Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

Sijatumia nguvu kuwatetea nilikua natoa maelezo kulingana na ufahamu wangu wa Biblia.

Mkuu, kama kutoa sadaka unaona unaibiwa Acha na kanisani usiende it's your choice.

Ila Mimi sitaacha kutimiza wajibu wangu so long as naamini ni miongozo sahihi ya Mungu kupitia kitabu chake kitakatifu (biblia).

Until then kila mtu abakie na msimamo wake, na apambane na hali yake.

Kama Mchungaji yeye anatumia abuse mahusiano yake na waumini wake it is entirely up to him with his God,

Ila kutimiza wajibu wangu kama mkristo sitaacha,

Nafahamu mambo mengi Sana yanayoendelea nyuma ya pazia kwenye taasisi za dini iwe ni wakristo au waislamu ila Mimi hayo hayanihusu ninachoangalia ni mahusiano yangu na Mungu pekee.

Adios.
Hapo kwenye ^mimi hapo hayanihusu,^ sidhani kama ni sawa. You've responsibility ya kujenga integrity ya usharika wako.
 
Hao uliowataja wewe kwenye biblia sadaka zao walikuwa wanaenda kununulia Benz na Range rovers?na zingine walikuwa wanaenda kulipia lodge kulala na wake za watu?
Angalia context pia --- mazingira yanabadilika. Sidhani kama ni sahihi kupanda punda kama usafiri eti kwa vile tu alipanda Mwana wa Seremala.
 
Ninapoishi jirani kuna kikanisa kinachipukia. Sasa asubuhi hii kuna kina mama wamekuja nyumbani kununua kuku kwa ajili ya mch. Wananiambia halagi nyama nyekundu.

Typical cults.
Nadhani doctors na nutritionists wanashauri red meat [emoji491] is not good for health ndiyo maana wamama wanasaka kuku white meat kwa ajili yake.
 
Acha tu ila baadhi ya kina mama, dada, mabinti ndi wateja wakubwa wa manabii fekero! Mchungaji akitaka gari anaomba michango kutoka kwa kondoo ila kondoo akitaka gari anaombewa na mchungaji fekero.
Sio wateja mkuu ni misukule...yaan mtu ana hida unamtumia elf 20 ajikimu kwa chochote...anaenda kutoa zaka yote....anasubiri muujiza
 
Hata kama ni gari angalau iwe corola.
Isiwe wewe unatembelea vogue halafu waumini wako wanatembelea miguu,hapo utakuwa ni mchungaji feki.
Ukweli ni kuwa dini Kwa mfumo wa madhehebu ni usanii , madhehebu ni miradi ya watu trust me or not , Uhalisia Ni kuwa Mungu yupo na anatenda kazi mioyoni mwa watu wote , ila haya madhehebu na watu wanaojiita mitume , sjui waponyaji hamna kitu ..... Ni heri uchukue hela yako ununue biblia uzigawe Kwa wahtaj , na mahtaji mengine ya vyakula na maradhi Kwa wahtaji .... Hawa wanaojiita watumishi ni wavivu wa kufanya kazi Tuu....
 
Namba mbili hiyo maybe ilikuwa shetani kuaminisha Mungu ni mbaya, kwamba anaua na kulinda mayai. Kitu ambacho sio kweli, binafsi najua Mungu haui na pia huwapa neema hata wale waovu. Hivyo kusema Mungu kalinda mayai huku akiacha raia wakafa ni kujustify Mungu ni muuaji kitu ambacho sio sahihi.
Yule dada alikuwa clearly amekufuru. Fuatilia kisa chote kipo everywhere on the internet. Sikubaliani nawe kwenye statements kwamba Mungu hadeal na wale waovu kwamba anawafumbia macho tu day in and day out.
 
well said
Ukweli ni kuwa dini Kwa mfumo wa madhehebu ni usanii , madhehebu ni miradi ya watu trust me or not , Uhalisia Ni kuwa Mungu yupo na anatenda kazi mioyoni mwa watu wote , ila haya madhehebu na watu wanaojiita mitume , sjui waponyaji hamna kitu ..... Ni heri uchukue hela yako ununue biblia uzigawe Kwa wahtaj , na mahtaji mengine ya vyakula na maradhi Kwa wahtaji .... Hawa wanaojiita watumishi ni wavivu wa kufanya kazi Tuu....
 
