Wachina kujazana Marekani


Saudia watu wanakwenda kufanya kazi maana miarabu ya pale ni mizembe kazi kuvaa kanzu siku kutwa, maana wanafurahia mafuta yaliyogunduliwa na mzungu, sasa hela hiyo wanaitumia kuajiri wahamiaji wanaokwenda kujituma, japo hiyo miarabu sijui kwanu mnaiabudu ilivyo mikatili.
 
Inakuuma Kweli Saudia kuwa Tajiri, for your Information Saudi wana Working class kubwa tu na watu wengi wanarudishwa ma kwao ili kuwapa Wa Saudi chance za Kufanya kazi.

Pia Si kweli kwamba hao milioni 13 ni wafanyakazi tu, Saudi inawapa priority Nchi zenye machafuko kufanya kazi kwao, Mfano Palestine, Syria, Rohingya, Yemen etc wengi wapo Saudia.

Na pia wanachukua Expats ambao wana ujuzi kuliko Raia kama sehemu nyengine duniani.
 
Raia wa marekani wapo China lakini population haiwezi fanana na Chinese people waliopo US kwa sababu China ina watu wengi tofauti na US.
Ukweli ni kwamba kwasasa wachina wanapakimbia China kutokana na hali mbaya ya kimaisha inayotokana na sera mbovu na mahusiano mabaya yanayoendelea kuharibiwa na selikari yenu.

Sera ya kupambana na covid haikuwa rafiki na ilivuruga biashara za watu wengi sana na ndomana Xi hajaisisitiza kwasasa japo maambukizi yamepamba moto na watu wanakufa kila siku

The same kwenye sera za mambo ya nje zimefanya wawekezaji kuondoka China na ndomana biashara nyingi na viwanda vingi vimefungwa hii imepelekea unemployment rate kupanda sana na ndomana wachina wengi wanahama China kwenda kutafuta maisha nchi zingine na kutafuta amani pia

Selikari yenu na taifa lenu lijitafakari. Mnakoelekea siko
 

Hainiumi kwa wao kuwa tajiri maana mwisho wa siku hayo mafuta yaliyogunduliwa kwa akili ya mzungu yananufaisha pia kiongozi wa dunia Mmarekani, yaani Mmarekani analinda mpaka hapo kwa 'mungu' wenu kwa ajili ya maslahi yake.
 
Weee jamaa lijinga sana kutwa kuja na mada zako za kukandia utawala wa raisi wa China wewe angaika na nchi yako inayouza bandari wenzako wako mbali kiuchumi wanawaza kuja kukutawala Siku si nyingi
 
Nenda kwenye website ya US State Department, lakini shida watanzania hampendi kusoma mmekalia ujinga wa kukimbiza mwenge tu. Bure kabisa.
Na ule mwenge wa ccm ndio unawafanya wawe wajinga zaidi
 
Weee jamaa lijinga sana kutwa kuja na mada zako za kukandia utawala wa raisi wa China wewe angaika na nchi yako inayouza bandari wenzako wako mbali kiuchumi wanawaza kuja kukutawala Siku si nyingi
Mbona unaniattack mm badala ya kuchangia mada?

Mimi nimeongea ukweli wa kinachoendelea na wao wenyewe wametoa data sasa kosa langu ni nini?

Uchumi uliokuwa unasemekana unakuwa kwa asilimia 10+ sasahivi hata asilimia 4 haufiki we unaona hiyo ni sawa? Na hii ni kwa mujibu wa data zao wenyewe sijatoa kichwani mwangu!

Wachina wenyewe wanailaani selikari yao kila Leo mitandaoni huko na hata huku makazini tunakofanya nao kazi,

Tafuta exposure uelewa Dunia inavyokwenda sio unatukana tukana watu hovyo
 
Jinsi Uchumi unavyokua mkubwa Asilimia ndogo inaweza kuwa kubwa kuliko uchumi mdogo na Asilimia kubwa hii ni Basic Concept ya Hesabu.

Assume Nchi A uchumi wake ni 500 asilimia 10 ni 50

Nchi B uchumi wake ni 3000 asilimia 5 ni 150.

Hivyo Nchi ikiwa na Uchumi mkubwa Asilimia ndogo tu inakua ni Ongezeko kubwa sana la Uchumi.

Kuelewa Hili Asia Pekee mwaka huu itakuwa responsible na Asilimia 70 ya ongezeko la Uchumi na Dunia Nzima itagawana hizo zilizobakia, China pekee atakua responsibke kwa ongezeko la 1/3 Dunia Nzima.

Hizi data za IMF


Hivyo asilimia 5 ya China ya Ukuaji uchumi ni sawa na Asilimia 34 ya ukuaji uchumi wa Dunia nzima
 
Unanitia wasiwasi na hesabu zako, unaonesha huna unalolijua kuhusu uchumi.

