Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Changudoa tu huyu kinamuwasha ndio kaibukia kuharisha huku mitandaoniWe mwache...anatuchukulia poa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Changudoa tu huyu kinamuwasha ndio kaibukia kuharisha huku mitandaoniWe mwache...anatuchukulia poa
Mkuu nilipitwa, aliuaje watu? Lini?. Wanafanya mambo ya kipuuzi sana . Nilishangaa sana serikali pale Mwamposa alipoua Watu halafu akaachwa huru bila hata kufikishwa mahakamani kama vile ameua Nzi. Hawa ni Watu waliopaswa kukatwa vichwa na kutupwa baharini mapema kabisa.
Mkuu nilipitwa, aliuaje watu? Lini?
Sema hili li-Rose ni zuri kinyama.Af unakuta kuna mtu anamuamini malaya kama huyu kuwa ni mchungaji mazafaka
NA HUYU ROSE SHABOKA NI MCHUNGAJI MSOMI MWENYE SHAHADA YA UCHUMI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM!Ifike mahali wachungaji na manabii hawa waingie darasani kusoma angalau psychology na general studies Basi...
Wanakosa skills za kawaida kabisa ukiacha kumdhalilisha mwalimu Kwanza kumdhalilisha huyo muumini wake mbele ya kanisa lake... Naimani huyo muumini hatorudi tena kanisani.
Haya sitaki kuamini Kama humo kanisani kwake hakuna waumini ambao ni walimu hawa sijui walijiskiaje na wanajiskiaje aisee ni Kama aliropoka bila kufikiri alilenga kuwachekesha waumini bila kuchagua neno na mwisho kajikuta anawadhalilisha wengine...
Loooh class mate wangu huyu, nimekumbuka mbaaali. "Dada Rose" bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwambie tutabadilika.ivi ashapona ile hali yake iliyotokana na matumizi ya dawa za kulevya? Na mimba aliyoitoa imejulikana ni ya mchungaji gani?
Fungua cooode na mbengoo mtumishiiMwambie tutabadilika.ivi ashapona ile hali yake iliyotokana na matumizi ya dawa za kulevya? Na mimba aliyoitoa imejulikana ni ya mchungaji gani?
Dini ni biashara kubwa duniani:
No way out mkuuFungua cooode na mbengoo mtumishii
Mkorofi sanaLoooh class mate wangu huyu, nimekumbuka mbaaali. "Dada Rose" bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu wa Zumaridi katika ulimwengu mwingine.Huyo Ni Tapeli, kwenye Ukristo Hakuna mchungaji wa kike
Fala weweSawa mwalimu wa Shule ya Msingi.
Naunga mkono hoja.Ifike mahali wachungaji na manabii hawa waingie darasani kusoma angalau psychology na general studies Basi...
Wanakosa skills za kawaida kabisa ukiacha kumdhalilisha mwalimu Kwanza kumdhalilisha huyo muumini wake mbele ya kanisa lake... Naimani huyo muumini hatorudi tena kanisani.
Haya sitaki kuamini Kama humo kanisani kwake hakuna waumini ambao ni walimu hawa sijui walijiskiaje na wanajiskiaje aisee ni Kama aliropoka bila kufikiri alilenga kuwachekesha waumini bila kuchagua neno na mwisho kajikuta anawadhalilisha wengine...
Funguaa kakaNo way out mkuu
Inainekana unamfahamu vzriMwambie tutabadilika.ivi ashapona ile hali yake iliyotokana na matumizi ya dawa za kulevya? Na mimba aliyoitoa imejulikana ni ya mchungaji gani?