Wadada hata kama ni mzuri jifunze kufanya kazi, uzuri hauliwi

Wadada hata kama ni mzuri jifunze kufanya kazi, uzuri hauliwi

Hii mama anakua nyumbani na jumuia unakwenda saa ngapi?
Usukumani huku .. Jumuiya ni jumanne na jumatano .. Ijumaaa jumamosi(asubui kuna kuwa na misa za shukrani) pia ni minada na magulio ... Hatusali siku hizo ... By the way mimi sio msukuma ... Ni mkwaya ... Nafanyia kazi tu huku .. Nawajua 11 yrs si haba
 
Huku kwetu jumuia tunasali Jumamosi kanisani baada ya misa ya asubuhi. Kila jumuia inabook chumba chao.
But I think is not a good idea

Kwangu mimi nafikiri tunatakiwa kuzifanya jumuia kua za mazingira yetu ili tufahamiane vizuri leo nikisali kwako kesho nasali kwa mwingine then siku nyingine kwangu hapo kutakua na maana halisi ya jumuia kuanzishwa

Lakini ninaona jumuiya kama zinahamishiwa kwenye mlengo wa vyama vya kitume wa kukutana mahali na kusali na kwenda makwetu
 
But I think is not a good idea

Kwangu mimi nafikiri tunatakiwa kuzifanya jumuia kua za mazingira yetu ili tufahamiane vizuri leo nikisali kwako kesho nasali kwa mwingine then siku nyingine kwangu hapo kutakua na maana halisi ya jumuia kuanzishwa

Lakini ninaona jumuiya kama zinahamishiwa kwenye mlengo wa vyama vya kitume wa kukutana mahali na kusali na kwenda makwetu
Tulipitia changamoto nyingi, wengine wanaishi kwenye chumba kimoja na familia hivyo kukaribisha watu kusali nyumbani ni ngumu. Wengine mwenyenyumba amempiga marufuku kume sala zinaharibu network system ya mwenyenyumba.

Hivyo uongozi wa kanisa uliamua kufanya hivi. Ni kweli ni kama tu vyama vya kitume.
 
Mbona walaji wa huo uzuri tupo..😅
Bwana wee...tena tunatesa miilinyetu ili tule huo uzuri.
Mwanamke mzuri na akaishia kuhangaika hapa duniani na kusoma mpaka masterz huyo kwangu ni zero iq
 
Tulipitia changamoto nyingi, wengine wanaishi kwenye chumba kimoja na familia hivyo kukaribisha watu kusali nyumbani ni ngumu. Wengine mwenyenyumba amempiga marufuku kume sala zinaharibu network system ya mwenyenyumba.

Hivyo uongozi wa kanisa uliamua kufanya hivi. Ni kweli ni kama tu vyama vya kitume.
Sawa sawa kama ni hivyo
 
We 'r limited ... Am not muslim .. Yet no all christians r saints .... Makosa yapo.. Lakini yupo yule ambaye kiimani ameapa kuwa nawe kwa shida na raha ..kiapo chake ndicho nami nimeapa ... Siwezi mdharau ama kumtendea baya ajue ..ntkafanya uzinzi wangu kama wanaume wote tulivyoumbwa na TAMAAA .. Sitomuonyesha wala kumdhihaki maumbile yake ambayo tumeyaleta sisi kwa kumzalisha na unyonyeshaji wake ...
Kumbe wanaume wameumbwa na tamaa ya uzinzi? Sikua najua hili.
Je wanawake wameumbwa na tamaa ya nini?
 
Back
Top Bottom