Unaonesha hauna ufahamu wowote wa maswala ya uchumi, issues za purchasing power, GDP, person income, issues za LGDFV jinsi zinavyoitaabisha china, Dept to income ratio n.k

Unajua China ina deni la mara mbili ya uchumi wake, unajua hii ina madhara gani kwa jamii ya wachina?

Unajua kuporomoka kwa uchumi kunaleta madhara gani kwa raia wa kawaida?

Rudi shule!!
 
Unanitia wasiwasi na hesabu zako, unaonesha huna unalolijua kuhusu uchumi.
Pinga hoja toa kasoro kwenye hizo hesabu
Unaonesha hauna ufahamu wowote wa maswala ya uchumi, issues za purchasing power, GDP, person income, issues za LGDFV jinsi zinavyoitaabisha china, Dept to income ratio n.k
Vina mahusiano gani na nilichozungumzia juu? Asilimia za ukuaji uchumi zina mahusiano gani na ulichosema?
Unajua China ina deni la mara mbili ya uchumi wake, unajua hii ina madhara gani kwa jamii ya wachina?

Unajua kuporomoka kwa uchumi kunaleta madhara gani kwa raia wa kawaida?

Rudi shule!!
Nchi zote za Kikapitalist zina Madeni kubwa, hii Situation ni Exclusive kwa China ama Hata Japan, Italy na Usa wana Madeni makubwa?
 
Watu wengi huamini China maisha ni poa kwa kuangalia Shanghai, Hongkong, Macau, Guangzhou, Yiwu

Nenda ndani ndani huko utajua uhalisia wa maisha ulivyo mgumu, kwanza hata stendi ni vumbi
Kuna sehemu China ni kama au chini zaidi ya huko usukumani ndani ndani. Huko bush kwao Wana mang'ombe fln hv makubwa makubwa wanayatumia kulima, ni maisha kama ya countryside za huku tu
 
Raia wa marekani wapo China lakini population haiwezi fanana na Chinese people waliopo US kwa sababu China ina watu wengi tofauti na US.

Isitoshe marekani ina policy dhabiti kabisa inayo wa control, si kwamba imewaachia tu kila kitu nope
 
Umeona ripoti ya benki ya dunia ikitoa growth forecast ya uchumi wa China na mataifa mengine duniani?

Wewe sio mfuatiliaji unapiga tu domo hapa. Unachoweza ni propaganda tu dhidi ya China

Kula chuma hicho;
🌎World Bank raises 2023 economic growth forecast.

🌎World from 1.7% to 2.1% 📈
🇺🇸US from 0.5% to 1.1% 📈
🇪🇺Eurozone from 0.0% to 0.4% 📈
🇯🇵Japan from 1.0% to 0.8% 📉
🇨🇳China from 4.3% to 5.6% 📈

Wewe Kizzy Wizzy ndio unatakiwa utafute exposure uelewe nini kinaendelea duniani. You know nothing

Kwanza usitudanganye uchumi wa China haujawahi kukua kwa 10%
 
We jamaa uchumi gani wa China unaokuwa?

Uchumi gani unaokuwa mpaka wawekezaji wanapakimbia... tena haohao wachina wanakimbilia nchi za west
Nimeleta data za WB sasa na wewe tuletee data na sources bila hivyo wewe ni mpiga domo tu

Hakuna taifa lolote la Ulaya wala Marekani wanafikia ukuaji wa uchumi wa China kwa sasa
 
Uko shallow sana kwenye masuala ya kiuchumi.

Unajiita mchambuzi hauna hata data za WB?

Jitahidi kufutilia mambo mdogo wangu

 
SI KWELI

Taarifa nyingi za uchumi wa China zinazotumika duniani ni kutoka taasisi za kimataifa zinazokubalika kama IMF na WB
 
Pato la Export and import sector imeshuka kwa zaidi ya asilimia 8 na hii huwa inachangia mpaka asilimia 30 ya uchumi wao.

China imeshapotea mzee, hauwezi ukatishia AMANI za watu halafu watu wakabaki na ww tu wamekukumbatia.
Uelewa wako ni mdogo sana

Kilichotokea mwezi uliopita wa May ni kuwa export ilikuwa ndogo kuliko ilivyokuwa imekadiriwa lakini still China mwezi May alikuwa favourable Balance of Trade. Na hii ni sign ya economic strength

Kwa nini tunasema hivyo?

China wali-export zaidi ya ku-import kwa hiyo wakawa na trade surplus. (Malengo yalikuwa mwezi May surplus iwe $92 bln lakini ikawa $65 bln)

Hivyo China ikawa na trade surplus kubwa na inayoridhisha tofauti na Marekani ambao mwezi May walikuwa na trade deficit

Ndio maana huwa nakwambia wewe kwenye uchumi bado sana unachoweza ni propaganda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…