxien ya Tunisia na kutupa sana furaha, Kibu juzi aliwapelekesha Singida Black Stars mnooo.Huyu ni assets sana kwa sasa, hakuna beki wa pembeni hapa Afrika anayetamani kukabiliana na shujaa huyu wa Simba kwa sasa.

Wa pili ni kipa Camara, aisee kuna mazingira ambayo bwana mdogo huyu ametuokoa sana wanasimba, amefanya saves katika mazingira ambayo wote tuliamini ni bao lakini kijana huyu alitusaidia sana wanasimba.

Wengine ongezeni bidii kuanzia kesho na hasa mechi kule Tunisia, tukifungwa kule Tunisia tutakuwa katika wakati mgumu sana.
 
Mwaka 2024 unaisha leo, kesho majaliwa ni mwaka 2025, nimeona kikosi chote cha wachezaji wangu wa Simba Sports Club, kiukweli hadi kufikia leo binafsi ni wachezaji wawili tu ndani ya timu yangu ukimuondoa kiungo wa pembeni Elie Mpanzu ambaye ndio kwanza anajitafuta na ambaye nina matarajio naye makubwa sana kijana huyu.

Mchezaji wa kwanza ambaye amenivutia na ana mchango mkubwa mno kwa sasa ndani ya Simba ni Kibu Dennis.

Kibu kwa sasa ndio uti wa mgongo wa Simba, kwanza aliwafunga Yanga bao wakati wa mzunguko wa kwanza lakini lilikakataliwa kuwa ni offside, Kibu ametoa mchango mkubwa sana kwenye Ligi ya Mabingwa, aliwafunga Al Ahly Tripoli na kutuvusha hatua ya makundi, Kibu akawaua Cfxien ya Tunisia na kutupa sana furaha, Kibu juzi aliwapelekesha Singida Black Stars mnooo.Huyu ni assets sana kwa sasa, hakuna beki wa pembeni hapa Afrika anayetamani kukabiliana na shujaa huyu wa Simba kwa sasa.

Wa pili ni kipa Camara, aisee kuna mazingira ambayo bwana mdogo huyu ametuokoa sana wanasimba, amefanya saves katika mazingira ambayo wote tuliamini ni bao lakini kijana huyu alitusaidia sana wanasimba.

Wengine ongezeni bidii kuanzia kesho na hasa mechi kule Tunisia, tukifungwa kule Tunisia tutakuwa katika wakati mgumu sana.
Wewe ni chasambi uliye advance.
 
Simba kama tahasisi watakua si waungwana kama watasahau/kujizima Data kutoa pongezi kwa Marefa ambao bila kupepesa wamefanya kazi kubwa ku mweka Tembo juu ya Mti.
Kama si ao marefa Leo Kocha Fadru na baadhi ya wachezaji wangekua wamesha timuliwa klabuni.

Sisi wadau wa soka tunaendelea kuangalia awa marefa je wataweza ku msaidia uyo Tembo kuendelea kubaki juu ya uo Mti ambao matawi yake muda si mrefu yata shindwa kuvumilia uo uzito.

Ni Tanzania tu katika soka timu Moja Ina wastani wa kupata penalty Kila mchezo na marefa Wana Fanya kazi kubwa ya kupata matokeo kuliko wachezaji.
 
Simba kama tahasisi watakua si waungwana kama watasahau/kujizima Data kutoa pongezi kwa Marefa ambao bila kupepesa wamefanya kazi kubwa ku mweka Tembo juu ya Mti.
Kama si ao marefa Leo Kocha Fadru na baadhi ya wachezaji wangekua wamesha timuliwa klabuni.

Sisi wadau wa soka tunaendelea kuangalia awa marefa je wataweza ku msaidia uyo Tembo kuendelea kubaki juu ya uo Mti ambao matawi yake muda si mrefu yata shindwa kuvumilia uo uzito.

Ni Tanzania tu katika soka timu Moja Ina wastani wa kupata penalty Kila mchezo na marefa Wana Fanya kazi kubwa ya kupata matokeo kuliko wachezaji.
🐸🐸🐸miezi miwili ni mingi mtaumia sanaa unafikiri simba inapata penalt na magoli ya mkono kama ninyi nyumbuuu
 
Simba kama tahasisi watakua si waungwana kama watasahau/kujizima Data kutoa pongezi kwa Marefa ambao bila kupepesa wamefanya kazi kubwa ku mweka Tembo juu ya Mti.
Kama si ao marefa Leo Kocha Fadru na baadhi ya wachezaji wangekua wamesha timuliwa klabuni.

Sisi wadau wa soka tunaendelea kuangalia awa marefa je wataweza ku msaidia uyo Tembo kuendelea kubaki juu ya uo Mti ambao matawi yake muda si mrefu yata shindwa kuvumilia uo uzito.

Ni Tanzania tu katika soka timu Moja Ina wastani wa kupata penalty Kila mchezo na marefa Wana Fanya kazi kubwa ya kupata matokeo kuliko wachezaji.
Upo sahihi mkuu,, mwenyewe nahisi ni maagizo ya wazi marefa wanapewa...pia Amini wale marefa wanaochezesha mechi ni selected purposefully to fulfill da mission for Simba to secure three points in each mach.....shame! Ni aibu kwa mpira wa Tanzania kwa nikionacho mzunguko huu wa kwanza....
 
Back
Top Bottom