Wachungaji msitumie maneno ya kudhalilisha utu wakati wa mahubiri au semina zenu

Wachungaji msitumie maneno ya kudhalilisha utu wakati wa mahubiri au semina zenu

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
14,588
Reaction score
32,361
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi.

Naandika huu uzi nikiwa na hasira kali sana dhidi ya baadhi ya wachungaji, manabii, Motivational speakers na wengine wote wanaotoa mahubiri au semina mbalimbali. Hii ni kwa sababu ya wengi kuanza kudhalilisha watu kwa kisingizio cha ushauri. Mara nyingi Motivational speakers ndo huwa wanaleta kauli tata.

Jana nimetazama video ya mchungaji Rose Shaboka nikapatwa na hasira kali sana juu yake. Alikuwa akitoa ushauri kwa wanawake wadogo jinsi ya kuvaa na kujipamba. Kwa jinsi alivyokuwa akielezea utaona jinsi gani huyu mchungaji alivyokuwa akijikweza kwa kiburi kisichoelezeka. Alivuka mipaka yote ya ustaarabu kwa kuwatukana waalimu wa shule za msingi kwamba nywele zao huwa ziko rafu rafu. Huyu mchungaji alinirudisha hadi mwanzoni mwa miaka ya 90 nikamkumbuka mwalimu wangu wa darasa la kwanza na kujikuta nikipatwa na huzuni endapo angeangalia hiyo clip.

Ninamtaka huyu Rose Shaboka aombe msamaha waalimu wote. Kwa ushahidi tazama hiyo video.
 

Attachments

  • waalimu.mp4
    1.4 MB
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi.

Naandika huu uzi nikiwa na hasira kali sana dhidi ya baadhi ya wachungaji, manabii, Motivational speakers na wengine wote wanaotoa mahubiri au semina mbalimbali. Hii ni kwa sababu ya wengi kuanza kudhalilisha watu kwa kisingizio cha ushauri. Mara nyingi Motivational speakers ndo huwa wanaleta kauli tata.

Jana nimetazama video ya mchungaji Rose Shaboka nikapatwa na hasira kali sana juu yake. Alikuwa akitoa ushauri kwa wanawake wadogo jinsi ya kuvaa na kujipamba. Kwa jinsi alivyokuwa akielezea utaona jinsi gani huyu mchungaji alivyokuwa akijikweza kwa kiburi kisichoelezeka. Alivuka mipaka yote ya ustaarabu kwa kuwatukana waalimu wa shule za msingi kwamba nywele zao huwa ziko rafu rafu. Huyu mchungaji alinirudisha hadi mwanzoni mwa miaka ya 90 nikamkumbuka mwalimu wangu wa darasa la kwanza na kujikuta nikipatwa na huzuni endapo angeangalia hiyo clip.

Ninamtaka huyu Rose Shaboka aombe msamaha waalimu wote. Kwa ushahidi tazama hiyo video.
Sasa Kama waliyoenda kwenye hayo mahuboli wamekubali kudhalilishwa,tuwasaidiaje?
 
Ifike mahali wachungaji na manabii hawa waingie darasani kusoma angalau psychology na general studies Basi...
Wanakosa skills za kawaida kabisa ukiacha kumdhalilisha mwalimu Kwanza kumdhalilisha huyo muumini wake mbele ya kanisa lake... Naimani huyo muumini hatorudi tena kanisani.
Haya sitaki kuamini Kama humo kanisani kwake hakuna waumini ambao ni walimu hawa sijui walijiskiaje na wanajiskiaje aisee ni Kama aliropoka bila kufikiri alilenga kuwachekesha waumini bila kuchagua neno na mwisho kajikuta anawadhalilisha wengine...
 
