Wachungaji msitumie maneno ya kudhalilisha utu wakati wa mahubiri au semina zenu

Naenda kumfungulia kesi kwa kumdhalilisha mchepuko wangu kwa kumpaka lipstick hadharani.
Naomba kujua wakili mzuri nimlipe afanye kazi.
 
na ndio maana Kagame alifungia makanisa na taasisi zingine za kidini ambazo mtoa huduma hana degree ya theolojia, mtu tu kajua kusoma biblia au Quran anaanzisha kanisa au madrasa hii sio sawa
 
Na wajinga wengi sana wanaliwa
Kabisa Mkuu,

Dini inatumia mwanya wa matatizo ya watu ya kifedha,kisaikolojia,kiafya,migogoro na hofu ya kifo(hell & paradise,hasa hizi za wana wa ibrahimu)...kuwapiga zaiidi na kuwafanya watu kuwa watumwa kwa idadi kubwa kweli-kweli:
 


Hata wenyewe hawawataki hao walimu kwanza hawana sadaka kubwa...
 
Kagame alipifunga hivi vikanisa vya kitapeli watu walilalamika,kumbe aliomba mbali
 
Kagame ni dikteta na alichofanya ni udikteta.
Hakuna mtu mwenye haki ya kumuamulia mtu awe kwenye dini gani au kanisa lipi. Kila mtu anapaswa kuwa na haki ya kuabudu anachoona ni sahihi mradi adhuru au aingilii uhuru wa wengine.
Kagame alipifunga hivi vikanisa vya kitapeli watu walilalamika,kumbe aliomba mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…