Wachezaji wazamani wa Simba ambao walikuwa mashabiki wa Yanga na wachezaji wa zamani wa Yanga walio kuwa mashabiki wa Simba

Wachezaji wazamani wa Simba ambao walikuwa mashabiki wa Yanga na wachezaji wa zamani wa Yanga walio kuwa mashabiki wa Simba

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
MUOGOPE MUNGU:
USIMTAJE MCHEZAJI AMBAE BADO ANACHEZA ILI USIMSABABISHIE MAZINGIRA MAGUMU KWENYE AJIRA YAKE.

Wachezaji wa zamani walikuwa weledi Sana. Mchezaji wa simba hata Kama alikuwa shabiki wa Yanga Lia Lia lakini linapo kuja suala la kazi yake mchezaji huyo alipiga kazi kweli kweli . Vivyo hivyo na kwa upande wa pili mchezaji wa Yanga hata Kama alikuwa shabiki wa Simba Lia Lia lakini lilipokuja suala la kazi yake hakuwa na mchezo hata kidogo.

Sifa kuu ya wachezaji hao ilikuwa siku akicheza na timu anayo ishabikia ata upiga mwingi kuliko kawaida yake ili kuwaonyesha mashabiki kwamba yupo kikazi zaidi na sio kimahaba.

Hii ni baadhi ya wachezaji hao.

1. Mohamed Mwameja .... Shabiki Lia Lia wa Yanga.

2. George Masatu ...shabiki wa Yanga.

3. Duwa Saidi - Yanga Lia Lia

4. Thomas Kipese...... Simba Lia Lia

5. Athumani China ...Simba Lia Lia.

6. Godwin Mwansasu .... Simba Lia Lia .

Funguka na wewe wachezaji wa zamani unao wajua
 
Dua Said na Thomas Kipese (uncle Tom) waiitesa Yanga sana, walikuwa wanafunga karibia kila gemu.

MUOGOPE MUNGU:
USIMTAJE MCHEZAJI AMBAE BADO ANACHEZA ILI USIMSABABISHIE MAZINGIRA MAGUMU KWENYE AJIRA YAKE.

Wachezaji wa zamani walikuwa weledi Sana. Mchezaji wa simba hata Kama alikuwa shabiki wa Yanga Lia Lia lakini linapo kuja suala la kazi yake mchezaji huyo alipiga kazi kweli kweli . Vivyo hivyo na kwa upande wa pili mchezaji wa Yanga hata Kama alikuwa shabiki wa Simba Lia Lia lakini lilipokuja suala la kazi yake hakuwa na mchezo hata kidogo.

Sifa kuu ya wachezaji hao ilikuwa siku akicheza na timu anayo ishabikia ata upiga mwingi kuliko kawaida yake ili kuwaonyesha mashabiki kwamba yupo kikazi zaidi na sio kimahaba.

Hii ni baadhi ya wachezaji hao.

1. Mohamed Mwameja .... Shabiki Lia Lia wa Yanga.

2. George Masatu ...shabiki wa Yanga.

3. Duwa Saidi - Yanga Lia Lia

4. Thomas Kipese...... Simba Lia Lia

5. Athumani China ...Simba Lia Lia.

6. Godwin Mwansasu .... Simba Lia Lia .

Funguka na wewe wachezaji wa zamani unao wajua
Mkuu mbona kama Tom Kipesa alikuwa mchezaji wa Simba?
 
MUOGOPE MUNGU:
USIMTAJE MCHEZAJI AMBAE BADO ANACHEZA ILI USIMSABABISHIE MAZINGIRA MAGUMU KWENYE AJIRA YAKE.

Wachezaji wa zamani walikuwa weledi Sana. Mchezaji wa simba hata Kama alikuwa shabiki wa Yanga Lia Lia lakini linapo kuja suala la kazi yake mchezaji huyo alipiga kazi kweli kweli . Vivyo hivyo na kwa upande wa pili mchezaji wa Yanga hata Kama alikuwa shabiki wa Simba Lia Lia lakini lilipokuja suala la kazi yake hakuwa na mchezo hata kidogo.

Sifa kuu ya wachezaji hao ilikuwa siku akicheza na timu anayo ishabikia ata upiga mwingi kuliko kawaida yake ili kuwaonyesha mashabiki kwamba yupo kikazi zaidi na sio kimahaba.

Hii ni baadhi ya wachezaji hao.

1. Mohamed Mwameja .... Shabiki Lia Lia wa Yanga.

2. George Masatu ...shabiki wa Yanga.

3. Duwa Saidi - Yanga Lia Lia

4. Thomas Kipese...... Simba Lia Lia

5. Athumani China ...Simba Lia Lia.

6. Godwin Mwansasu .... Simba Lia Lia .

Funguka na wewe wachezaji wa zamani unao wajua
Zamoyoni Mogela
 
Back
Top Bottom