Wachina kujazana Marekani

Wachina kujazana Marekani

🗑🚮

hii sio China ni Ufilipino

MK254 ndio maana wewe tunakuitaga mzee wa kukurupuka una hoja dhaifu sana

Kha ukitaka ninaweza nikajaza server za watu na mapicha ya hali ya hovyoo China

Hebu kwanza pitia hapa uone namna walalahoi wa hizo slums hubomolewa vibanda vyao na kuachwa hoi, yaani...


fenghuang-slum-demolition-4.jpg
 
Kha ukitaka ninaweza nikajaza server za watu na mapicha ya hali ya hovyoo China

Hebu kwanza pitia hapa uone namna walalahoi wa hizo slums hubomolewa vibanda vyao na kuachwa hoi, yaani...


fenghuang-slum-demolition-4.jpg
Wang Rui'an, deputy head of Fenghuang town, where the area is located, said the reason for the demolition is that the area is a fire hazard, has a bad environment, bad public security, and it is difficult to implement family planning policies there.

"They are not local Sanya people. They come from other places and have been living in illegal houses here for many years. The government is not responsible for helping them find new places to stay," Wang said
 
Wachina walishapeleka spacecraft mwezini wanachotaka sasa ni kumpeleka binadamu mwezini.

Kwa usiojua umuhimu wa hizi spacecraft na space stations huko juu angani ni ngumu kuelewa kwa nini mataifa yanatumia billions of dollars kwa ajili ya space programs, sio wajinga

Government expenditure on space programs, 2022:

🇺🇲USA: $61.97 billion
🇨🇳China: $11.94b
🇯🇵Japan: $4.90b
🇫🇷France: $4.20b
🇷🇺Russia: $3.42b
🇩🇪Germany: $2.53b
🇮🇳India: $1.93b
🇮🇹Italy: $1.74b
🇬🇧UK: $1.15b
🇰🇷South Korea: $0.72b
🇨🇦Canada: $0.54b
🇦🇺Australia: $0.43b
🇪🇸Spain: $0.42b
Faida yake nini sasa, hata mataifa kutumia mabilioni ya pesa kutengeneza silaha za hatari zikiwemo za nyuklia utaniambia ina faida gani kama sio shetani 😈 kutumia binadamu kutimiza malengo yake hasi.
 
Upanga kuna wamarekani Weusi wengi tu, Asilimia 28 ya wa Marekani ni masikini pia.

Zipo Nchi za west ambazo zinaweza Kujitapa kwamba zimemaliza umasikini ila Marekani si moja wapo. Juu tu ya Marekani hapo canada wapo vizuri.

Hata Wazamiaji wengi wa Kibongo Marekani wanapita tu, Ndugu zangu wengi niliowaona wanaenda Marekani wakipata Uraia wanahamia Nchi nyengine kama Canada.

Nchi za Nordic kama Finland, Norway, Nchi kama Canada, Uswiss etc huko ndo watu wanaenda kula Maisha ya uhakika sio USA.
Sasa kwa taarifa yako Marekani hiyo hiyo ndio nchi inayoongoza duniani kwa watu wengi kuomba visa yake zaidi ya watu milioni mia moja kwa mwaka huomba visa ya kuingia katika nchi hiyo.

Mapato wanayopata kutokana na malipo ya visa tu kwa mwaka yanatosha kabisa kuendesha wizara yao ya mambo ya nje na kubaki na hakuna nchi kama hiyo duniani.

Ukiuliza watu ni nchi gani wangependa kutembelea hapa duniani karibu asilimia 80 watakuambia ni Marekani ndio namba moja kwao na huo ndio ukweli ambao jihadists wengi hawapendi kusikia.
 
Faida yake nini sasa, hata mataifa kutumia mabilioni ya pesa kutengeneza silaha za hatari zikiwemo za nyuklia utaniambia ina faida gani kama sio shetani 😈 kutumia binadamu kutimiza malengo yake hasi.
Hatuzungumzii silaha za hatari tunazungumzia space exploration. Soma ujionee manufaa zake


 
Vipi Saudi Arabia.?

Kwanini Wachina hawataki kuishi huko Saudia ambako naskia kunaendeshwa kwa mujibu wa sheria za Dini ya Haki...?
Dini ya Adamu na Iburahimu.
Hakuna sehemu ambayo mchina hajatia mguu hapa dunian
 
Sasa kwa taarifa yako Marekani hiyo hiyo ndio nchi inayoongoza duniani kwa watu wengi kuomba visa yake zaidi ya watu milioni mia moja kwa mwaka huomba visa ya kuingia katika nchi hiyo.

Mapato wanayopata kutokana na malipo ya visa tu kwa mwaka yanatosha kabisa kuendesha wizara yao ya mambo ya nje na kubaki na hakuna nchi kama hiyo duniani.

