MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,771
- 4,065
Religions ni non gv organizations. Kazi yake ni kutangaza mazuri na kukuza jamii kwa kupitia imani, inter-alia, Polisi na Serikali are practicing the same laws by executing and/or inforcing exisiting laws of the state kwa jamii. Sasa, unapoona kuwa viongozi wa dini wanatumia organization zao za kidini kujinufaisha, na ukaa kimya, basi na wee kwa njia moja au nyingine unachangiza kuvunja haki, and you are liable for obstracting justice by not reporting the issue to the GV, inter-alia, same is applicable to the gov leaders.
Kwa Serikali ku optout tax exemption kwa religion organizations si jambo la burasa na/au jema, kwasabau bado kuna viongozi wa kidini ambao wana integrity ya juu na si mafisadi, na ukifuatilia organizations zao utaona au gundua kuwa bado zinasaidia watu wengi vijijini na organizations hizo ni safi, to wit. Furthermore, it may open other doors which were not open na kukuza ufisadi kwa njia ambayo bado haijulikani, kupitia hizo interim conduits.
Ingekuwa kwa best interest kwa jamii, kama Serikari ingetoa undani halisi na sababu halisi za ku optout exemtion kwa dini, than coming to a general conclusion kuwa exption is prohibited, null and void, ad infinitum, for what ever reasons they have to religious orginzations.
It is my prayer that, the GV of Tanzania will re-consider/review again their decision towards religious organization's tax exemption pursuant to the laws of TZ, and see if it is profitable not to have them.
God bless Tanzania.
Max Shimba, A Bondservant of Jesus Christ
Kwa Serikali ku optout tax exemption kwa religion organizations si jambo la burasa na/au jema, kwasabau bado kuna viongozi wa kidini ambao wana integrity ya juu na si mafisadi, na ukifuatilia organizations zao utaona au gundua kuwa bado zinasaidia watu wengi vijijini na organizations hizo ni safi, to wit. Furthermore, it may open other doors which were not open na kukuza ufisadi kwa njia ambayo bado haijulikani, kupitia hizo interim conduits.
Ingekuwa kwa best interest kwa jamii, kama Serikari ingetoa undani halisi na sababu halisi za ku optout exemtion kwa dini, than coming to a general conclusion kuwa exption is prohibited, null and void, ad infinitum, for what ever reasons they have to religious orginzations.
It is my prayer that, the GV of Tanzania will re-consider/review again their decision towards religious organization's tax exemption pursuant to the laws of TZ, and see if it is profitable not to have them.
God bless Tanzania.
Max Shimba, A Bondservant of Jesus Christ