Ifike mahali wachungaji na manabii hawa waingie darasani kusoma angalau psychology na general studies Basi...
Wanakosa skills za kawaida kabisa ukiacha kumdhalilisha mwalimu Kwanza kumdhalilisha huyo muumini wake mbele ya kanisa lake... Naimani huyo muumini hatorudi tena kanisani.
Haya sitaki kuamini Kama humo kanisani kwake hakuna waumini ambao ni walimu hawa sijui walijiskiaje na wanajiskiaje aisee ni Kama aliropoka bila kufikiri alilenga kuwachekesha waumini bila kuchagua neno na mwisho kajikuta anawadhalilisha wengine...
Waumini wa makanisa ya hawa wachungaji huwa ni kama akili zinatolewa kwanza wakati wa kujiunga. Yaani hao waumini hawawezi kujiondoa kwenye hayo makanisa.
 
HANA HEKIMA NA BUSARA, ANAPASWA ,ATUBU KWA MUNGU, NA AOMBE AONGOZWE NA MUNGU KATIKA KUHUBIRI, ASITUMIE AKILI ZAKE.
 
Mahubiri ya huyu dada na mumewe ni ya kujikweza mno sasa ukikutana na Rose anajibishana na watu mitandaoni kwenye comments utashangaa....wapigaji kwa mwamvuli wa dini. Mumewe checkbobu mchungaji ila macho juu juu walikua wanaishi Tbt nshawahi kutana nao kwenye foleni hospital ya Kundy alichofanya nilimdharau sana (sijui kama bado wapo maana kanisa wamehamisha)......
 
Kwenye kuchagua nini cha kusema hawa watu wana fail sana.
Siku moja kanisani alikuja mchungaji mgeni akahubiriii af akawa anajisifu vile Mungu huwa anam bariki ..akasema "hiv hiv na uchungaji wangu Mungu kanisaidia mwanzo huu wa mwaka nishalipa ada za watoto wangu woote tena hiz shule za kulipia maana mimi SISOMESHAGI WATOTO WANGU HIZ SHULE ZA HOVYO HOVYO"

pale pale stimu zooote zikakata..mle ndani kuna waalim wa shule za st kayumba..mle ndani kuna wazaz weeengi tu wanasomesha watoto wao huko...

Nikajiuliza what is happening here..Ksho yake nikamfuata mzee wa kanisa nikamwambia hawa watu mnaotuletea hapa wapeni japo miongozo basi..

Inakera sana
 
Nimekereka kweli yaan,atajijua mwenyewe na domo lake
Pole sana..anadharau waalim hajui na mshahara wako wa ualim ulikua unamudu kujaza wese gari ya man wako?😂😂😂😂
 
Nawasalimu katika jina la Chama Cha Mapinduzi.

Naandika huu uzi nikiwa na hasira kali sana dhidi ya baadhi ya wachungaji, manabii, Motivational speakers na wengine wote wanaotoa mahubiri au semina mbalimbali. Hii ni kwa sababu ya wengi kuanza kudhalilisha watu kwa kisingizio cha ushauri. Mara nyingi Motivational speakers ndo huwa wanaleta kauli tata.

Jana nimetazama video ya mchungaji Rose Shaboka nikapatwa na hasira kali sana juu yake. Alikuwa akitoa ushauri kwa wanawake wadogo jinsi ya kuvaa na kujipamba. Kwa jinsi alivyokuwa akielezea utaona jinsi gani huyu mchungaji alivyokuwa akijikweza kwa kiburi kisichoelezeka. Alivuka mipaka yote ya ustaarabu kwa kuwatukana waalimu wa shule za msingi kwamba nywele zao huwa ziko rafu rafu. Huyu mchungaji alinirudisha hadi mwanzoni mwa miaka ya 90 nikamkumbuka mwalimu wangu wa darasa la kwanza na kujikuta nikipatwa na huzuni endapo angeangalia hiyo clip.

Ninamtaka huyu Rose Shaboka aombe msamaha waalimu wote. Kwa ushahidi tazama hiyo video.
Af unakuta kuna mtu anamuamini malaya kama huyu kuwa ni mchungaji mazafaka
 
Back
Top Bottom