Ukiuliza watu ni nchi gani wangependa kutembelea hapa duniani karibu asilimia 80 watakuambia ni Marekani ndio namba moja kwao na huo ndio ukweli ambao jihadists wengi hawapendi kusikia.
Visa ya nini? Kutaka kuishi kule ama kufanya nini? Pia mimi sipendi kujadili ujinga naomba uthibitishe ulichokiandika kwa data hizo data umetoa wapi?
 
Ili mtu akutawale lazima kwanza akujazie chawa wengi tena kila kona maana yake mchina anataka atawale dunia kwasababu kila sehemu amejaza watu wake siku kikinuka huna pa kujifichia leo marekani kuna mitaa ya china tena wameshaweka dolla lao kimywa kimya mmarekani ana kazi navile wameamua kutengeneza midoli ili waoe midoli mala mwanamke na mwanamke waoane watazaliana lini mchina kamatia hapo hapo
 
Hujamjibu ila umemjibu kishabiki tu. China pamoja na kuwa na uchumi wa pili kwa ukubwa duniani lakini watu wake wengi sana bado wanaishi chini ya mstari wa umaskini na ndio maana wengine wanakuja hata kufanya umachinga huku kwetu.

Wakati huohuo serikali yao eti inahangaika kutafuta namna ya kutaka kwenda mwezini. Bure kabisa.
Hao wachina unaowaona leo marekani ni vizazi vya iv karibuni, mababu zao walihamia marekani miaka 1900 huko kipindi icho china ilikuwa shithole country

Na hta uchumi wa china ulivyoanza kuperfom vizuri miaka 80 wengi walirudi china na kuanzisha biashara mbalimbali.
 
Hao wachina unaowaona leo marekani ni vizazi vya iv karibuni, mababu zao walihamia marekani miaka 1900 huko kipindi icho china ilikuwa shithole country

Na hta uchumi wa china ulivyoanza kuperfom vizuri miaka 80 wengi walirudi china na kuanzisha biashara mbalimbali.
Sio kweli hii, hakuna wachina waliohamia Marekani kwenye karne ya 19 bali wachina walianza kwenda Marekani kwenye miaka ya themanini kwani kabla ya hapo ilikuwa ni vigumu sana kwa wachina kusafiri nje ya nchi wakati wa utawala wa dikteta Mao kwani ulikuwa huwezi kupewa pasi ya kusafiria nje ya nchi.
 
Visa ya nini? Kutaka kuishi kule ama kufanya nini? Pia mimi sipendi kujadili ujinga naomba uthibitishe ulichokiandika kwa data hizo data umetoa wapi?
Nenda kwenye website ya US State Department, lakini shida watanzania hampendi kusoma mmekalia ujinga wa kukimbiza mwenge tu. Bure kabisa.
 
Nenda kwenye website ya US State Department, lakini shida watanzania hampendi kusoma mmekalia ujinga wa kukimbiza mwenge tu. Bure kabisa.
Ieke hapo na maelezo kuthibitisha unachokiongea, la sivyo chapa lapa na umbea wako.
 
Imepenya hiyo, hata wakuu wenu waarabu wengi hupatamani sana Marekani licha ya nyimbo zao za "Death to America and Israel"...
Vipi Saudi Arabia.?

Kwanini Wachina hawataki kuishi huko Saudia ambako naskia kunaendeshwa kwa mujibu wa sheria za Dini ya Haki...?
Dini ya Adamu na Iburahimu.
Saudi hawatoi Uraia kwa watu wa Nje lakini still ni katika Nchi zenye wahamiaji wengi zaidi Duniani.

Hizi Ni nchi zenye wahamiaji wengi duniani

  1. United States — 50.6 million
  2. Germany — 15.8 million
  3. Saudi Arabia — 13.5 million
  4. Russia — 11.6 million
  5. United Kingdom — 9.4 million
  6. United Arab Emirates — 8.7 million
  7. France — 8.5 million
  8. Canada — 8.0 million
  9. Australia — 7.7 million
  10. Spain — 6.8 million
Saudi ina watu milioni 35 tu ila milioni 13 ni wahamiaji. Benefit anazotoa Saudi kwa raia wake
-Elimu bure
-afya bure
-maji bure
-mafuta Petroli lita 1400 serikali inatoa Ruzuku
-nchi yenye usalama kuliko zote za G20
-hakuna Raia hata mmoja ambaye hana PA Kukaa
-wasio na ajira wanalipwa na Serikali etc.

Na Hio list ya Juu haiangalii Raia vs Wahamiaji, hii list ya Chini inaonesha ni asilimia ngapi wahamiaji wapo kwenye nchi
 
china kuna watu zaidi ya billion 1 na million 400 kwahiyo ni kawaida kusambaa duniani kote wachina wako hadi huku kwetu Mbinga Ruvuma na Kruger zao 🤣
 
Nchi za nje zipo nyingi ila kiwanja ni kimoja tu USA. Ukijua Hilo utajua kwanini Kila mtu ndoto yake ni kufika kiwanja and not the other way round.
 
Back
Top Bottom