Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
UnawashwWachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnawashwWachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Hawa kwao china kesi yao inachukua dakika tano na dakika ya sita wananyongwa. Yakija huku yanafanya mambo ya ajabu. Sasa hiyu permit yake inasemaje? Kibali chake cha kuingia nchini ni cha aina ganiKama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.
Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?
Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.
Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!
View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
kesi yao inachukua dakika tatu na kunyongwaLakini kwao hawawezi fanya Ujinga huo, maana watanyongwa hadharani mchana kweupe!!
Kweli kabisa chadema wameweka tozo kila mahalo,harafu inawaumiza chadema wenyewe na vyama vingineWachina ni kama chadema tu kwa ujanja ujanja usio na tija.
Chupa tupu za K-Vant zimepangwa nje ya nyumba.
Mzigo wa Moet & Chandon umepigwa picha ndani ya karakana.
Wachina wawili wamepigwa picha pekee yao.
Kwa ufupi, hakuna kiashiria chochote kuwa hapo ni Tanzania.
Yaani hili Serikali wasichukulie rahisi. Athari za hili zitakuwa kubwa sana. Si afya tu mpaka Uchumi. Angalia ni kwa kiasi gani wauzaji na wazalishaji wa bidhaa watakavyopata/wanavyopata athariHawa watu tukiwaendekeza watatuua! Juzi kuna dada kasimulia jinsi alivyoendesha baada ya kunywa K Vant fake hana hamu tena na K vant yoyote. Hawa wajinga wataharibu afya za watu na biashara ya K vant halisi maana watu watazikwepa.
Kweli aisee yaani jamaa wanatoka Asia wanakuja kupiga hela sisi tumelala. Jiulize kwao wanaweza kutengeneza kinywaji fake? Hapa kwetu wameweza tuwape kongole tuu maana hatuna akili hii.Hustlers to the core... tafuta pesa kwa namna yoyote ile... wameniinspire sana haqa jamaa dah