Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Teh eeh bro nimefunga natafuta twisheni nije? 😀Mmefunga shule?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh eeh bro nimefunga natafuta twisheni nije? 😀Mmefunga shule?
Njoo madamTeh eeh bro nimefunga natafuta twisheni nije? 😀
habari heaven sent?Mpendwa mimi mbona nipo sana tu, ukiniita tu nimefika
[emoji137] [emoji137] [emoji137] [emoji137] [emoji137] [emoji137]
Mkuu Genta anauliza wewe ni me au ke??[emoji15]
hahahaha, huyo ndie haswa aliyeniambia habari za Jamboforums, alikuwa mtangazaji wa ITV kituo cha Arusha, Baadae akawa DC na sasa yuko Star TV. Bila huyo sikuwa na habari za Jamboforums ambayo sasa ndio hii Jamiiforums. Ahsante Nova Makunga kuniunganisha huku kwenye maraha JF[emoji137] [emoji137] [emoji137] [emoji137] [emoji137] [emoji137]
Salama kabisa mpendwahabari heaven sent?
Dah!!!.miss chagga, Evelyn Salt, Heaven Sent na Madam B hawa wadada walinifanya nicreate accnt JF ili nije kupambana nao huko mnakokuita PM ila nilivyojiunga tu nao wakapotea humu
Nanii alikufanya wewe ukajiunga humu JF?
umemsahau AshaDiii na Lala1miss chagga, Evelyn Salt, Heaven Sent na Madam B hawa wadada walinifanya nicreate accnt JF ili nije kupambana nao huko mnakokuita PM ila nilivyojiunga tu nao wakapotea humu
Nanii alikufanya wewe ukajiunga humu JF?
Operamin mpaka leo ipogo kumbe 😂😂😂kitamboAlie nifanya nijiunge uku chakushangaza yeye mwenyew hajawai kufungua account ya jamii forum.........yey huwa anatumia opera min.. anaingia bila ya kuwa na account atafatilia anachofatia akimaliza anapoa......ila kwenye hili jukwaa nimefunza vingi mno
Hahahaaa hebu hukooo!! mxxxiiieeeewMember wote wa intelligence ndo wamenishawishi.... Akiwepo Baba Swalehe Kiranga Mshana Jr (sema mshana we jau sana.. nifanyie mpango nipate chaguo la moyo wangu mkuu)
Ila kwa sasa nina mpango wa kutoka huku jf kutokana na huyu BICHWA KOMWE - amekua akiniandama sana mpaka najuta sasa 😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌 mana kuna siku nimefingua comment ya bichwa mbele ya mshangazi wangu... Akabaki akifumba mdomo tuu .. kila nikijitetea hakunielewa maana alijua na mimi ni mtu wa vin.....
😂Ipogo mbona huyo mwamba wangu anafanyaga ivo sasa ila namshukuru kwasababu alinitoa gizani uku kuna kila kitu kosoro matusi tuOperamin mpaka leo ipogo kumbe 😂😂😂kitambo
Weeeh bichwa huyooo...Hahahaaa hebu hukooo!! mxxxiiieeeew
Japo umechelewa sana kujiunga mkuu ,,,,😂Ipogo mbona huyo mwamba wangu anafanyaga ivo sasa ila namshukuru kwasababu alinitoa gizani uku kuna kila kitu kosoro matusi tu