evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Wachina bana kwa kujiongeza nawavulia kofia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata wa tz wanatengeneza nenda rombo utalijua hilo.Kweli aisee yaani jamaa wanatoka Asia wanakuja kupiga hela sisi tumelala. Jiulize kwao wanaweza kutengeneza kinywaji fake? Hapa kwetu wameweza tuwape kongole tuu maana hatuna akili hii.
"Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?" Vifungashio vyote Tanzania vinatoka kwao China na vinapatikana Kariakoo na Gerezani, usishangae koo kuwa na kifaranga wakati koo ndio hutaga mayai.Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
SHUGHULI ZAO ZIRASIMISHWE, WAPIGWE FAINI KWANZA, WAELEKEZWE NJIA SAHIHI ZA KUPITIA ILI WAZALISHE KWA TRADE MARK ZAO WENYEWE, NDIYO TUNAKWENDA SASA KWENYE INDUSTRALISATION.Hawa jamaa ni wahuni sana. Sipati picha nchi walikojaa kama Angola na Zambia hali ikoje?