Wachungaji na Maaskofu waiache CHADEMA ijipambanue kama chama cha siasa

Wachungaji na Maaskofu waiache CHADEMA ijipambanue kama chama cha siasa

Hapa jee?
Hii naikubali. Na kesho utawakuta kkkt, Peramiho, Vatikan n.k. Hii ndio siasa, Sikiliza hoja za wananchi wako wote. Wafikie, waelewe, wakubali...... Utatatuaje matatizo yao kesho kama kabla ya uchaguzi hukuwafikia na kuwasikiliza.
Hayo aliyafanya hata Nyerere, shida iko wapi. Au mmesahau Jinsi alivyoingia TAA na Baadae TANU. Lete na zile picha za nyerere za wakati ule.
 
Mkuu, kwa hali kilivyo kwa sasa Chadema ni chama kinacho kubalika haswa. Kama uchaguzi ukiwa huru na haki kinashinda kabla ya saa 6.00 mchana.
Mmmmmm! Napenda iwe hivyo, lakini kwa hali ilvyo sasa siamini hilo. Nanyi nyote mnalifahamu hilo, tusidanganye wananchi. Na hayo makundi mliyoyatupa, yatawapigia kwa kweli? ANZENI KUYANYOOSHEA MIKONO HAYO MAKUNDI.
 
Kwa mwaka huu 2024 imekuwa vigumu kujua kama CHADEMA ni chama cha siasa chenye nia ya kuhudumia Watanzania wote au ni Taasisi ndani ya taasisi ya dini katika madhehebu tofauti.

Miaka ya nyuma kulikuwa na minong'ono tu kuwa hiki ni chama kinadhaminiwa na Mlengo wa Kikristo.

Maneno hayo nilikuwa nayapinga mara kwa mara lakini leo hii, nashawishika kabisa kuwa maneno hayo yalikuwa na ukweli. Kwasababu kila tamko la CHADEMA linabaraka 100% ya maaskaofu na wachungaji na kila tamko au barua za kichungaji zote zina baraka ya CHADEMA kwa asilimia 100, Kulikoni?

ChADEMA ijikague, vinginevyo itapata kundi moja tu na kamwe huwezi kushika nchi kwa kundi moja tu. Bado mna nafasi.

Pia soma: Siasa na dini
La saba wako mtaani
 
Ni makosa makubwa kukiunganisha chama cha siasa na ukristo kwa hiyo unataka kutuambia CCm inaungwa mkono na waislam? Kitu ambacho si kweli hebu toeni sera zinazokubalika na wananchi na watu wakilizika na sera zenu mtachaguliwa tu, maana ndani ya chadema kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo hivyo ndani CCm kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo si vyema kuanza kuunganisha ukristo na chadema

Ma
CCM imejipambanua kuwa ni ya wote- wislam, wakristo, imani za kijadi (machifu), wasio na dini N.K Kwa vile ukichaguliwa huwezi na wala haitakiwi ubague. Wewe na Rais wa wote, mtoa huduma kwa wote na msikivu kwa wote.

Ukijitenga kabla ya kuchaguliwa ni vigumu kuamini kuwa utajiunga baada ya kuchaguliwa. Jiunge leo, vinginevyo bando lako litaisha mapema.
 
Samia alipompelekea Kadinali Rugambwa joho la kuendeshea ibada wakati yeye ni muislamu ulitafsiri vipi?
Nilitafsiri kuwa Samia anawasikiliza wapiga kura wake wote. Na ninapenda na CHADEMA waige mfano huu. Wawafikie wapiga kura wote, na ndio nia ya kufungua uzi huu. Wasiende kwa kundi moja tu, wawafikie wote.
 
Siungi mkono ugaidi wa aina yeyote ile, bali wananchi wana haki 100% kukinyooshea mkono chama chochote kile kinachobagua makundi fulani ya jamii.

..propaganda za udini na ukabila zinazofanywa na Ccm zina madhara mabaya kwa jamii.

..propaganda kwamba Chadema ni chama cha Wakristo ndio hiyo Afande Jumanne Muliro anathibitisha ilipelekea tukio la kigaidi dhidi ya chama hicho.

