Wachina wakamatwa wakizalisha vinywaji feki Dar?

Wachina wakamatwa wakizalisha vinywaji feki Dar?

Pombe kali nyingi feki....
Ndomana watu wengi wanapatwa
Na matatizo ya kuona
Mimi ndomana nkitaka kununua pombe zangu
Nikiwa dar mara nyingi nachukuliaga mohans

Ova
Huwezi amini nlipiga kali ikanifutia memory kabisa alafu ni sminoff vodka sasa,mpaka sasa nimeamua kuacha pombe kali bora nile lager tu.
 
Huwezi amini nlipiga kali ikanifutia memory kabisa alafu ni sminoff vodka sasa,mpaka sasa nimeamua kuacha pombe kali bora nile lager tu.
Hahahaha
Feki inafuta memory

Ova
 
Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.

Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?

Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.

Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!

View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Watu kama hawa ni aina ya wanaostahili adhabu kali sana. Imagine ukutwe na kosa kama hili huko kwao China (Unajua adhabu itakayofuata).
 
Kwan wadau ukiscan code hio pombe halam ile bar code itasoma? Naiman hitosoma tubadili upepo tutakufa
 
Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.

Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?

Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.

Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!

View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
nawapenda sana wachina ni wabunifu, na mimi natamani niwe mbunifu kama mchina/wachina.

wana macho madogo ya kijanjajanja kumbe ni wajanja kweli. Wanajua kutafta pesa. Hongera zao.
 
Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.

Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?

Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.

Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!

View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Wawekezaji wa ma CCM! Chama nyoko sana hili!
 
Back
Top Bottom