Wachina wakamatwa wakizalisha vinywaji feki Dar?

Wachina wakamatwa wakizalisha vinywaji feki Dar?

K vant sasa hivi haina hata stimu ya kuleweshahawa wanataka kutuchosha maini na inawezekanawana branch mikoa yote

sent from HUAWEI
 
Kama ni mla K Vant na Moet, basi hii ni kwa ajili yako. Yasemekana hao mabwana kutoka Asia ya Mashariki wamekamatwa jijini Dar wakiwa kwenye ‘karakana’ yao la kufyatua kopi za vinywaji hivi murua.

Hivi huwa wanapataje vifungashio visivyotia shaka?

Kwa uchafu wa hayo madumu, huenda yanahifadhia molasses. Na kama ndivyo, ningependezwa kuona mtambo wao na mchakato wa kukopi ladha na harufu za hivi vinywaji. Bado nabaki na maswali kedekede.

Nimestushwa zaidi na hiyo paint roller na rangi kwenye beseni, sijui vina kazi gani Mungu wangu!

View attachment 1899801View attachment 1899802View attachment 1899805View attachment 1899809
Hawa kwao china kesi yao inachukua dakika tano na dakika ya sita wananyongwa. Yakija huku yanafanya mambo ya ajabu. Sasa hiyu permit yake inasemaje? Kibali chake cha kuingia nchini ni cha aina gani
 
Hawa watu tukiwaendekeza watatuua! Juzi kuna dada kasimulia jinsi alivyoendesha baada ya kunywa K Vant fake hana hamu tena na K vant yoyote. Hawa wajinga wataharibu afya za watu na biashara ya K vant halisi maana watu watazikwepa.
Yaani hili Serikali wasichukulie rahisi. Athari za hili zitakuwa kubwa sana. Si afya tu mpaka Uchumi. Angalia ni kwa kiasi gani wauzaji na wazalishaji wa bidhaa watakavyopata/wanavyopata athari
 
Niko nakula zangu kvant uswahilini lakini nawawaza hawa wahuni.... vijana wa chuo wamekomaaa hamna fursa mjini lakini wahuni wametulia zao na fursa ya kvant wanagonga kopi tu mazafaka...
natafakari sana. Huko kwao kila kitu kishafanywa thats why wakija afrika aanaona fursa kila mahala yani iwe legal au illegal vijana wa tz tuamke tuamke fursa zipo https://jamii.app/JFUserGuide the law kama inakubana ukikamatwa itajuliakana tu huko atleast u did ur fucking best
 
Ndo maana Kvant zinakufanya hupoteze kumbukumbu kumbe kuna feki jamani watuhurumie
 
Back
Top Bottom