Wadada acheni wizi

Wadada acheni wizi

Wadada wa mjini hao[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Habari zenu,

Juzi nilikuwa salon nikijipendezesha nywele zangu na kucha. Aliingia mdada mmoja yuko smart tu, kapendeza kisha akaulizia huduma za kusuka, then akaanzwa kwa kukwanguliwa mba, akaoshwa nywele kisha akachagua nywele ya kusuka na kuanzwa kusukwa.

Akaomba aende msalani so akaonywesha toi akaenda, hapa wengi mtadhania alitokomea but no! no! Alikwenda msalani na kisha kurudi kusukwa kuliendelea ikabakia mikia ya rasta kuwekwa maji ya moto but akasema anaenda msalani mara moja, dakika zikapita mara masaa, kwenda kumwangalia kumbe alishatokea kwa mlango wa nyuma na kusepa.

Mwenye salon kurudi ndani kuangalia kama aliacha chochote akaiona handbag ya rangi nyeupe na nyekundu, pochi yenyewe ilikuwa imechoka kuiangalia ndani hakuna kitu yani peupe ndani, Mwenye salon mbona alichoka.

Yani mtu ukwanguliwe mba, uoshe nywele kisha usukwe halafu ukimbie na pesa ya watu. Haikuishia hapo kumbe alikunywa na juice akisema, “nichukulieni na mimi juice tutakatana kwenye kusukana” Wadada jamani wacheni wizi, watu wanatafuta rizki nyinyi mnakuja mnawakatisha tamaa.

Zote hizi ni tamaa za maisha, mtu unataka kupendeza huna hela unaanza kuwa Jambazi.

Mtaumizwa…
Gharama aliyotumia kusuka pamoja na rasta n shs ngap???
 
Habari zenu,

Juzi nilikuwa salon nikijipendezesha nywele zangu na kucha. Aliingia mdada mmoja yuko smart tu, kapendeza kisha akaulizia huduma za kusuka, then akaanzwa kwa kukwanguliwa mba, akaoshwa nywele kisha akachagua nywele ya kusuka na kuanzwa kusukwa.

Akaomba aende msalani so akaonywesha toi akaenda, hapa wengi mtadhania alitokomea but no! no! Alikwenda msalani na kisha kurudi kusukwa kuliendelea ikabakia mikia ya rasta kuwekwa maji ya moto but akasema anaenda msalani mara moja, dakika zikapita mara masaa, kwenda kumwangalia kumbe alishatokea kwa mlango wa nyuma na kusepa.

Mwenye salon kurudi ndani kuangalia kama aliacha chochote akaiona handbag ya rangi nyeupe na nyekundu, pochi yenyewe ilikuwa imechoka kuiangalia ndani hakuna kitu yani peupe ndani, Mwenye salon mbona alichoka.

Yani mtu ukwanguliwe mba, uoshe nywele kisha usukwe halafu ukimbie na pesa ya watu. Haikuishia hapo kumbe alikunywa na juice akisema, “nichukulieni na mimi juice tutakatana kwenye kusukana” Wadada jamani wacheni wizi, watu wanatafuta rizki nyinyi mnakuja mnawakatisha tamaa.

Zote hizi ni tamaa za maisha, mtu unataka kupendeza huna hela unaanza kuwa Jambazi.

Mtaumizwa…
Hio n dsm???
 
hii story pia imetokea week iliyopita kuna mdada kaenda saloni karembwa rembwa kabla hawajammaliza kumremba akaomba simu ampigie mwenzie aje hapo saloon naye apate huduma ....katoka nje na mamakeup yake katokomea na simu ya watu ..... wanawake siku hizi wezi sana
😆 😆 😆 😆 😆
 
Ndo wachumba zenu hao...muwape helaaa wanawaaibisha....mdada sio umchakate mpe na hela apendeze ukata unawafanya waibe...
Ila ni upuuzi wa kiwango cha lami yani kwanini upendeze kwa wizi unajisikiaje kwa mfano..
 
Habari zenu,

Juzi nilikuwa salon nikijipendezesha nywele zangu na kucha. Aliingia mdada mmoja yuko smart tu, kapendeza kisha akaulizia huduma za kusuka, then akaanzwa kwa kukwanguliwa mba, akaoshwa nywele kisha akachagua nywele ya kusuka na kuanzwa kusukwa.

Akaomba aende msalani so akaonywesha toi akaenda, hapa wengi mtadhania alitokomea but no! no! Alikwenda msalani na kisha kurudi kusukwa kuliendelea ikabakia mikia ya rasta kuwekwa maji ya moto but akasema anaenda msalani mara moja, dakika zikapita mara masaa, kwenda kumwangalia kumbe alishatokea kwa mlango wa nyuma na kusepa.