Kama wewe kanisa toka January mpaka desemba hakuna hata miujiza Watu wanaingia ibadani wamevaa iridhi na hakuna kinachotokea tafasiri take hapo hakuna uwepo wa nguvu za kiroho zinazompi va shetani .Kanisa balokemei Mapepo wewe bado unatetea tu .Kama yesu alikemea Mapepo ,viwete wakatembea,vipofu wakaona na viziwi wakasikia na akatoa Watu Mapepo Sasa unahubiri habari gani hapa Kama miujiza haitendeki .Kinachofuatwa kwenye Nyumba za Ibada ni Roho Mtakatifu abariki roho za waumini sasa wasisumbuliwe na Mapepo Sasa Watu wamejaa kanisani bado ni Wachawi hatari unafiri Hilo linatoa Impact gani kwenye hiyo jamii.Pia nakukumbusha kila aina ya eneo la kuabudia panahitaji sadaka.
Wanahitaji maombi ya kufunguliwa
 
Hata kama ni gari angalau iwe corola.
Isiwe wewe unatembelea vogue halafu waumini wako wanatembelea miguu,hapo utakuwa ni mchungaji feki.
Wakitembea peku napo mnasema ^Kanisa gani hili waamini hata hawamjali mtumishi wao^
 
Sio wateja mkuu ni misukule...yaan mtu ana hida unamtumia elf 20 ajikimu kwa chochote...anaenda kutoa zaka yote....anasubiri muujiza
Kuna shida kubwa kuliko ile ya rohoni!??? Halafu, statement yako ni overgeneralization. Watu wanapenda kutoa kwa hiari 7bb wameona mabadiliko ya maisha yao, ndoa zao, amani wanapata, kazi wameajiriwa and so forth. Sasa wanatoa shukrani. Kumbe nimegundua wewe huna moyo wa shukrani kabisa.
 
Kwa kawaida maneno ya yasiyo na maana yakiandikwa kwa kiingereza yanaonekana yana maana. Ndicho ulichofanya hapa:

1. Awali ya yote....tofaut ya waislam na wakristo juu ya yesu sio kutokuwapo yesu hapa duniani bali ni asili ya yesu....je ni nabii au mungu? - kila mmoja ana ushahidi tofauti.


2. Kutovunjika kwa mayai hakumaanishi Mungu yuko in control vinginevyo nieleezee kwanin kuna wanadamu wanakufa kwa njaa....mfano hapo sudani tu....yaan mtu akosa chakula anakufa....wewe unanambia mungu yuko in control kwasabb tu mayai hayakuvunjika.


3. Imani ni dhana isiyokuwa na ushahid kabsa. Haiwez kujitetea yenyewe bila kuingiza woga na dhana sizizothibitika. Mfano. Unaposema kuna: unazungumzia swala la watu waliokwisha kufa hali hawajawah kuskia ukristo wala uislam....hawa watu wataenda motoni au peponi? Unazungumziaje dhana kwamba mungu wa upendo atawachoma wenye dhambi milele na milele?


4. Ukiyachunguza maandiko hasa biblia....basi hutajihusisha nayo tena. Kwanza mungu wa agano la kale ana tabia na hulka za kibinadamu....pia ana mtizamo tofaut wa kiiman ukilinganisha na mungu wa agano jipya. Ukienda mbali zaidi....mungu wa agano la kale alikuwa muuwaji na mpenda visasi kama viongozi wa kiimla.


Kwa vyovyote vile, imani hasa za ya haya makanisa ya kisasa....zinapaswa kupigwa vita na yeyote mwenye akili timamu.
1. Uislamu & Ukristo. Ndiyo maana nikasema uwepo wa historical figure aliyeitwa Yesu hapa duniani ni jambo ambalo kwa lenyewe siyo kidogo kwa sababu kuna maswali mengi logical na factual unaweza kujiuliza kuhusu maisha ya Mwana wa Seremala ambayo lazima yakufikishe kwenye hitimisho kwamba ni Mungu. Huko kupinga kwa baadhi ya watu ni sababu ya uelewa mdogo kuhusu nature of God. Most people are stuck with that God's nature which seems to fit or agree with their little, limited human understanding capacity. Most individuals are not willing or unable to welcome some peculiar ideas they had never encountered before. It is as though their thinking processes have hit the rock bottom and do not see a way out or can never make further progress anymore.

2. Watu hawafi kwa njaa kwa sababu eti ^Mungu hayuko in control^ ama He doesn't care. No. People suffer and die out of hunger, diseases and other causatives mainly kwa sababu ya uchoyo wa mwanadamu. Few people want to amass all the resources and means of production and channels za economy za Waafrika, for instance, ili waendelee kuwatawala. God wishes wonderful prosperity and progress to each of His faithful sons or daughters. And there are enormous resources and wealth in the world much more than enough if equally distributed among all its inhabitants. Back to the eggs in the tray -- He did that to teach a valuable lesson to people like you who still don't believe He exists for our complete and personal sustenance and protection.

3. I told you, and I am saying it again: ^Your understanding of faith is simplistic, superficial, and preposterously rudimentary.^ Why huwezi hata kureason kwamba kwa nini Mungu alikupatia so delicate & complex Central Nervous System!??? For what actually, if He always expects you to merely engender and assent to some blind unsubstantiated beliefs!??? All along, we are being constantly and clearly warned against false individuals who would address themselves as messengers and well-wishers sent from the abodes of Heaven, although we know they are lying spirits and deceptive agents from the devil. How then are we to recognize them from the ^angels of light^ if our faith has to be passive and subservient, as you seem to suppose!?? Please don't relate theories and suppositions that you are being told by those who are either God-haters or biblically illiterate and ^uninformed.^ Kindly, we expect you to be more intelligent than this. Read the Bible for yourself and you won't have to wallow in the darkness of pure theorization and misinformation.

