Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
- #101
Mbona mguno?Mmmmh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mguno?Mmmmh
Nimeitikia sijaguna....like mmh ok sawaMbona mguno?
MSHANA Jr na mambo ya ulozi na utabibuMiss chagga,Evelyn salt,heaven sent na madame b..hawa wadada walinifanya nicreate accnt jf ili nije kupambana nao huko mnakukokuita pm ila nilivyojiunga tu nao wakapotea humu
Nanii alikufanya wewe ukajiunga humu jf?
Sawa mkuuNimeitikia sijaguna....like mmh ok sawa
Shauri zangu nn?Shauri zako...
Najua kila kitu unachoniambia hukosei hat kidogo NAKUPENDA natamka neno hili huku nikibubujikwa na machozi kujiuliza wew ni mwanamme wa aina gan kwenye hii dunia.Nilikupenda tangu mimba mkewangu mpenzi
Iwakeee tuNa Rudia Tena Kusema Haya Mahaba Yenu Mnayo Onyeshana
Nyumba Ya Pili Inawaka Moto Huko[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Iwakeee tu
Alafu hizi codes zako napata tabu kuzifungua[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12] Zipi Izo TenaAlafu hizi codes zako napata tabu kuzifungua
Fb wanatumia majina fake au ulikuwa ukifungua link wanazoambatanisha ndio unakuja kukutana na majina fake? Nidadavulie kidogo boss
Ina maana kumention hujui au?Miss chagga,Evelyn salt,heaven sent na madame b..hawa wadada walinifanya nicreate accnt jf ili nije kupambana nao huko mnakukokuita pm ila nilivyojiunga tu nao wakapotea humu
Nanii alikufanya wewe ukajiunga humu jf?
Nakupenda pia madameee....wape hi kinoIna maana kumention hujui au?
Najua kuna mada flani nilichangia ndiyo iliyopelekea ukashawishika.
Na mada ile ndio nilipata Pm zaidi ya mia ndani ya wiki, najua nawe ulivutiwa nayo.
But me nipo na nashukuru kwa kuwa kishawishi cha wewe kujiunga.
Nakupenda hazard cfc
Unataka watu watoe povuMimi Max aliniomba nijiunge.
I miss u!Mpendwa mimi mbona nipo sana tu, ukiniita tu nimefika
[emoji1] [emoji1] [emoji1]mi nimekua guest kwa muda sana lakini Dada Mambembe amenipa ushawishi wa first class kujiunga kamili