Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Izo ndo tunataka sasa mbohooo inaingia yote myuuuuuIla jamani punguzen kutusema na flat screen zetu 🙄
Kwani si huwq wanafanya hizo surgeries kwa manufaa yao wenyewe binafsi... wanaume tunaingiaje tena hapa??sajari sajari sajari,,kisa kufurahisha mboni ya mwanaume mxiuuu
aaah ebu uache ule uongoooooo🙄🙄Kwani si huwq wanafanya hizo surgeries kwa manufaa yao wenyewe binafsi... wanaume tunaingiaje tena hapa??
Ungekuwa na flati dogo smart angekukubali?
Uongo gani sasa hapo?aaah ebu uache ule uongoooooo🙄🙄
nmeshaulza wamenijib ndio,ni kwaajili ya wanaumeUongo gani sasa hapo?
Hebu nenda kamuulize mwanamke yoyote kama ameongeza makalio sababu ya wanaume uone atakavyokutukana....
Plastic zinaweza kukukubali mwanzo, baadae doctor akichanganyikiws unakua kituko kama body builders wa brazil wanaotumia plastic badala ya gymWatu wa hivyo hata sio wa kuwaonea huruma. Wanajitakia wenyewe.
Hata hao wanaotumia pesa ndefu kujibadilisha nao wana mionekano ya hovyo mtu kama Lil kim usipoambiwa kama ni yeye huwezi mtambua amekua wa ajabu. Card nae taqo linaning'inia na wakati alikua mzuri sijui huwa wanahangaika kwa ajili gani.
Hakuna kesiDem wa watu huyo sitaki kesi
Msaidie akafanye serviceHuyu binti alikua mzuri, akapotea kama miezi mitatu hivi akarudi na tako kubwa tu na lips pana. Mimi sikuwa na hiyana nikamuita nimchangie gharama alizotumia huko (malegend tutaelewa)
Sasa imepita miezi miwili toka nionane nae, leo nimemuona kaumuka yaan ile kama kavimba vimba hivi. Kawa kama sijui niseme limdoli likubwa wao wanaita bimbo. Anajichekesha lkn anatia huruma na kichefu chefu juu.
Wenzenu kina nicki minaj au card B wanatumia mabilion ya pesa, nyinyi hizo operations za million moja mnaharibiwa miili yenu. Kama hauna hela ya kufanya operation ya maana bora ubaki tu ulivyo
Atakuwa Poshyqueen huyoHuyu binti alikua mzuri, akapotea kama miezi mitatu hivi akarudi na tako kubwa tu na lips pana. Mimi sikuwa na hiyana nikamuita nimchangie gharama alizotumia huko (malegend tutaelewa)
Sasa imepita miezi miwili toka nionane nae, leo nimemuona kaumuka yaan ile kama kavimba vimba hivi. Kawa kama sijui niseme limdoli likubwa wao wanaita bimbo. Anajichekesha lkn anatia huruma na kichefu chefu juu.
Wenzenu kina nicki minaj au card B wanatumia mabilion ya pesa, nyinyi hizo operations za million moja mnaharibiwa miili yenu. Kama hauna hela ya kufanya operation ya maana bora ubaki tu ulivyo
Yakibonyea hayarudi vyema.Hahhaahhah kwann