Mawazo yako yamenifanya ni subscribe topic..Hiyo ni changamoto ya techno, lakin kama wakiwekewa utaratibu wa.kurejesha mwa amwamu, yaan unampa 50, kila siku akupe 2500 tu kwa mwezi yaan siku 30 kwanza ni affordable pili ni peaceful way of repayment haiumizi, nitatenga mamantilie 100 tu jiji la dar, unawapa 100,000 kila mtu then daily warejeshe 5000 tu ndani ya mwezi
Micro finance.. Ina ruhusiwa.. Kama ki english kina panda kidogk jarbu tembelea web ya BOT kuna maelezo juu ya microfinanceHivi hii inaruhusiwa kweli kisheria ? Kuna uzi mmoja wadau walikuwa wanasema biashara ya kukopesha haruhusiwi mtu binafsi labda iwe bank au viccoba
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry mkuuHii biashara ilikua nzuri enzi za jk japo hata kwa sasa inafanyika ila changamoto zake zmekua nyingi so umakini unahitajika mkubwa sana,mbinu mojawapo ni kupunguza riba ikizd sana iwe 30% kwa mwez na pia ubahatike kukutana na mtu anaeheshimu mkopo na inabd ujue chanzo cha hela cha mteja wako ni kipi na akitoa rejesho kwenye revenue yake anabaki na hela ya kuyamudu maisha yake kama ni hapana atashawishika kukusumbua na kama ni mzoefu wa madeni imekula kwako.ninaifanya hii biashara ila am about to quit ntakufa vchomi nkiwa bado mdogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakikisha umejisajili kisheria na una leseni za biashara kama mtoa mikopo vinginevyo tegemea kesi za kufa mtu ambazo zitakufilisi.Powa ajira ngumu nimeamua niuze kiplot changu nipate 5,000,000 yaan hapo nimeshapiga mahesabu ma feasibility study ya kutosha
Ni kweli,na nimeliona. Ila nashauri,kuepuka hilo,anza kukopesha kwa hatua. Anayetaka laki,achukue nusu,akirudisha,apewe lets say,robo tatu na kuendelea. Pia kopesha wamama na anza na wanaotaka hela ndogondogo huku unacheki mwitikio.
Kusajili ni muhimu kwa ajili ya kujilinda ila wazoefu wa mikopo wapo na benki zmewashindwa pamoja na kuwa na wanasheria wao inabd uwe makini sana kwenye hii biasharaSorry mkuu
Kufanya hii biashara ni lazima uisajir!??
Mie niko kilosa.. Na plab kuwa na kopesha wakulima vip !??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni biashara nzuri lakini yenye laana! Mwanzoni utaenda vizuri sana halafu itafika kipindi utaanza kuporomoka, utajikuta una dhamana nyingi zisizouzika.. Hasa viitu vya umeme havikawii kuisha fasheniFURSA SI NDO HII SASA!
Ushauri wenu wakubwa ni muhimu sana,
September mosi nina mpango wa kuanzisha kabiashara haka,
Niko dar es salaam ,
Mkopo rahis wenye mashart nafuu,
Nitaanzisha ukopeshaji kwa wahitaji wa hela kiasi Kidogo kidogo,
Kiasi cha kukopesha riba Na muda wa kurejesha
1. 50,000 ndani ya wiki moja 75,000 inarejeshwa,
2. 75,000 ndani ya wiki moja inarejeshwa 110,000
2. 100,000 ndani ya wiki moja inarejeshwa 140,000
3. 200,000 ndani ya wiki moja 280,000
Mpango ni kuwa watakaozidi 200,000
Kwa wanaotaka zaid ya laki 200,000-400,000
Marejesho ni miezi miwili kila week amarejesha ifuatavyo
200,000 kila week anarejesha 40,000
300,000 kila week 60,000
400,000 kila week anarejesha 80,000
Dhamana nayokubali
1. Telephone
2. Radio sub woofer
3. Laptops
4. Desktops
5. Pikipiki
6. Projector
7. Photocopiers
8. Printers
9. Kipande Cha eneo
Hatua husika nahakikisha kisheria kuwa Mali iliyowekwa dhamana ni ya muhusika kweli siyo kuiba alafu ukaleta ,
1.Utatakiwa uwe Na kitambulisho chako 2.Receipt ya kifaa unachoweka dhamana,
3. Picha yako ya karibuni
4. Barua ya kukutambulisha unapokaa,
MUHIMU: ukipitisha siku moja bila kuleta hela Mali inauzwa HAPA KAZI TU,
Ushauri wenu katika haya
1. Je kuna haja ya kufungua ofisi maana mi mtaji si Mkubwa ofis itamaliza hela yangu, Bora tukopeshane kiundugu ndugu,
2. Je soko kwa wakopaji limekaaje?
3. Vipi kuuza Mali aloweka dhamana si inaweza leta msuko suko?
Asante yakhee
ILA HELA NGUMU NIKIFIRIA KUWEKEZA ALAFU MTU ASINILIPE SIJUI NTAFANYAJE,
Updates nimefika hatua hii kitu kinaanza
Nimemaliza taratibu zote September project hii