Mwenye salon kurudi ndani kuangalia kama aliacha chochote akaiona handbag ya rangi nyeupe na nyekundu, pochi yenyewe ilikuwa imechoka kuiangalia ndani hakuna kitu yani peupe ndani, Mwenye salon mbona alichoka.

Yani mtu ukwanguliwe mba, uoshe nywele kisha usukwe halafu ukimbie na pesa ya watu. Haikuishia hapo kumbe alikunywa na juice akisema, “nichukulieni na mimi juice tutakatana kwenye kusukana” Wadada jamani wacheni wizi, watu wanatafuta rizki nyinyi mnakuja mnawakatisha tamaa.

Zote hizi ni tamaa za maisha, mtu unataka kupendeza huna hela unaanza kuwa Jambazi.

Mtaumizwa…
Nae ataenda kukopwa huduma huko na mabaharia.
 
Habari zenu,

Juzi nilikuwa salon nikijipendezesha nywele zangu na kucha. Aliingia mdada mmoja yuko smart tu, kapendeza kisha akaulizia huduma za kusuka, then akaanzwa kwa kukwanguliwa mba, akaoshwa nywele kisha akachagua nywele ya kusuka na kuanzwa kusukwa.

Akaomba aende msalani so akaonywesha toi akaenda, hapa wengi mtadhania alitokomea but no! no! Alikwenda msalani na kisha kurudi kusukwa kuliendelea ikabakia mikia ya rasta kuwekwa maji ya moto but akasema anaenda msalani mara moja, dakika zikapita mara masaa, kwenda kumwangalia kumbe alishatokea kwa mlango wa nyuma na kusepa.

Mwenye salon kurudi ndani kuangalia kama aliacha chochote akaiona handbag ya rangi nyeupe na nyekundu, pochi yenyewe ilikuwa imechoka kuiangalia ndani hakuna kitu yani peupe ndani, Mwenye salon mbona alichoka.

Yani mtu ukwanguliwe mba, uoshe nywele kisha usukwe halafu ukimbie na pesa ya watu. Haikuishia hapo kumbe alikunywa na juice akisema, “nichukulieni na mimi juice tutakatana kwenye kusukana” Wadada jamani wacheni wizi, watu wanatafuta rizki nyinyi mnakuja mnawakatisha tamaa.

Zote hizi ni tamaa za maisha, mtu unataka kupendeza huna hela unaanza kuwa Jambazi.

Mtaumizwa…
Mara paap wakakutana kituo cha dala dala
 
Ndo wachumba zenu hao...muwape helaaa wanawaaibisha....mdada sio umchakate mpe na hela apendeze ukata unawafanya waibe...
Ila ni upuuzi wa kiwango cha lami yani kwanini upendeze kwa wizi unajisikiaje kwa mfano..
Na pia imeandikwa wapi ni lazima mpaka mwanamme akupe pesa ndio ujikimu kimaisha?kwamba imekuwa sheria ukilala na mtu au kuwa kwenye mahusiano na mtu basi akupe pesa,basi huo utakuwa Umalaya wa kujiuza mwili na hawa wanaume na wao nani awape pesa za kununua jeans?Au wao hawatakiwi kutunzwa?
 
Dah kaagiza na Juice🤣🤣🤣

Bora tuwe tuna peana taarifa kama hivi mambo yasijirudie
 
Habari zenu,

Juzi nilikuwa salon nikijipendezesha nywele zangu na kucha. Aliingia mdada mmoja yuko smart tu, kapendeza kisha akaulizia huduma za kusuka, then akaanzwa kwa kukwanguliwa mba, akaoshwa nywele kisha akachagua nywele ya kusuka na kuanzwa kusukwa.

Akaomba aende msalani so akaonywesha toi akaenda, hapa wengi mtadhania alitokomea but no! no! Alikwenda msalani na kisha kurudi kusukwa kuliendelea ikabakia mikia ya rasta kuwekwa maji ya moto but akasema anaenda msalani mara moja, dakika zikapita mara masaa, kwenda kumwangalia kumbe alishatokea kwa mlango wa nyuma na kusepa.

Mwenye salon kurudi ndani kuangalia kama aliacha chochote akaiona handbag ya rangi nyeupe na nyekundu, pochi yenyewe ilikuwa imechoka kuiangalia ndani hakuna kitu yani peupe ndani, Mwenye salon mbona alichoka.

Yani mtu ukwanguliwe mba, uoshe nywele kisha usukwe halafu ukimbie na pesa ya watu. Haikuishia hapo kumbe alikunywa na juice akisema, “nichukulieni na mimi juice tutakatana kwenye kusukana” Wadada jamani wacheni wizi, watu wanatafuta rizki nyinyi mnakuja mnawakatisha tamaa.

Zote hizi ni tamaa za maisha, mtu unataka kupendeza huna hela unaanza kuwa Jambazi.

Mtaumizwa…
Sio poaa, atakuja kulipa kwa njia 1 ama ingine
 
Back
Top Bottom