Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,740
- 7,679
Taarifa za nini unataka kuhakiki nini?Kwani hiyo biashara udai Kodi. Kutoa Mapepo ndiyo taarifa muhimu kuliko zote katika Imani maana Mapepo ndiyo yanyoharibu dira y amwandamu
Wanapohudumiwa kiroho, nao wanahudumia kimwili.Huduma ya kiroho siku hizi inauzwa mkuu? Jitafakari, usitetee kila jambo as if huna akili hata moja... moyoni mwako unaujua ukweli hulazimishwi kukubali hapa. Ubarikiwe unapoyatafakari hayo
Taarifa za nini unataka kuhakiki nini?Kwani hiyo biashara udai Kodi. Kutoa Mapepo ndiyo taarifa muhimu kuliko zote katika Imani maana Mapepo ndiyo yanyoharibu dira y amwandamu
Kutoa mapepo naona imekuwa fasheni siku hizi kwa makanisa ya kiafrika!
Kila kanisa ukienda watu ni mapepo, ukifungulia TV channel ni kuangushwa watu mapepo na unabii fake!
Kusudi kuu la kanisa ni Mathayo 28:19 -20 Basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu mkiwabatiza kwa jina........na kuwafundisha kuyashika yote..........
Wabuni miradi ya kuwaingizia kipato
Natamani kujua kwanini watu wasiotoa sadaka ipasavyo wanapinga sana taratibu za utoaji sadaka.I concur
Kanisani kwenyewe huendi unapiga keleleNakubaliana na wewe mkuu 100%
Wachawi mnaangaika Sana .kuropoka Yaani unataka kufundishwa nini ?.Yaani Watu wanatoa semina za Ndoa,Wanafundisha kulea familia,Wanafundisha jinsi ya kuwa mjasiliamali,Wanafundisha jinsi ya kujihami na nguvu za Giza ,Bado anakufundisha Kushirikiana na jamii bado wanajenga mpaka shule Bora mpaka zinaongoza kitaifa .Ni zaidi ya kutoa mapepo!
Mafundisho ndiyo msingi Mkuu wa Mwamini !
Ufahamu!
Imeandikwa: “utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake yote mengine mtazidishiwa!
Mtu mwenye ufahamu wa Neno na kuliishi pepo hamkaribii.
Wafundisheni watu Neno la Uzima, ili wajitegemee na siyo Habari ya kutoana mapepo tu kuanzia Januari hadi December kila Mwaka ni yale yale ya watu kuangushwa chali [emoji108][emoji108]
Nimekupa matatizo ule wa agizo kuu umeusoma wa Mathayo 28:19?
Wachawi mnaangaika Sana .kuropoka Yaani unataka kufundishwa nini ?.Yaani Watu wanatoa semina za Ndoa,Wanafundisha kulea familia,Wanafundisha jinsi ya kuwa mjasiliamali,Wanafundisha jinsi ya kujihami na nguvu za Giza ,Bado anakufundisha Kushirikiana na jamii bado wanajenga mpaka shule Bora mpaka zinaongoza kitaifa .
Kama hiyo siyo Imani yako kaa kimya Acha kukashifu Imani za Watu .
Kanisani kwenyewe huendi unapiga kelele
Siku yakikuta ndiyo utaelewa kuwa ni wezi .Niende kufanya nini wezi wakubwa nyie
Kujimaliza 😂Kuna kujilipua unatoa pesa yote uliyonayo na unamuamini Mungu kukufikisha nyumbani. Wakitoka kanisani wanaomba walipiwe nauli kwenye daladala.
1. Uislamu & Ukristo. Ndiyo maana nikasema uwepo wa historical figure aliyeitwa Yesu hapa duniani ni jambo ambalo kwa lenyewe siyo kidogo kwa sababu kuna maswali mengi logical na factual unaweza kujiuliza kuhusu maisha ya Mwana wa Seremala ambayo lazima yakufikishe kwenye hitimisho kwamba ni Mungu. Huko kupinga kwa baadhi ya watu ni sababu ya uelewa mdogo kuhusu nature of God. Most people are stuck with that God's nature which seems to fit or agree with their little, limited human understanding capacity. Most individuals are not willing or unable to welcome some peculiar ideas they had never encountered before. It is as though their thinking processes have hit the rock bottom and do not see a way out or can never make further progress anymore.
