Wachezaji wazamani wa Simba ambao walikuwa mashabiki wa Yanga na wachezaji wa zamani wa Yanga walio kuwa mashabiki wa Simba

Wachezaji wazamani wa Simba ambao walikuwa mashabiki wa Yanga na wachezaji wa zamani wa Yanga walio kuwa mashabiki wa Simba

Mwameja ni Yanga Malima Yanga Masatu Yanga Dua Said Yanga nipo nao kwenye group moja la WhatsApp la Yanga na Mwameja ndio Admin
Wewe ni uto naona unataka kila mchezaji awe yanga..haya
Nakutajia ufurahi sasa
Mwameja, alfonce modest, steven nemes, deo mkuki, mustafa hoza, masatu, masha, ramadhan lenny, madaraka na idi selemani, chumila, malota soma, dua said, abdul machine, matola, kaseja, chuji, pawasa, batigo, etc hawa wote wananchi
 
Wewe ni uto naona unataka kila mchezaji awe yanga..haya
Nakutajia ufurahi sasa
Mwameja, alfonce modest, steven nemes, deo mkuki, mustafa hoza, masatu, masha, ramadhan lenny, madaraka na idi selemani, chumila, malota soma, dua said, abdul machine, matola, kaseja, chuji, pawasa, batigo, etc hawa wote wananchi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Umeamua kumrundikia wote afurahi yeye....kweli jamaa ni utopolo afu anajikuta anawafahamu kiundani magwiji wa soka wa kale
 
Kaseja yanga
Mgosi yanga
Matola yanga

Kuna mechi moja ya simba na yanga.. foward wa simba mgosi na kipa wa yanga kaseja... dah mgosi yeye na kaseja anapaisha tu .. angeweza piga hata hatrick siku ile
..
 
Kaseja yanga
Mgosi yanga
Matola yanga

Kuna mechi moja ya simba na yanga.. foward wa simba mgosi na kipa wa yanga kaseja... dah mgosi yeye na kaseja anapaisha tu .. angeweza piga hata hatrick siku ile
..
Mgosi na Kaseja najua ni Yanga but Matola sina uhakika
 
Wewe ni uto naona unataka kila mchezaji awe yanga..haya
Nakutajia ufurahi sasa
Mwameja, alfonce modest, steven nemes, deo mkuki, mustafa hoza, masatu, masha, ramadhan lenny, madaraka na idi selemani, chumila, malota soma, dua said, abdul machine, matola, kaseja, chuji, pawasa, batigo, etc hawa wote wananchi
Umesusa we ni demu ama?
 
Juma Mkambi "Jenerali" alichezea Yanga maisha yake yote lakini Simba lialia.

Ezekiel Grayson "jujuman" Alichezea Yanga kwa mafanikio lakini usimba ulimfanya ahamie kwenye timu ya moyo wake Simba

Method Mogella. Alipata uzoefu kwenye kikosi cha Simba chini ya Abdallah Kibadeni, miaka ya mwisho ya 80 mpaka mwanzoni mwa 90.
Mapenzi makubwa kwa Yanga yalimfanya arudi nyumbani.

Joseph Katuba
Steven Nemes
Hamis Thobias Gaga.

Orodha ni ndefu
Steven Nemes Ni Yanga namjua vizuri Mtoto wa Bagamoyo Yule.

Zamoyoni pia alikuwa Yanga Lia Lia Yule.

Hapo Kwa Katuba Na Hamis Gaga hebu fafanua kidogo mkuu
 
Steven Nemes Ni Yanga namjua vizuri Mtoto wa Bagamoyo Yule.

Zamoyoni pia alikuwa Yanga Lia Lia Yule.

Hapo Kwa Katuba Na Hamis Gaga hebu fafanua kidogo mkuu
Steven Nemes ilisemekana ni mshabiki wa Yanga, aliondoka Red Star ya Kariakoo akahamia Majimaji, kisha akarudi Dar akajiunga na Yanga, baadaye akajiunga Simba, kisha Mtibwa.
Joseph Katuba ilisemekana ni mshabiki wa Simba lakini alichezea Yanga na baadaye akajiunga Simba.
Hamisi Thobias Gaga ni Simba lialia lakini baada kukorofishana na Simba kwa sababu za ulevi akajiunga na Yanga.
 
kwenye Maisha yoote ya kucheza mpira, Bakari Malima 'jembe ulaya' hajawai chezea / hamia / sajiliwa na simba …………..
Duh! Kweli we jamaa hakuna unachokijua. Malima baada ya kutoka South kama sikosei, ndiyo akasajiliwa Simba! Pole sana!
 
Hivi Makame bado yupo yanga? Mtoto simba lia lia yule ... hata huyu beki wa yanga namba tatu mzanzibari nae simba damu !..
 
Back
Top Bottom