[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaitwa baba Mchungaji kuchunga kondoo hivyo mke anafuata nyuma nyuma asipojielewa ndiyo hivyo anafanya vituko tuKuna siku tulikua kanisani, unajua mahibiri ya walokole ni mpaka mchingaji achoke kuongea. Imefika saa saba mahubiri yanaendelea na mke wa mchungaji anakunywa Coca-Cola kupoza koo.
Mchungaji halazimishi watu kutoa, tena ukitoka noti ya 10,000 Mchungaji anatabasamu. Anatakiwacaridhike na anachokipata.Kama ni msomaji mzuri wa Biblia utaona kwamba Walawi walikuwa hawafanyi kazi nyingine yeyote ile isipokuwa ya kumtumikia Mungu madhabahuni na walikuwa na sehemu yao maalum ya sadaka kwakuwa walikuwa hawazalishi.
Hivyo si ajabu kwa Mchungaji sasa kukumbushia haki yake ya Kibiblia kwani kazi yake ni madhabahuni pa Bwana.
Sasa unataka Mchungaji akafungue hoteli kubwa halafu muanze kusema kuwa anazungusha sadaka??
Acheni ukaidi toeni mbarikiwe.
Naam kama unauza genge toa Mungu atakubariki utafungua supermarket.
Mtu aliyebarikiwa anakusanya pesa za wasio na baraka.
Mtu aliyebarikiwa anakusanya pesa za wasio na baraka.
Yuko sahihi kabisa kuchekelea sadaka kwa noti ya elfu 10 kwani hata Mungu amekua akiwatakabali wanaotoa sadaka nzuri madhabahuni pake , mfano wa kaini na Abel.Mchungaji halazimishi watu kutoa, tena ukitoka moto ya 10,000 Mchungaji anatabasamu. Anatakiwacaridhike na anachokipata.
Yule masikini aliyetoa centi mbili Yesu alisema alitoa kuliko wote. Unatoa ulicho nacho na kiheshimiwe. Usiheshimu waliotoa vikubwa.Yuko sahihi kabisa kuchekelea sadaka kwa noti ya elfu 10 kwani hata Mungu amekua akiwatakabali wanaotoa sadaka nzuri madhabahuni pake , mfano wa kaini na Abel.
Katika kitabu cha Nehemia 8:10 tunaambiwa tule vilivyo vinono na kunywa vilivyo vitamu.
Mungu wetu hajawahi kuwa Mungu wa vinyonge hata siku moja na tena anasema katika neno lake tukapeleke zaka zilizo kamili ghalani mwake.
Mtumishi nakuusia ukapeleke vilivyo kamili kamili mbele ya Bwana.
Mungu alitoa sadaka, Yesu.
Abraham akatoa Isack.
Wewe ni nani usitoe.
Enyi uzao wa Nyoka acheni Ukaidi.
Soma Amos 4:3-4, Hagai 1:5-10, malaki 3:8-11, soma kidogo hapoTatizo wanatushauri tumchangie mungu hela HUKU mungu hatumii hela kwenye shughuli zake
Ndicho alichokuwa nacho, wale matàjiri walitoa cha ziadaYule masikini aliyetoa centi mbili Yesu alisema alitoa kuliko wote. Unatoa ulicho nacho na kiheshimiwe. Usiheshimu waliotoa vikubwa.
Huyo maskini alitoa kikubwa kwani alitoa me kile alichokuwa nacho hakua na cha ziada ile sadaka ndio ilikuwa kila kitu kwake wengine walitoa vya ziada ila yeye pekee.Yule masikini aliyetoa centi mbili Yesu alisema alitoa kuliko wote. Unatoa ulicho nacho na kiheshimiwe. Usiheshimu waliotoa vikubwa.
Wakatoliki hawalazimishani sadaka, ni Walibi wako kutoa sadaka na fungi la kumi lakini hawaitwi waliotoa watoke mbele.Huyo maskini alitoa kikubwa kwani alitoa me kile alichokuwa nacho hakua na cha ziada ile sadaka ndio ilikuwa kila kitu kwake wengine walitoa vya ziada ila yeye pekee.
