Mkuu ,watu wanakuheshi kwa sababu ya jina ulilobeba vinginevyo wange kutag.CHADEMA ni chama kinachojifia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ,watu wanakuheshi kwa sababu ya jina ulilobeba vinginevyo wange kutag.CHADEMA ni chama kinachojifia.
Mangi utajiri na kwenda ULAYA ndio nini wewe msukule ? Muulize Lema aliekimbilia CANADA na tuko nae hapa tunatafuta ajira ,si angebakia huko majuu?🙆♂️🙆♂️🙆♂️Hangaika na chuo wenzako ni matajiri wanaenda Ulaya kuliko wewe unavyoenda kwa bibi ako, baba ako amewahi kukutana na balozi wa nchi gani?
Lema juzi kamchangia Lisu ununuzi wa gari milioni 5, wewe ungeweza hata kutoa mia?Mangi utajiri na kwenda ULAYA ndio nini wewe msukule ? Muulize Lema aliekimbilia CANADA na tuko nae hapa tunatafuta ajira ,si angebakia huko majuu?🙆♂️🙆♂️🙆♂️
Unaijua historia ya Lema wewe ?leo ukimuuliza analipa kodi kiasi gani utashangaa mzee ,hakuna taarifa zake za ulipaji kodi ,maana yake jiulize hizo hela kazipata wapi ?Lema juzi kamchangia Lisu ununuzi wa gari milioni 5, wewe ungeweza hata kutoa mia?
Mashehe waache CCM ijipambanie yenyewe.Kwa mwaka huu 2024 imekuwa vigumu kujua kama CHADEMA ni chama cha siasa chenye nia ya kuhudumia Watanzania wote au ni Taasisi ndani ya taasisi ya dini katika madhehebu tofauti.
Miaka ya nyuma kulikuwa na minong'ono tu kuwa hiki ni chama kinadhaminiwa na Mlengo wa Kikristo.
Maneno hayo nilikuwa nayapinga mara kwa mara lakini leo hii, nashawishika kabisa kuwa maneno hayo yalikuwa na ukweli. Kwasababu kila tamko la CHADEMA linabaraka 100% ya maaskaofu na wachungaji na kila tamko au barua za kichungaji zote zina baraka ya CHADEMA kwa asilimia 100, Kulikoni?
ChADEMA ijikague, vinginevyo itapata kundi moja tu na kamwe huwezi kushika nchi kwa kundi moja tu. Bado mna nafasi.
Pia soma: Siasa na dini
Amewahi kuja kuomba kwa mumeo hela ya kula familia ake?Unaijua historia ya Lema wewe ?leo ukimuuliza analipa kodi kiasi gani utashangaa mzee ,hakuna taarifa zake za ulipaji kodi ,maana yake jiulize hizo hela kazipata wapi ?
Hivi yale maokoto wanayoomba kwenye mikutano yao sio hela ?hivi unadhani kwa nini alikimbia CANADA na anakubali kupigwa jua wakati wa maokoto?Amewahi kuja kuomba kwa mumeo hela ya kula familia ake?
Tulia wewe chawa mchafuHivi yale maokoto wanayoomba kwenye mikutano yao sio hela ?hivi unadhani kwa nini alikimbia CANADA na anakubali kupigwa jua wakati wa maokoto?
Ila muda wenu bawacha ndiyo unaanza?UWT muda wenu umeisha
Pole sana Msukule wa mzee MboweTulia wewe chawa mchafu
Aache kukamua wanachi maskini kupitia maokoto kwenye mikutano uchwaraAmewahi kuja kuomba kwa mumeo hela ya kula familia ake?
UWT mnafanya kazi nzuri snIla muda wenu bawacha ndiyo unaanza?
Bora wa Mbowe, wewe usivyo na akili sababu ya tamaa na laana ya ukoo wenu unashabikia mzanzibar ambaye hana uchungu wowote na wewe.Pole sana Msukule wa mzee Mbowe
Sisi na wewe ukamueAache kukamua wanachi maskini kupitia maokoto kwenye mikutano uchwara
Nyie bawacha kazi yenu si ni kupiga porojo tuUWT mnafanya kazi nzuri sn
Ndiyo maana UWT mkawepoNyie bawacha kazi yenu si ni kupiga porojo tu
Na ndiyo maana bawacha mmebakiza jina tu!Ndiyo maana UWT mkawepo
UWT mnafanya kazi nzuri snNa ndiyo maana bawacha mmebakiza jina tu!