2. Watu hawafi kwa njaa kwa sababu eti ^Mungu hayuko in control^ ama He doesn't care. No. People suffer and die out of hunger, diseases and other causatives mainly kwa sababu ya uchoyo wa mwanadamu. Few people want to amass all the resources and means of production and channels za economy za Waafrika, for instance, ili waendelee kuwatawala. God wishes wonderful prosperity and progress to each of His faithful sons or daughters. And there are enormous resources and wealth in the world much more than enough if equally distributed among all its inhabitants. Back to the eggs in the tray -- He did that to teach a valuable lesson to people like you who still don't believe He exists for our complete and personal sustenance and protection.
3. I told you, and I am saying it again: ^Your understanding of faith is simplistic, superficial, and preposterously rudimentary.^ Why huwezi hata kureason kwamba kwa nini Mungu alikupatia so delicate & complex Central Nervous System!??? For what actually, if He always expects you to merely engender and assent to some blind unsubstantiated beliefs!??? All along, we are being constantly and clearly warned against false individuals who would address themselves as messengers and well-wishers sent from the abodes of Heaven, although we know they are lying spirits and deceptive agents from the devil. How then are we to recognize them from the ^angels of light^ if our faith has to be passive and subservient, as you seem to suppose!?? Please don't relate theories and suppositions that you are being told by those who are either God-haters or biblically illiterate and ^uninformed.^ Kindly, we expect you to be more intelligent than this. Read the Bible for yourself and you won't have to wallow in the darkness of pure theorization and misinformation.
4. ^Hatima ya watu waliokufa ilhali hawakumjua Kristo^ ^Kiama cha milele & milele^ All I know is that God is love. God is just. God is kind. God is wise. God has a DEFINITE plan. This is why He gives you enough time even now for you to make intelligent, voluntary decision to choose Him. If you choose the devil instead, then there is nothing more He can do for you to enjoy eternal redemption with Him because, by so doing -- exercising your free will by casting your vote on the side of darkness -- you would have obviously defaulted your chances of eternal life.
5. The Bible ingekuwa wanaandikiwa malaika, most likely ingekuwa na lugha tofauti na matukio tofauti na haya ambayo tumezoea. Kwenye Bible Mungu anawasiliana na mwanadamu, kwa hiyo lazima lugha anayoitumia nayo iwe ya kibinadamu. As it is rightly said: ^If you are on your way to a country, say, Tanzania [emoji1241], then take the specific route that leads you there, and you won't have to second-guess your destination or get lost along the way!^ This is even more applicable when it comes to God as far as communication with humanity is concerned. He had to employ a system of language that would help us to both understand & appreciate His eternal plan and precious realities He has been tirelessly working since time immemorial just in order to convey them to this sin-sick world. Simply put, no straight-thinking individual of integrity would even try to discredit the accuracy and reliability of the Bible and its awesome, comprehensive, emphatic, and yet simple (not simplistic) message of the unparalleled love of God to the whole world [emoji289]
I'm proud of youWoi katoe wewe si ndo tumegoma hivyo na kanisani hatuji
Siku yakikuta ndiyo utaelewa kuwa ni wezi .
Siku yakikuta ndiyo utaelewa kuwa ni wezi .
It’s easy to be judgmental when you think you’re perfect or better than someone else. It’s impossible to look down on others when you remember where God brought you from.
Many of us walked away from God at some point. Many of us decided to do our own thing instead of obeying His word at some point. We can’t write someone off when they make a mistake because Jesus never did that to us.
Let’s learn to extend the same grace to others that God has extended to us.
“Some of you were once like that. But you were cleansed; you were made holy; you were made right with God by calling on the name of the Lord Jesus Christ and by the Spirit of our God.” 1 Corinthians 6:11
Kazi kubwa ya lugha ni mawasiliano, OvaManeno yakisemwa au yakiandikwa kwa kiingereza yanaonekana ni ya maana na ya ukweli zaidi.
But fact remain!
Halafu watu makofi pwapwa na vigelegele kama vyote illa hizi ni nyakati za mwisho manake siku hizi wanahubiri sana utoaji wa Fedha kuliko kutoa Injili Takatifu huko kwenye jumuiya ndio balaaMchungaji anasema toa upate baraka, utanyeshewa baraka za kukuinua, hutakua mtu wa magengeni tena, hutakua mtu wa kununua mitumba tena utanunua nguo kwenye ma shoping mall na mahitaji yako yatatoka supermarket.
Hizi hela tulizonazo tungeamua kuwa watu wa manunuzi ya supermarket na shopping malls tusingebaki na hela ya kuwapa nyinyi. Vitu nya magengeni ni fresh zaidi kuliko vya supermarket.
Muwe mnafikiria kabla ya kutoa kakuli zenu. Wenye magenge pia wana familia za kulisha na watoto wa kusomesha.