Wadada acheni wizi

Wadada wa mjini hao[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Gharama aliyotumia kusuka pamoja na rasta n shs ngap???
 
Hio n dsm???
 
😆 😆 😆 😆 😆
 
Ndo wachumba zenu hao...muwape helaaa wanawaaibisha....mdada sio umchakate mpe na hela apendeze ukata unawafanya waibe...
Ila ni upuuzi wa kiwango cha lami yani kwanini upendeze kwa wizi unajisikiaje kwa mfano..
 
Nae ataenda kukopwa huduma huko na mabaharia.
 
Mara paap wakakutana kituo cha dala dala
 
Ndo wachumba zenu hao...muwape helaaa wanawaaibisha....mdada sio umchakate mpe na hela apendeze ukata unawafanya waibe...
Ila ni upuuzi wa kiwango cha lami yani kwanini upendeze kwa wizi unajisikiaje kwa mfano..
Na pia imeandikwa wapi ni lazima mpaka mwanamme akupe pesa ndio ujikimu kimaisha?kwamba imekuwa sheria ukilala na mtu au kuwa kwenye mahusiano na mtu basi akupe pesa,basi huo utakuwa Umalaya wa kujiuza mwili na hawa wanaume na wao nani awape pesa za kununua jeans?Au wao hawatakiwi kutunzwa?
 
Dah kaagiza na Juice🤣🤣🤣

Bora tuwe tuna peana taarifa kama hivi mambo yasijirudie
 
Sio poaa, atakuja kulipa kwa njia 1 ama ingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…