Mchungaji anao wajibu wa kuwakumbusha waumini kufanya yaliyo sahihi, kama kutoa sadaka zilizokamilika.
Mungu pia anawaheshimu wanaotoa anawakumbuka na kuwabariki.
Usiache kutoa ndugu.
Mkuu itoshe kusema tu wewe hujabarikiwa kuwa na moyo wa kutoa.Wakatoliki hawalazimishani sadaka, ni Walibi wako kutoa sadaka na fungi la kumi lakini hawaitwi waliotoa watoke mbele.
Hata wao wanahimiza sana siku hizi hakuna misaada kwa Padri mnamtunza mwenyewe kwa kila kitu, je huko kwenye jumuiya acha kukabana koo hatari!Wakatoliki hawalazimishani sadaka, ni Walibi wako kutoa sadaka na fungi la kumi lakini hawaitwi waliotoa watoke mbele.
Tanzania ninamfahamu mchungaji mmojaHao wachungaji wengi ni wapigaji ,ebu chukulia watu kama Kina Gwajima wanacheza hadi porno ,angalia mwingira anazaa hadi na wake za watu,angalia Lusekelo anapiga hadi NYAGI na kutukana majirani ,mwamposa anawauzia watu maji kwa bei ya juu yaani ulanguzi na wizi ,sasa wachungaji matapeli kama hao ndio wataongea mambo ya maana?
Kwani Masheikh wanaishije? tusijustify wizi...sadaka atoe mtu kama anacho tu...siyo kulaghai waumini...na kuwatisha kwa vifungu vya bible,huu ni utapeli.Ila sadaka ni lazima jamani hata Bible inasema usiende au asionekane nyumbani mwa BWANA mikono mitupu, kuombea watu nao kazi wapendwa, Mchungaji anasimama saa 1-9 anaongea tu kweli? Sasa Mchungaji afungue genge sasa Mimi ulweso nikitaka kumuona niende pale gengeni?
Kama wao kweli ni watumishi wa Mungu...Mungu awape hizo hela siyo sisi...huu ni wizi kama wizi mwingine tu.Yuko sahihi kabisa kuchekelea sadaka kwa noti ya elfu 10 kwani hata Mungu amekua akiwatakabali wanaotoa sadaka nzuri madhabahuni pake , mfano wa kaini na Abel.
Katika kitabu cha Nehemia 8:10 tunaambiwa tule vilivyo vinono na kunywa vilivyo vitamu.
Mungu wetu hajawahi kuwa Mungu wa vinyonge hata siku moja na tena anasema katika neno lake tukapeleke zaka zilizo kamili ghalani mwake.
Mtumishi nakuusia ukapeleke vilivyo kamili kamili mbele ya Bwana.
Mungu alitoa sadaka, Yesu.
Abraham akatoa Isack.
Wewe ni nani usitoe.
Enyi uzao wa Nyoka acheni Ukaidi.
Umesahau bajaj na boda boda pia ndio usafiri wa wauminiMchungaji anasema mimi nimebarikiwa nimeacha kupanda dala dala sasa hivi nina Mercedes Benz wakati sisi tunaokupa sadaka zetu tulipanda dala dala ili tufike kanisani.
@Sky Eclat ,,,Mchungaji halazimishi watu kutoa, tena ukitoka moto ya 10,000 Mchungaji anatabasamu. Anatakiwacaridhike na anachokipata.
Tatizo ni kutumia sadaka kutoka kwa watu masikini kwenye mambo ya kifahari kama kumiliki magari mengi ya kifahari , na aina mbalimbali za anasa wakati angeweza kuwa na gari moja au mawili na likatosha ktk kazi zake za uchungangaji. Hela nyingine zingetumika kusaidia jamii kama kufungua hospitals, vituo Vya kulelea yatima nk.Ila sadaka ni lazima jamani hata Bible inasema usiende au asionekane nyumbani mwa BWANA mikono mitupu, kuombea watu nao kazi wapendwa, Mchungaji anasimama saa 1-9 anaongea tu kweli? Sasa Mchungaji afungue genge sasa Mimi ulweso nikitaka kumuona niende pale gengeni?