Wachungaji msitumie maneno ya kudhalilisha utu wakati wa mahubiri au semina zenu

Wachungaji msitumie maneno ya kudhalilisha utu wakati wa mahubiri au semina zenu

😄😄😄Mtu alinitumia hii video leo nikasema jamani, hivi kweli alimpaka huyo mdada lipstick mbele za watu? Udhalilishaji
 
Serikali ya Chama Cha Mapinduzi imeondoka kwenye misingi yake ya Umoja, haki,utu ,usawa na Uzalendo. Ndio maana mpaka Taasisi za dini zimekua ni zinakosa watu waaminifu na wenye Imani thabiti. Hawa mafeki pasta wametumika sana kwenye kampeni kuchafua watu na kudhalilisha watu. Wanafanya mambo ya kipuuzi sana . Nilishangaa sana serikali pale Mwamposa alipoua Watu halafu akaachwa huru bila hata kufikishwa mahakamani kama vile ameua Nzi. Hawa ni Watu waliopaswa kukatwa vichwa na kutupwa baharini mapema kabisa. Wanamuona Mungu kama Mtani wao na kuidharau Serikali ya CCM Kwa sababu wanajua CCM wanahofia kura kuliko umoja na stawi Wa wananchi. Hawa mafeki pasta na manabii Wa uongo ni mawakala Wa shetani. Wamesambaratisha ndoa nyingi za Watu na Hawa ndio mwishowe wanaandaa Makanisa ya kufunga ndoa za jinsia moja. Ni Wa kupigwa viboko mapema wanaliandaa Taifa ovu. Ni magugu yanayomea na ngano . Mbwa mwitu walijivika ngozi ya Kondoo.

Serikali INAPASWA kupeleka muswada Bungeni Wa kuondoa huu uchafu haya majumba ya mashetani yanayojifanya ni Makanisa. Kwa Nini hatuoni ujinga huu Kwa Waislam au misikitini? Kumbe wanaangalia udhaifu Wa Dini ya Kikristo kwenye Ishu ya kulinda maadili ya kanisa ndio wanapitisha ushenzi wao.

Watu wanapaswa kupaza sauti. Serikali isikubali kuwaacha Hawa Watu kiholela. Wataangamiza kizazi hiki na kujenga kizazi kinachoweza starehe na ufahari bila Kuwa na kazi maalumu. Yani MTU anasimama tu na kujiita Mtume na kufanya mazingaumbwe kila Siku huku akikashifu Watu.
Kila kazi lazima iwe imesomewa hata kama ni Dini .

Kuna WAKATI palitokea magaidi wakawa wanajifanya ni Watu Wa Dini kama kawaida Serikali ikawa inawachekea na wakaachwa mwishowe wakaharibu Vijana wengi na kuwajengea Imani za kihalifu Kwa mgongo Wa dini. Sasa imeanza Tena makanisani ,hasa ya Watu binafsi wanaojiita manabii feki , Hawa ni mawakala Wa mashoga Wa Ulaya . Wadhibitiwe mapema. Wanaanza kwanza kudhalilisha Watu wanye tabia njema. Walianza kuchafua Watu wanaovaa Hijabu Sasa wanawadhalilisha Walimu wanaojiheshima na wanaoheshimika kama jamii iliyobaki ya Watu wanaofundisha watoto Wetu maadili mema.

Serikali ifuatilie na kuangalia nani wanakua nyuma ya Hawa washenzi wanaojifanya ni wahubiri Wa Dini kumbe ni Wahuni .
 
. Wanafanya mambo ya kipuuzi sana . Nilishangaa sana serikali pale Mwamposa alipoua Watu halafu akaachwa huru bila hata kufikishwa mahakamani kama vile ameua Nzi. Hawa ni Watu waliopaswa kukatwa vichwa na kutupwa baharini mapema kabisa.
Mkuu nilipitwa, aliuaje watu? Lini?
 
Ifike mahali wachungaji na manabii hawa waingie darasani kusoma angalau psychology na general studies Basi...
Wanakosa skills za kawaida kabisa ukiacha kumdhalilisha mwalimu Kwanza kumdhalilisha huyo muumini wake mbele ya kanisa lake... Naimani huyo muumini hatorudi tena kanisani.
Haya sitaki kuamini Kama humo kanisani kwake hakuna waumini ambao ni walimu hawa sijui walijiskiaje na wanajiskiaje aisee ni Kama aliropoka bila kufikiri alilenga kuwachekesha waumini bila kuchagua neno na mwisho kajikuta anawadhalilisha wengine...
NA HUYU ROSE SHABOKA NI MCHUNGAJI MSOMI MWENYE SHAHADA YA UCHUMI YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM!
 
Mwambie tutabadilika.ivi ashapona ile hali yake iliyotokana na matumizi ya dawa za kulevya? Na mimba aliyoitoa imejulikana ni ya mchungaji gani?
Loooh class mate wangu huyu, nimekumbuka mbaaali. "Dada Rose" bwana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ifike mahali wachungaji na manabii hawa waingie darasani kusoma angalau psychology na general studies Basi...
Wanakosa skills za kawaida kabisa ukiacha kumdhalilisha mwalimu Kwanza kumdhalilisha huyo muumini wake mbele ya kanisa lake... Naimani huyo muumini hatorudi tena kanisani.
Haya sitaki kuamini Kama humo kanisani kwake hakuna waumini ambao ni walimu hawa sijui walijiskiaje na wanajiskiaje aisee ni Kama aliropoka bila kufikiri alilenga kuwachekesha waumini bila kuchagua neno na mwisho kajikuta anawadhalilisha wengine...
Naunga mkono hoja.
 
Back
Top Bottom