Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

Wachungaji mnaosema tukiwapa sadaka tutabarikiwa kuwa wateja wa kwenye ma Mall, mnajiona mko sawa?

Kanisani natoa sadaka tu. Misaada mingine napeleka kwa wajane, wagonjwa, watoto na wengine wenye mahitaji.
Kanisani wataambulia sadaka yangu tu tena niliyoipanga mwenyewe.
Hatareee sana hii kitu
 
Kuna Mchungaji fulani alimuweka mhasibu , akamwambia Naomba nisaidie maswala ya kihasibu Hapa kanisani .

Sasa yule Mhasibu ni Mweledi.

Basi Mchungaji kila akitaka hela anakwambia Mhasibu nataka kiasi fulani cha fedha, Mhasibu anamwambia sawa lakini naomba niandikie kwenye karatasi au form ili niweze kutunza kumbukumbu kwa usahihi.

Yule Mchungaji akawa hataki jambo hilo hatimae akamuondosha pale kanisani.

Anamwambia kanisa nilianzishe mwenyewe, halafu nikitaka hela unipangie utaratibu? Akamtoa kabisa.

Hivyo ndivyo mambo yanavyofanyika!
Where is your proofs that show the election was rigged, Mr TRUMP!???
 
Kutoa mapepo naona imekuwa fasheni siku hizi kwa makanisa ya kiafrika!

Kila kanisa ukienda watu ni mapepo, ukifungulia TV channel ni kuangushwa watu mapepo na unabii fake!

Kusudi kuu la kanisa ni Mathayo 28:19 -20 Basi enendeni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu mkiwabatiza kwa jina........na kuwafundisha kuyashika yote..........
Kama wewe kanisa toka January mpaka desemba hakuna hata miujiza Watu wanaingia ibadani wamevaa iridhi na hakuna kinachotokea tafasiri take hapo hakuna uwepo wa nguvu za kiroho zinazompi va shetani .Kanisa balokemei Mapepo wewe bado unatetea tu .Kama yesu alikemea Mapepo ,viwete wakatembea,vipofu wakaona na viziwi wakasikia na akatoa Watu Mapepo Sasa unahubiri habari gani hapa Kama miujiza haitendeki .Kinachofuatwa kwenye Nyumba za Ibada ni Roho Mtakatifu abariki roho za waumini sasa wasisumbuliwe na Mapepo Sasa Watu wamejaa kanisani bado ni Wachawi hatari unafiri Hilo linatoa Impact gani kwenye hiyo jamii.Pia nakukumbusha kila aina ya eneo la kuabudia panahitaji sadaka.
 
Kama wewe kanisa toka January mpaka desemba hakuna hata miujiza Watu wanaingia ibadani wamevaa iridhi na hakuna kinachotokea tafasiri take hapo hakuna uwepo wa nguvu za kiroho zinazompi va shetani .Kanisa balokemei Mapepo wewe bado unatetea tu .Kama yesu alikemea Mapepo ,viwete wakatembea,vipofu wakaona na viziwi wakasikia na akatoa Watu Mapepo Sasa unahubiri habari gani hapa Kama miujiza haitendeki .Kinachofuatwa kwenye Nyumba za Ibada ni Roho Mtakatifu abariki roho za waumini sasa wasisumbuliwe na Mapepo Sasa Watu wamejaa kanisani bado ni Wachawi hatari unafiri Hilo linatoa Impact gani kwenye hiyo jamii.Pia nakukumbusha kila aina ya eneo la kuabudia panahitaji sadaka.


Ni zaidi ya kutoa mapepo!

Mafundisho ndiyo msingi Mkuu wa Mwamini !
Ufahamu!

Imeandikwa: “utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake yote mengine mtazidishiwa!

Mtu mwenye ufahamu wa Neno na kuliishi pepo hamkaribii.

Wafundisheni watu Neno la Uzima, ili wajitegemee na siyo Habari ya kutoana mapepo tu kuanzia Januari hadi December kila Mwaka ni yale yale ya watu kuangushwa chali [emoji108][emoji108]

Nimekupa matatizo ule wa agizo kuu umeusoma wa Mathayo 28:19?
 
Ni zaidi ya kutoa mapepo!

Mafundisho ndiyo msingi Mkuu wa Mwamini !
Ufahamu!

Imeandikwa: “utafuteni kwanza ufalme wa Mungu na haki yake yote mengine mtazidishiwa!

Mtu mwenye ufahamu wa Neno na kuliishi pepo hamkaribii.

Wafundisheni watu Neno la Uzima, ili wajitegemee na siyo Habari ya kutoana mapepo tu kuanzia Januari hadi December kila Mwaka ni yale yale ya watu kuangushwa chali [emoji108][emoji108]

Nimekupa matatizo ule wa agizo kuu umeusoma wa Mathayo 28:19?
Hilo neno limeandikwa na binadamu kama wewe, mengine hayana hata logic
 
Kuna siku tulikua kanisani, unajua mahibiri ya walokole ni mpaka mchungaji achoke kuongea. Imefika saa saba mahubiri yanaendelea na mke wa mchungaji anakunywa Coca-Cola kupoza koo.
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
1. Almost all people, Waislamu included, wanaamini fika kwamba alikuwepo hapa duniani Nabii historically kwa jina la Yesu bin Mariam Mnazareti. That in itself should send mind-opening shock waves kwa mtu yeyote anayefikiria kwa umakini. Just in itself hii evidence of testimony inatosha kuleta valid conviction.

2. Kisa cha mayai! Please, explain to me nini kiliyaprotect lisivunjike even one, given gari lote lilikuwa nyang'nyang'a, trei la mayai limeshift position yake ya awali very significantly. Take time to think through it, don't just crush over. Kuhusu Tsunami, na matukio mengine mengi tu ambayo ni superhuman, those are additional evidences in support of the fact that God exists and He is in control.

3. Your definition of ^imani,^ I am afraid, is very rudimentary & superficial. Faith is clearly based on evidence. We don't simply believe in nothing; we believe in substance. Jesus told incredulous Thomas: ^Touch and feel My body!^

4. God is never interested in blind faith, but rather active, reasonable faith. He wants us to come close to Him and reason together with Him. A classic example for this is when He confronted Adam in the Garden. They kept talking and exchanged views; and it did not happen just once or twice or three times. It was regular & habitual.

5. God wants us to investigate the evidences for our beliefs, otherwise it would have been literally unthinkable and even pointless for Him to deliver the Scriptures to us. If you read the Scriptures with open-mindedness & under His divine guidance, you cannot but affirm how much He has sufficiently answered all life's troubling questions and mysteries.
Namba mbili hiyo maybe ilikuwa shetani kuaminisha Mungu ni mbaya, kwamba anaua na kulinda mayai. Kitu ambacho sio kweli, binafsi najua Mungu haui na pia huwapa neema hata wale waovu. Hivyo kusema Mungu kalinda mayai huku akiacha raia wakafa ni kujustify Mungu ni muuaji kitu ambacho sio sahihi.
 
Mkuu itoshe kusema tu wewe hujabarikiwa kuwa na moyo wa kutoa.

Ungekuwa nao wala hata usingekuwa unapata tabu ya kujiuliza maswali yote haya.

Huo sio wito wako.

Utakuwa wa madhababuhi wewe!!

Si kwa kutetea huko.

Hao walawi vya madhabahuni walikuwa wanakula yaani ni kwaajili ya kuishi tu ila hawa wasasa wanafanya starehe, magari ya gharama, maisha ya kifahari huku waumini wao wakikosa chakula ama hata matibabu na wameshindwa kuwasaidia.
 
Back
Top Bottom