..kabla ya hapo kulikuwa na propaganda kwamba Cuf ni chama cha Waislamu, na ilipelekea chama hicho kutokuaminika huku Tanganyika.

..Ccm inao uwezo wa kushinda uchaguzi bila kufanya propaganda za kuligawa taifa, na kuharibu misingi ya umoja na amani nchini.
 
Mkuu, huu utabiri wako ni wa kitambo sana; ni kama fisi anapo mfuata mtu kwa nyuma akijiaminisha kwa asilimia 100 kwamba ule mkono utadondoka na yeye kujipatia mlo wa siku.
Huyo jamaa kila siku anafikiria kuwa kuna siku CHADEMA itakufa kumbe ni ndoto za Abnuas.
 
Mkuu, huu utabiri wako ni wa kitambo sana; ni kama fisi anapo mfuata mtu kwa nyuma akijiaminisha kwa asilimia 100 kwamba ule mkono utadondoka na yeye kujipatia mlo wa siku.
Huyo jamaa kila siku anafikiria kuwa kuna siku CHADEMA itakufa kumbe ni ndoto za Abnuas.
Mmmmmm! Napenda iwe hivyo, lakini kwa hali ilvyo sasa siamini hilo. Nanyi nyote mnalifahamu hilo, tusidanganye wananchi. Na hayo makundi mliyoyatupa, yatawapigia kwa kweli? ANZENI KUYANYOOSHEA MIKONO HAYO MAKUNDI.
Hatutaki COVID 19.
 
CCM ni Chama cha Majambazi
CCM imejipambanua kuwa ni ya wote- wislam, wakristo, imani za kijadi (machifu), wasio na dini N.K Kwa vile ukichaguliwa huwezi na wala haitakiwi ubague. Wewe na Rais wa wote, mtoa huduma kwa wote na msikivu kwa wote.

Ukijitenga kabla ya kuchaguliwa ni vigumu kuamini kuwa utajiunga baada ya kuchaguliwa. Jiunge leo, vinginevyo bando lako litaisha mapema.
na Mafisadi ukiona mtu anajiunga huko jua huyo ni jambazi.
 
Kwa mwaka huu 2024 imekuwa vigumu kujua kama CHADEMA ni chama cha siasa chenye nia ya kuhudumia Watanzania wote au ni Taasisi ndani ya taasisi ya dini katika madhehebu tofauti.

Miaka ya nyuma kulikuwa na minong'ono tu kuwa hiki ni chama kinadhaminiwa na Mlengo wa Kikristo.

Maneno hayo nilikuwa nayapinga mara kwa mara lakini leo hii, nashawishika kabisa kuwa maneno hayo yalikuwa na ukweli. Kwasababu kila tamko la CHADEMA linabaraka 100% ya maaskaofu na wachungaji na kila tamko au barua za kichungaji zote zina baraka ya CHADEMA kwa asilimia 100, Kulikoni?

ChADEMA ijikague, vinginevyo itapata kundi moja tu na kamwe huwezi kushika nchi kwa kundi moja tu. Bado mna nafasi.

Pia soma: Siasa na dini

Umemaikia Mwamposa akiwa Bukoba????????
 
Ni makosa makubwa kukiunganisha chama cha siasa na ukristo kwa hiyo unataka kutuambia CCm inaungwa mkono na waislam? Kitu ambacho si kweli hebu toeni sera zinazokubalika na wananchi na watu wakilizika na sera zenu mtachaguliwa tu, maana ndani ya chadema kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo hivyo ndani CCm kuna wakristo na waislam na wasio na dini hivyo si vyema kuanza kuunganisha ukristo na chadema

Ma
Mzee wetu Ally kibao alikuwa mkristo ?la hasha alikuwa Muislamu.
Mbowe hakujiendeleza kilemu kwa hiyo hana sifa ya kuongoza taifa kama letu ,aendelee kubaki na SACCOS tu
MUDA utasema ukufika,tuache ubashiri,Mungu Mwema!
 
Back
Top Bottom