Kwa kawaida maneno ya yasiyo na maana yakiandikwa kwa kiingereza yanaonekana yana maana. Ndicho ulichofanya hapa:
1. Awali ya yote....tofaut ya waislam na wakristo juu ya yesu sio kutokuwapo yesu hapa duniani bali ni asili ya yesu....je ni nabii au mungu? - kila mmoja ana ushahidi tofauti.
2. Kutovunjika kwa mayai hakumaanishi Mungu yuko in control vinginevyo nieleezee kwanin kuna wanadamu wanakufa kwa njaa....mfano hapo sudani tu....yaan mtu akosa chakula anakufa....wewe unanambia mungu yuko in control kwasabb tu mayai hayakuvunjika.
3. Imani ni dhana isiyokuwa na ushahid kabsa. Haiwez kujitetea yenyewe bila kuingiza woga na dhana sizizothibitika. Mfano. Unaposema kuna: unazungumzia swala la watu waliokwisha kufa hali hawajawah kuskia ukristo wala uislam....hawa watu wataenda motoni au peponi? Unazungumziaje dhana kwamba mungu wa upendo atawachoma wenye dhambi milele na milele?
4. Ukiyachunguza maandiko hasa biblia....basi hutajihusisha nayo tena. Kwanza mungu wa agano la kale ana tabia na hulka za kibinadamu....pia ana mtizamo tofaut wa kiiman ukilinganisha na mungu wa agano jipya. Ukienda mbali zaidi....mungu wa agano la kale alikuwa muuwaji na mpenda visasi kama viongozi wa kiimla.
Kwa vyovyote vile, imani hasa za ya haya makanisa ya kisasa....zinapaswa kupigwa vita na yeyote mwenye akili timamu.
1. Uislamu & Ukristo. Ndiyo maana nikasema uwepo wa historical figure aliyeitwa Yesu hapa duniani ni jambo ambalo kwa lenyewe siyo kidogo kwa sababu kuna maswali mengi logical na factual unaweza kujiuliza kuhusu maisha ya Mwana wa Seremala ambayo lazima yakufikishe kwenye hitimisho kwamba ni Mungu. Huko kupinga kwa baadhi ya watu ni sababu ya uelewa mdogo kuhusu nature of God. Most people are stuck with that God's nature which seems to fit or agree with their little, limited human understanding capacity. Most individuals are not willing or unable to welcome some peculiar ideas they had never encountered before. It is as though their thinking processes have hit the rock bottom and do not see a way out or can never make further progress anymore.
2. Watu hawafi kwa njaa kwa sababu eti ^Mungu hayuko in control^ ama He doesn't care. No. People suffer and die out of hunger, diseases and other causatives mainly kwa sababu ya uchoyo wa mwanadamu. Few people want to amass all the resources and means of production and channels za economy za Waafrika, for instance, ili waendelee kuwatawala. God wishes wonderful prosperity and progress to each of His faithful sons or daughters. And there are enormous resources and wealth in the world much more than enough if equally distributed among all its inhabitants. Back to the eggs in the tray -- He did that to teach a valuable lesson to people like you who still don't believe He exists for our complete and personal sustenance and protection.
3. I told you, and I am saying it again: ^Your understanding of faith is simplistic, superficial, and preposterously rudimentary.^ Why huwezi hata kureason kwamba kwa nini Mungu alikupatia so delicate & complex Central Nervous System!??? For what actually, if He always expects you to merely engender and assent to some blind unsubstantiated beliefs!??? All along, we are being constantly and clearly warned against false individuals who would address themselves as messengers and well-wishers sent from the abodes of Heaven, although we know they are lying spirits and deceptive agents from the devil. How then are we to recognize them from the ^angels of light^ if our faith has to be passive and subservient, as you seem to suppose!?? Please don't relate theories and suppositions that you are being told by those who are either God-haters or biblically illiterate and ^uninformed.^ Kindly, we expect you to be more intelligent than this. Read the Bible for yourself and you won't have to wallow in the darkness of pure theorization and misinformation.
4. ^Hatima ya watu waliokufa ilhali hawakumjua Kristo^ ^Kiama cha milele & milele^ All I know is that God is love. God is just. God is kind. God is wise. God has a DEFINITE plan. This is why He gives you enough time even now for you to make intelligent, voluntary decision to choose Him. If you choose the devil instead, then there is nothing more He can do for you to enjoy eternal redemption with Him because, by so doing -- exercising your free will by casting your vote on the side of darkness -- you would have obviously defaulted your chances of eternal life.
5. The Bible ingekuwa wanaandikiwa malaika, most likely ingekuwa na lugha tofauti na matukio tofauti na haya ambayo tumezoea. Kwenye Bible Mungu anawasiliana na mwanadamu, kwa hiyo lazima lugha anayoitumia nayo iwe ya kibinadamu. As it is rightly said: ^If you are on your way to a country, say, Tanzania [emoji1241], then take the specific route that leads you there, and you won't have to second-guess your destination or get lost along the way!^ This is even more applicable when it comes to God as far as communication with humanity is concerned. He had to employ a system of language that would help us to both understand & appreciate His eternal plan and precious realities He has been tirelessly working since time immemorial just in order to convey them to this sin-sick world. Simply put, no straight-thinking individual of integrity would even try to discredit the accuracy and reliability of the Bible and its awesome, comprehensive, emphatic, and yet simple (not simplistic) message of the unparalleled love of God to the whole world [emoji289]