Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nae ni fake?Sio poshqueen ila nae anaelekea hukohuko
Bila picha huu Uzi ufutwe Hauna mashikoHuyu binti alikua mzuri, akapotea kama miezi mitatu hivi akarudi na tako kubwa tu na lips pana. Mimi sikuwa na hiyana nikamuita nimchangie gharama alizotumia huko (malegend tutaelewa)
Sasa imepita miezi miwili toka nionane nae, leo nimemuona kaumuka yaan ile kama kavimba vimba hivi. Kawa kama sijui niseme limdoli likubwa wao wanaita bimbo. Anajichekesha lkn anatia huruma na kichefu chefu juu.
Wenzenu kina nicki minaj au card B wanatumia mabilion ya pesa, nyinyi hizo operations za million moja mnaharibiwa miili yenu. Kama hauna hela ya kufanya operation ya maana bora ubaki tu ulivyo
Duh sema si yupo na boss konde hakijaharibika kituPlastic ile