Wachezaji wenye akili na hatari zaidi Mamelodi

Heshima pia Kwa COACH RULANI MOKWENA
Yupo vizuri Hata sub zake Zinaleta maana ya mchezo .
Alikuwa msaidizi wa Pitso wakati wanachukua ubingwa wa Afrika.
Alimtoa Mvala baada ya kuona amepata yellow kuogopa angepata red Kama mechi na Waangola.
Inasemekana familia yake wana umiliki wa Orlando pirates
 
Mzamiru anatumia AKILI?????
Mzamiru ni kiungo mwenye akili sana ila naona hatumika vizuri tu kutokana na timu aliyopo. Mzamiru ana utulivu mkubwa hasa kutokana na pressure ya eneo analocheza huwezi kutegemea mtu kuwa calm namna ile.
 
Sio inasemekana ni ukweli na ndiyo team ya mapenzi yake pale yupo kazini tu
 
Beki ya kulia ile siyo mchezo, pale kati(kiungo) mamelodi naona wana watu mno, Kuna beki moja ya kati ya mamelodi inacheza Kwa akili nyingi sana...hizi timu kuzifikia ni ngumu, naona timu nyingi za south afrika zikikutana na waarabu gemu huwaga ngumu, nadhani ubora wa ligi zao unawasukuma zaidi, we fikiri timu hata za mwisho tu za ligi ya afrika kusini zikikutana na mabingwa wa kwetu bado tunatoana jasho kweli...naona hata waarabu huzihofia timu za SA kuliko zozote barani afrika, level ya maendelea Kwa ujumla wako juu ya waarabu.
 
Huyu MWAMBA hukumuangalia
 
Ila mkumbuke waarabu na wasouth Africa hamna afadhali wote wabaguzi....
Angalizo tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…