dabluz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 2,456
- 1,672
Aaah mkuu we upo pande zipi JF? Hebu katiza mitaa ya JF vizuri uta yaona matako mengi tu. Mengine kama yana dondoka hivi na likes za kumwaga tu wanapata.Mimi ni upeo wangu wa kudiscus mambo ya msingi na pumba ndo ulinifanya nijiunge JF maana huku hutaona Agnes masogange akipost TAKO afu tu like.