4. ^Hatima ya watu waliokufa ilhali hawakumjua Kristo^ ^Kiama cha milele & milele^ All I know is that God is love. God is just. God is kind. God is wise. God has a DEFINITE plan. This is why He gives you enough time even now for you to make intelligent, voluntary decision to choose Him. If you choose the devil instead, then there is nothing more He can do for you to enjoy eternal redemption with Him because, by so doing -- exercising your free will by casting your vote on the side of darkness -- you would have obviously defaulted your chances of eternal life.

5. The Bible ingekuwa wanaandikiwa malaika, most likely ingekuwa na lugha tofauti na matukio tofauti na haya ambayo tumezoea. Kwenye Bible Mungu anawasiliana na mwanadamu, kwa hiyo lazima lugha anayoitumia nayo iwe ya kibinadamu. As it is rightly said: ^If you are on your way to a country, say, Tanzania [emoji1241], then take the specific route that leads you there, and you won't have to second-guess your destination or get lost along the way!^ This is even more applicable when it comes to God as far as communication with humanity is concerned. He had to employ a system of language that would help us to both understand & appreciate His eternal plan and precious realities He has been tirelessly working since time immemorial just in order to convey them to this sin-sick world. Simply put, no straight-thinking individual of integrity would even try to discredit the accuracy and reliability of the Bible and its awesome, comprehensive, emphatic, and yet simple (not simplistic) message of the unparalleled love of God to the whole world [emoji289]
 
Mchungaji anasema mimi nimebarikiwa nimeacha kupanda daladala sasa hivi nina Mercedes Benz wakati sisi tunaokupa sadaka zetu tulipanda daladala ili tufike kanisani.
Ndo hivyo,Mchungaji anakula kondoo walionona,wakati kondoo wanakula nyasi.
 
UJUWE kua Mungu hana shida wala hana njaa za kuomba pexa yako ila kama unamuaamini uyo mungu basi inatakiwa utoe sadaka kwa ule anaekufikisha hilo neno la mungu. Hapo ndo utapata ridha ya mungu. Sadaka sio lazma utoe pexa kama ww huna pexa ya kutoa. Toa chochote cha ziada ulichonacho kilishohalalishwa ... Unadhani Wachungaji na ma Sheikh watakula wapi? Kama sio Sadaka yako ww uliekuja kupata neno la BWANA....

Sadaka zangu siku hizi nazipeleka kwa wahitaji...kama watoto yatima, wagonjwa, wasiojiweza na magerezani huko...sio kwa hawa wasanii
 
Mchungaji anasema toa upate baraka, utanyeshewa baraka za kukuinua, hutakua mtu wa magengeni tena, hutakua mtu wa kununua mitumba tena utanunua nguo kwenye ma shoping mall na mahitaji yako yatatoka supermarket.

Hizi hela tulizonazo tungeamua kuwa watu wa manunuzi ya supermarket na shopping malls tusingebaki na hela ya kuwapa nyinyi. Vitu nya magengeni ni fresh zaidi kuliko vya supermarket.

Muwe mnafikiria kabla ya kutoa kakuli zenu. Wenye magenge pia wana familia za kulisha na watoto wa kusomesha.
Niliisha acha kwenda makanisa yanayohubiri mafanikio ya kimwili zaidi kuliko roho.
 
Kuna hadithi moja niliwahi kuikuta mtandaoni kwamba kuna binti mmoja alienda kuwasalimu wazazi wake kijijini akiwa na usafiri wake binafsi.

Siku ya kuondoka, wazazi wake wakamfungashia zawadi za kwenda nazo mjini yakiwemo mayai ya kienyeji kwani wazee walikuwa ni wafugaji.

Wakati anataka kuianza safari mama yake mzazi akamwambia, "mwanangu Mungu akutangulie", kwa kebehi yule binti akamjibu, "mama achana na huyo Mungu wako asiyekuwepo!".

Akawasha gari yake akaondoka. Njiani akapata ajali mbaya sana akafariki palepale, mwili wake haukuweza kutambulika kabisa, lakini cha ajabu YALE MAYAI YALIBAKI SALAMA, HAKUNA LILILOVUNJIKA HATA MOJA. Narudia tena, Mungu hadhihakiwi hata kidogo.

Nakusihi sana mtoa uzi ujitafakari, ukiona inafaa uufute kabisa huu uzi na ukaitubu hii dhambi.

Kumbe ni hadithi
 
Hiyo fedha ni kwa lengo la kuimarishia huduma zaidi. Mambo ya rohoni yana gharama yake pia. Ukishiriki kwa kutoa sadaka yako pale kigangoni ama usharikani kiroho safi hapo unakuwa umeokoa nafsi moja kutoka umautini.

Huduma ya kiroho siku hizi inauzwa mkuu? Jitafakari, usitetee kila jambo as if huna akili hata moja... moyoni mwako unaujua ukweli hulazimishwi kukubali hapa. Ubarikiwe unapoyatafakari hayo
 
Back
Top Bottom