Imeandikwa:Hao wachungaji wengi ni wapigaji, ebu chukulia watu kama Kina Gwajima wanacheza hadi porno, angalia mwingira anazaa hadi na wake za watu, angalia Lusekelo anapiga hadi NYAGI na kutukana majirani, Mwamposa anawauzia watu maji kwa bei ya juu yaani ulanguzi na wizi, sasa wachungaji matapeli kama hao ndio wataongea mambo ya maana?
Maumivu uliyonayo ndiko kukomboka kwako kifikra....Bro inakera umepata kipesa chako kwa kuangaika unamrushia huko mkoani ili nae aone zile ada alizomlipia mjukuu wake zinarudi, yan hapo ndo unampigia ili umuulize kama umepata pesa ulomtumia anakunjibu asante yesu nimepata sadaka kesho niende safina. Ukisikia hvo unatamani kumwambia em nirejeshee pesa yangu sema ndo hivo ukishampa na umeeka nia kua ni sadaqa yako kwa mzazi uanabaki tu kimya uanjimind. Na hii asikuambie mtu imnifanya nipunguze kiasi cha kumtumia
Hii ni sawa na serikali ya Tanzania, umebarikiwa kila kitu gesi, dhahabu, madini, wanyama pori, mito na maziwa, lakini bado inakazania kukusanya pesa za wasio barikiwa - wananchi ambao hata elfu moja kwa siku kwao kuipata ni shidaMtu aliyebarikiwa anakusanya pesa za wasio na baraka.
Kwasababu hawataki kuwekeza katika uchumi na maisha ya watu. Kama maji yangewefanyiwa kipaumbele kila nyumba ingekua na maji na inalipa Bill ya mwezi, wangeweza kuongeza shilingi 4,000 kwa kila bill ya maji.Hii ni sawa na serikali ya Tanzania, umebarikiwa kila kitu gesi, dhahabu, madini, wanyama pori, mito na maziwa, lakini bado inakazania kukusanya pesa za wasio barikiwa - wananchi ambao hata elfu moja kwa siku kwao kuipata ni shida