covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
na ndio hii kitu ilinifanya niachane na makanisa eti mchungaji achangiwe hela ya gari wakati mm kula yangu ni mtafutano..Mchungaji anasema mimi nimebarikiwa nimeacha kupanda dala dala sasa hivi nina Mercedes Benz wakati sisi tunaokupa sadaka zetu tulipanda dala dala ili tufike kanisani.