Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi hizi pombe za kigeni watu wanachakachua sana sijui kwannAsee ndio maana haya makitu sitaki kuyasikia bora ninywe mbege tuu hapa triple B nikiwa vizuri ka Hennesy kale bei kubwa kabisa kama 140k dadekii najua hii hawezi fyatua [emoji28]
Hii kitu naisikia sana watumiaji wa hiyo kitu wakisema, yani hapo lazima kuna shida aisee..Kuna wakati nikinywa kvant nakata network kabisa naweza kustuka usiku na kujiuliza nilifikaje home. Inawezekana ni za Hawa jamaa
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Mm mpaka leo sinywi sa sijui nilikunywa fake!!!!Kuna wakati nikinywa kvant nakata network kabisa naweza kustuka usiku na kujiuliza nilifikaje home. Inawezekana ni za Hawa jamaa
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Ni hizi shida tuu but kiukweli pombe kali za uhakika ni whisky kama Captain Morgan, Jack Daniel na nyinginezo, yaani hata kwa kupima na bia zako mbili fresh kabisa... Kesho unaamka uko fit kwa kazi zako...Hizi pombe kali hazifai nyingi hazifai tena sjui kwa vile vinafyatuliwa feki!!! Juzi nimestop pombe kama miezi 2 hivi coz nlikunywa nikapoteza kumbukumbu kabisa hadi home nikapasahau,sa hiyo ni pombe au sumu.hao wachina wapewe adhabu kali
Hiyo mixer lazima uue iniHivi kwann serikaki inawaendekeza sana hawa jamaa?
Tumiaga akili japo mara mojamojaWachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Kumiliki Bucha sio kula nyama kila siku.Tangu nimshuhudie mmiliki wa kiwanda cha K-Vant anakunywa Konyagi nilijipiga stop ya kinywaji hicho maybe nae alishakutana na cha mchina kikamfanya kitu mbaya sana 😀😀😀😀😀😀
hakuna namna warudishwe kwao wakanyongweHawa ni watu hatari sana na si ajabu wako nchini kiharamu.
Mwenye chama kafichwa, nchi imetulia na watu tuko busy kazi zinaendelea. Yale ma operation haki, operation faru John zilikuwa ni janja yake kula hela za chama tu.Wachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Wangekuwa kwao kitanzi kingewahusuKama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
duh...ipo kwenye maduka ya vinywaji vikali (spirits outlet) na kwenye bar zinazojielewa.....Naomba kama ni application tusambazie tuwe nayo huku mitaani na sisi tufanye verification ya hizo stamps. Naomba Sana mkuu
Ni application inaitwa QR & BARCODE SCANNER Nenda playstore utaikuta halafu downloadNaomba kama ni application tusambazie tuwe nayo huku mitaani na sisi tufanye verification ya hizo stamps. Naomba Sana mkuu
Kuna Nchi moja sijui Sierra Leone mchina alichezea vitasa😄😄.Hawa jamaa ni wahuni sana. Sipati picha nchi walikojaa kama Angola na Zambia hali ikoje?