Wadada hata kama ni mzuri jifunze kufanya kazi, uzuri hauliwi

My wife'z my all.. More than my family.. We have ours.. Though mechi moja mbili za mchangani hazikosi ..she 'z my all .... I do luv her to the extent ..that .. She is my everthing ...
Ingependeza kama mwanaume akitaka kuoa mke wa pili, ahakikishe amejenga nyumba ya mke mkubwa na watoto.
 
Ingependeza kama mwanaume akitaka kuoa mke wa pili, ahakikishe amejenga nyumba ya mke mkubwa na watoto.
We 'r limited ... Am not muslim .. Yet no all christians r saints .... Makosa yapo.. Lakini yupo yule ambaye kiimani ameapa kuwa nawe kwa shida na raha ..kiapo chake ndicho nami nimeapa ... Siwezi mdharau ama kumtendea baya ajue ..ntkafanya uzinzi wangu kama wanaume wote tulivyoumbwa na TAMAAA .. Sitomuonyesha wala kumdhihaki maumbile yake ambayo tumeyaleta sisi kwa kumzalisha na unyonyeshaji wake ...
 
Hivi wanaume mkishabadilisha mboga na J2 unakwenda kanisani na mke wako, unashiriki karamu ya Bwana. Muda wa kuungama mnaupata wapi?
 
Huo ni ukweli usiopingika.


Tena nawashauri, kina dada msichague kazi mradi ziwe za halali.
Sikuhizi wadada hata udereva na ukondakta wanafanya, zamani hizi zilikuwa kazi za wanaume.
 
Hivi wanaume mkishabadilisha mboga na J2 unakwenda kanisani na mke wako, unashiriki karamu ya Bwana. Muda wa kuungama mnaupata wapi?
Mechi ya za kirafiki zipo tu .... Na mnalijua hilo .. Hiviii mimbatumikable na baada yq uzazi ..unfikiri mmeo anauwa anapiga chafya tu pyeeeee .... Hamu Inaisha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…