Wachezaji wazamani wa Simba ambao walikuwa mashabiki wa Yanga na wachezaji wa zamani wa Yanga walio kuwa mashabiki wa Simba

Wachezaji wazamani wa Simba ambao walikuwa mashabiki wa Yanga na wachezaji wa zamani wa Yanga walio kuwa mashabiki wa Simba

bakari Malima jembe ulaya ……… makorokoroo lia lia
Edward chumilaa ………………. mwananchii
 
tangu wazaliwe Mohamed Mwameja na Paul Masautu hawajawai kuwa wana -yanga, aliye kuwa mwana yanga ni Hussein Masha ………. za mbayuawu changanya na zakwako.
 
tangu wazaliwe Mohamed Mwameja na Paul Masautu hawajawai kuwa wana -yanga, aliye kuwa mwana yanga ni Hussein Masha ………. za mbayuawu changanya na zakwako.
Mwameja ni Yanga Malima Yanga Masatu Yanga Dua Said Yanga nipo nao kwenye group moja la WhatsApp la Yanga na Mwameja ndio Admin
 
nikufahamishe tuu kuwa bakari malima tangu akiwa pan africa ya 'mutrazah dewji' tulikuwa tunacharuana na kubishana juu ya u-simba na u-yanga,
With due respect I beg to differ with you Malima amewahi hadi kutimuliwa Simba baada ya kushangilia goli la Yanga akiwa Simba
 
With due respect I beg to differ with you Malima amewahi hadi kutimuliwa Simba baada ya kushangilia goli la Yanga akiwa Simba
kwenye Maisha yoote ya kucheza mpira, Bakari Malima 'jembe ulaya' hajawai chezea / hamia / sajiliwa na simba …………..
 
kwenye Maisha yoote ya kucheza mpira, Bakari Malima 'jembe ulaya' hajawai chezea / hamia / sajiliwa na simba …………..
Ur less informed.
 
Juma Mkambi "Jenerali" alichezea Yanga maisha yake yote lakini Simba lialia.

Ezekiel Grayson "jujuman" Alichezea Yanga kwa mafanikio lakini usimba ulimfanya ahamie kwenye timu ya moyo wake Simba

Method Mogella. Alipata uzoefu kwenye kikosi cha Simba chini ya Abdallah Kibadeni, miaka ya mwisho ya 80 mpaka mwanzoni mwa 90.
Mapenzi makubwa kwa Yanga yalimfanya arudi nyumbani.

Joseph Katuba
Steven Nemes
Hamis Thobias Gaga.

Orodha ni ndefu
 
MUOGOPE MUNGU:
USIMTAJE MCHEZAJI AMBAE BADO ANACHEZA ILI USIMSABABISHIE MAZINGIRA MAGUMU KWENYE AJIRA YAKE.

Wachezaji wa zamani walikuwa weledi Sana. Mchezaji wa simba hata Kama alikuwa shabiki wa Yanga Lia Lia lakini linapo kuja suala la kazi yake mchezaji huyo alipiga kazi kweli kweli . Vivyo hivyo na kwa upande wa pili mchezaji wa Yanga hata Kama alikuwa shabiki wa Simba Lia Lia lakini lilipokuja suala la kazi yake hakuwa na mchezo hata kidogo.

Sifa kuu ya wachezaji hao ilikuwa siku akicheza na timu anayo ishabikia ata upiga mwingi kuliko kawaida yake ili kuwaonyesha mashabiki kwamba yupo kikazi zaidi na sio kimahaba.

Hii ni baadhi ya wachezaji hao.

1. Mohamed Mwameja .... Shabiki Lia Lia wa Yanga.

2. George Masatu ...shabiki wa Yanga.

3. Duwa Saidi - Yanga Lia Lia

4. Thomas Kipese...... Simba Lia Lia

5. Athumani China ...Simba Lia Lia.

6. Godwin Mwansasu .... Simba Lia Lia .

Funguka na wewe wachezaji wa zamani unao wajua
kwenye Maisha yoote ya kucheza mpira, Bakari Malima 'jembe ulaya' hajawai chezea / hamia / sajiliwa na simba …………..
Bakari Malima alichezea Simba
 
Nasikia na Zamoyoni alikuwa Yanga Lia Lia . Ila Steven Memes ni Yanga namfahamu vizuri Sana mtoto wa Bagamoyo
Juma Mkambi "Jenerali" alichezea Yanga maisha yake yote lakini Simba lialia.

Ezekiel Grayson "jujuman" Alichezea Yanga kwa mafanikio lakini usimba ulimfanya ahamie kwenye timu ya moyo wake Simba

Method Mogella. Alipata uzoefu kwenye kikosi cha Simba chini ya Abdallah Kibadeni, miaka ya mwisho ya 80 mpaka mwanzoni mwa 90.
Mapenzi makubwa kwa Yanga yalimfanya arudi nyumbani.

Joseph Katuba
Steven Nemes
Hamis Thobias Gaga.

Orodha ni ndefu
 
Mpira wa nchi wa ovyo simba na yanga zimekuwa kama uislamu na ukristo kwamba uwe upande fulani..
Binafsi nimezipa kisogo zote mbili
Haiwezekani acha kufanganya watu. Kama mtu wa mpira haiwezekani utadondokea tu upande mmoja bila kupenda...
 
Back
Top Bottom