BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Nilikuwaga naingia operamin nafungua waptrick nadanlodi pilauu.....πIpogo mbona huyo mwamba wangu anafanyaga ivo sasa ila namshukuru kwasababu alinitoa gizani uku kuna kila kitu kosoro matusi tu
Mimi Mwanakijiji.Nanii alikufanya wewe ukajiunga humu JF?
Kuna waptrik na wapboom..Nilikuwaga naingia operamin nafungua waptrick nadanlodi pilauu.....
Operamini iheshimiwe, imetukuza sana.
Achaa kabisaaa, ilikuwa raha sana unajipakulia mamiziki kwa bando lako la jero..... daahhhKuna waptrik na wapboom..
ππππ
Unakuta nyimbo zimepangwa kwa nchi TANZANIA.... Unakutana na diyamond, Chidi benz
Sasa hvi waptrik ni hatari kwa afya aiseeeee.....Achaa kabisaaa, ilikuwa raha sana unajipakulia mamiziki kwa bando lako la jero..... daahhh
πππππNilikuwaga naingia operamin nafungua waptrick nadanlodi pilauu.....
Operamini iheshimiwe, imetukuza sana.
Waptrick bado ipo? πππππππSasa hvi waptrik ni hatari kwa afya aiseeeee.....
Alafu kuna tubidy
Bado ipo ila ni jau kuingia for security purposes haifaiWaptrick bado ipo? πππππππ
Member wote wa intelligence ndo wamenishawishi.... Akiwepo Baba Swalehe Kiranga Mshana Jr (sema mshana we jau sana.. nifanyie mpango nipate chaguo la moyo wangu mkuu)
Ila kwa sasa nina mpango wa kutoka huku jf kutokana na huyu BICHWA KOMWE - amekua akiniandama sana mpaka najuta sasa πππππππππ mana kuna siku nimefingua comment ya bichwa mbele ya mshangazi wangu... Akabaki akifumba mdomo tuu .. kila nikijitetea hakunielewa maana alijua na mimi ni mtu wa vin.....
Daaah hapo sasa naona ni jinsi gani na wewe ulikua mtu wa mishangazi ππππππ.....Shukurani mkuu.
Sifa ya Mshangazi ni kuwa mpole.
Akiwa mkali huyo ni bosi tu, si Mshangazi πππ
Hahaaa. Ujana maji ya moto.Daaah hapo sasa naona ni jinsi gani na wewe ulikua mtu wa mishangazi ππππππ.....
Kuna mda unakua hovyo sana wewe ππππππππππHahaaa. Ujana maji ya moto.
Mishangazi imebarikiwa na Mtume mwenyewe.
Haya maisha man kashapitia yote, ni sasa tu man katulia anaasa vijana.Kuna mda unakua hovyo sana wewe ππππππππππ
ππππ Man man una zingua ....Haya maisha man kashapitia yote, ni sasa tu man katulia anaasa vijana.
Man kashapitia lishangazi liimba taarab hapo ndani ya Mwananyamala.
Yani vitu viwili tofauti, kupata experience tu ya maisha tofauti.
Ila ukimuangalia man kwa uoga unamuona tu huyu jioni kisomo hajui kitu.
Hapana man hamjui Chado, naona unaniweka katikati πππππππ Man man una zingua ....
Ahahaha wee bana unamjua chado..?
Sasa hiyo flow yako unayotembea....Hapana man hamjui Chado, naona unaniweka katikati πππ
Hahaa, itabidi unioneshe huyo mtu.Sasa hiyo flow yako unayotembea....
Ni kama rafiki wa chado