balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Yes mwenyewe akiwa askofu mbona atawageuka?Iwapo Askofu wa Dayosisi hupatikana kwa wachungaji wote wa Dayosisi kupiga Kura, basi kuna uwezekano mkubwa Malasusa akistaafu , Kura zikamwangukia Rev. Dr Eliona Kimaro kuupata Nafasi ya kuwa Baba Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani.
Iwapo wachungaji watajipanga vizuri watakuwa wamejikomboa kiimani na kimaisha.
NakaziaYesu alikuwa seremala
Petro na nduguye Andrea walikuwa wavuvi.
Paul alikuwa ni tents maker. Kampuni yake ilikuwaWachungaji watafute kazi zingine za kuwaingiziab kipato
Yesu alikuwa seremala
Petro na nduguye Andrea walikuwa wavuvi.
Matayo alikuwa tax officer.
Natafuta kanisa ambalo mkitoa sadaka mnahesabu wote kisha mnagawana sawaPesa ndo chanzo cha yote haya , hata wayahudi walimchezeshea Yesu kichapo sababu ya pesa
Ha ha ha!!! Utaratibu hauko hivyo KKKT!!!!Iwapo Askofu wa Dayosisi hupatikana kwa wachungaji wote wa Dayosisi kupiga Kura, basi kuna uwezekano mkubwa Malasusa akistaafu , Kura zikamwangukia Rev. Dr Eliona Kimaro kuupata Nafasi ya kuwa Baba Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani.
Iwapo wachungaji watajipanga vizuri watakuwa wamejikomboa kiimani na kimaisha.
Mnazidi kumchimbia kaburiIwapo Askofu wa Dayosisi hupatikana kwa wachungaji wote wa Dayosisi kupiga Kura, basi kuna uwezekano mkubwa Malasusa akistaafu , Kura zikamwangukia Rev. Dr Eliona Kimaro kuupata Nafasi ya kuwa Baba Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani.
Iwapo wachungaji watajipanga vizuri watakuwa wamejikomboa kiimani na kimaisha.
Kwani Diosis na jimbo ipi senior?Anayepigiwa kura kuwa Askofu wa Dayosisi lazima awe Askufu wa Jimbo. Sasa mchungaji wa usharika atapigiwaje kura kuwa Askofu wa Dayosisi?
OkayIwapo Askofu wa Dayosisi hupatikana kwa wachungaji wote wa Dayosisi kupiga Kura, basi kuna uwezekano mkubwa Malasusa akistaafu, Kura zikamwangukia Rev. Dr Eliona Kimaro kuupata Nafasi ya kuwa Baba Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani.
Iwapo wachungaji watajipanga vizuri watakuwa wamejikomboa kiimani na kimaisha.