Wadada acheni kupandikiza mashepu na lips za bei rahisi, nimemuona mmoja ninayemfahamu hapa Sinza kawa kituko kabisa

Wadada acheni kupandikiza mashepu na lips za bei rahisi, nimemuona mmoja ninayemfahamu hapa Sinza kawa kituko kabisa

Watu wa hivyo hata sio wa kuwaonea huruma. Wanajitakia wenyewe.

Hata hao wanaotumia pesa ndefu kujibadilisha nao wana mionekano ya hovyo mtu kama Lil kim usipoambiwa kama ni yeye huwezi mtambua amekua wa ajabu. Card nae taqo linaning'inia na wakati alikua mzuri sijui huwa wanahangaika kwa ajili gani.
 
Watu wa hivyo hata sio wa kuwaonea huruma. Wanajitakia wenyewe.

Hata hao wanaotumia pesa ndefu kujibadilisha nao wana mionekano ya hovyo mtu kama Lil kim usipoambiwa kama ni yeye huwezi mtambua amekua wa ajabu. Card nae taqo linaning'inia na wakati alikua mzuri sijui huwa wanahangaika kwa ajili gani.
Plastic zinaweza kukukubali mwanzo, baadae doctor akichanganyikiws unakua kituko kama body builders wa brazil wanaotumia plastic badala ya gym
 
Huyu binti alikua mzuri, akapotea kama miezi mitatu hivi akarudi na tako kubwa tu na lips pana. Mimi sikuwa na hiyana nikamuita nimchangie gharama alizotumia huko (malegend tutaelewa)

Sasa imepita miezi miwili toka nionane nae, leo nimemuona kaumuka yaan ile kama kavimba vimba hivi. Kawa kama sijui niseme limdoli likubwa wao wanaita bimbo. Anajichekesha lkn anatia huruma na kichefu chefu juu.

Wenzenu kina nicki minaj au card B wanatumia mabilion ya pesa, nyinyi hizo operations za million moja mnaharibiwa miili yenu. Kama hauna hela ya kufanya operation ya maana bora ubaki tu ulivyo
Msaidie akafanye service
 
Huyu binti alikua mzuri, akapotea kama miezi mitatu hivi akarudi na tako kubwa tu na lips pana. Mimi sikuwa na hiyana nikamuita nimchangie gharama alizotumia huko (malegend tutaelewa)

Sasa imepita miezi miwili toka nionane nae, leo nimemuona kaumuka yaan ile kama kavimba vimba hivi. Kawa kama sijui niseme limdoli likubwa wao wanaita bimbo. Anajichekesha lkn anatia huruma na kichefu chefu juu.

Wenzenu kina nicki minaj au card B wanatumia mabilion ya pesa, nyinyi hizo operations za million moja mnaharibiwa miili yenu. Kama hauna hela ya kufanya operation ya maana bora ubaki tu ulivyo
Atakuwa Poshyqueen huyo
 
Back
Top Bottom