fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Umewaza ki great thinker sana.Wachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Wachina=Chadema=Wachaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewaza ki great thinker sana.Wachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Nakuelewa, jamaa 'angu. 🤣Kuna wakati nikinywa kvant nakata network kabisa naweza kustuka usiku na kujiuliza nilifikaje home. Inawezekana ni za Hawa jamaa
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Bado aisee! Bado nawaza.Vina kazi gani man? Ushapata jibu?
Hawa watu tukiwaendekeza watatuua! Juzi kuna dada kasimulia jinsi alivyoendesha baada ya kunywa K Vant fake hana hamu tena na K vant yoyote. Hawa wajinga wataharibu afya za watu na biashara ya K vant halisi maana watu watazikwepa.
Fake au bila kibali?
Chadema lazima walikupa mimba halafu wakaikataa juu una sura mbaya.Wachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
K-Vant yenyewe inamilikiwa na Mchaga Baba Nancy,wachina watajua hawajui.Hapo hata ikiwa original umeenda kinyume na biashara.unapocopy biashara ya mwenzako yaani unapoitengeneza vile vile kuna taratibu maalum.Hawa cha kwanza watakuwa na mashitaka mawili.la kwanza la kutengeneza hizo kitu bila kibali hili ni serikali italishughulikia.la pili kampuni ambayo italeta mashitaka ni hiyo ya kuhujumiwa bidhaa zake watawashitaki hawa wameenda kinyume na taratibu za biashara.hii itawagharimu hawa wachina na kampuni yao.ila ina nabidi uwe na mwanasheria mzuri sana vinginevyo utapigwa chini.Na hili huenda wamefanikiwa baada ya kumpata mtu wa karibu anayehusika na udhalishaji na ndani ya hiyo kampuni kawapa baadhi ya vitendea kazi yaani siri ya kiwanda.
Umerukwa na akili sio bure.Wachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Jamani!!!, hatari sana,wafukuzwe nchini mwetu.Hawa watu tukiwaendekeza watatuua! Juzi kuna dada kasimulia jinsi alivyoendesha baada ya kunywa K Vant fake hana hamu tena na K vant yoyote. Hawa wajinga wataharibu afya za watu na biashara ya K vant halisi maana watu watazikwepa.
Ah wapi!!!,Mimi sijaridhia.Kama tukinywa tunalewa sisi wanywaji tumeridhia.