Kiteitei
JF-Expert Member
- Jan 14, 2009
- 1,595
- 1,540
yaani mimi wakianza kucopy juice ya miwa na miwa feki ndo baaasi teenaWakifikia kwenye kucopy juisi za embe za Azam roho itaniuma sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani mimi wakianza kucopy juice ya miwa na miwa feki ndo baaasi teenaWakifikia kwenye kucopy juisi za embe za Azam roho itaniuma sana.
Hata konyagi siku hizi haieleweki!!Kwakweli K Vant ya siku hizi imekuwa ikilalamikiwa sana kuwa imepoteza ubora. Kumbe ni hawa WAWEKEZAJI wanafyatua za kwao
Huna akiliWachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Chupa tupu za K-Vant zimepangwa nje ya nyumba.
Mzigo wa Moet & Chandon umepigwa picha ndani ya karakana.
Wachina wawili wamepigwa picha pekee yao.
Kwa ufupi, hakuna kiashiria chochote kuwa hapo ni Tanzania.
Tangu nimshuhudie mmiliki wa kiwanda cha K-Vant anakunywa Konyagi nilijipiga stop ya kinywaji hicho maybe nae alishakutana na cha mchina kikamfanya kitu mbaya sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ninashangaa tukio hadi leo 😀😀😀Baba Nancy anakunywa Konyagi?
Haa. Kumbe ndo mchezo wao? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Washenzi hawa akifuga nywele ndefu halafu akajipodoa na kuvaa gauni, unaingia kingi
Wazungu wanalizwa sana wakieenda holiday huko Thailand na Philipines [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ninashangaa tukio hadi leo [emoji3][emoji3][emoji3]
Kama vile wao wanavyochanganya picha na kusema Weusi wana sambaza corona kwaoExactly
Nahisi Picha zimechanganywa tu.
Na Hakuna local media yeyote iliyocover hii habari
Hawa waondolewe nchini warudi kwao mbele ya safari watatumalizaKama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Pombe kali nyingi feki....Hizi pombe kali hazifai nyingi hazifai tena sjui kwa vile vinafyatuliwa feki!!! Juzi nimestop pombe kama miezi 2 hivi coz nlikunywa nikapoteza kumbukumbu kabisa hadi home nikapasahau,sa hiyo ni pombe au sumu.hao wachina wapewe adhabu kali
Mchina ni mwiz,ukifanya naye biasharaHawa wanaingia nchini na sanduku tu wanaondoka matajiri kwa mbinu zao hizi chafu.
Madini ni sababu kubwa inayowafanya wapende Congo, Mali hata Tanzania.Mchina ni mwiz,ukifanya naye biashara
Lazima atakuliza,vp kna njia ya magnum
Msema kweli mpenzi wa mungu
Mm wachina nlishawawasha sana wakiingia
Kwenye 18
Ova
Kama ukinywa unalewa wewe sio Mnywaji ni Mlevi [emoji39]Kama tukinywa tunalewa sisi wanywaji tumeridhia.
Hata mimiHustlers to the core... tafuta pesa kwa namna yoyote ile... wameniinspire sana haqa jamaa dah
Wanasema "kizuri share na wenzako" check out thisKuna kitu kipya kinaitwa Crown100 vodka. Jaribu kiongozi
Kuna Crown100 vodka imekaa vizuri ,haina harufu na itachukua muda kufeki.