RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Ha ha ha nilikuwepo. Hebu ishia hapo mkuu.Dar hot wire ulikuwemo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha nilikuwepo. Hebu ishia hapo mkuu.Dar hot wire ulikuwemo?
Unaonekana una uzoefu wakutosha.Wamebadili ID ili kukwepa kuwachanganya wanaume wakware.
We ukiona umempa demu wa humu namba, afu haonyeshi ushirikiano, ujue hiyo namba ulishampa wakati anatumia ID nyingine, na ukampitia.
Hahahahaha.... haya bhana. Tooop!Ha ha ha nilikuwepo. Hebu ishia hapo mkuu.
Babu mm nilianzia DHW...watu wengi tuliokuwa DHW tuliingia jambo.Dar hot wire ulikuwemo?
Sasa kwanini nakuuliza swali afu unatoa siri zetu. Hapa JF ushakula mademu wangapi?Babu mm nilianzia DHW...watu wengi tuliokuwa DHW tuliingia jambo.
Lile ndio lilikuwa chimbo langu la kuchukulia mademu...Mpaka maraehemu Yona tulikuja kutofautiana huko
Sasa kwanini nakuuliza swali afu unatoa siri zetu. Hapa JF ushakula mademu wangapi?
Aisee watu wana id tatu tofautWamebadili ID ili kukwepa kuwachanganya wanaume wakware.
We ukiona umempa demu wa humu namba, afu haonyeshi ushirikiano, ujue hiyo namba ulishampa wakati anatumia ID nyingine, na ukampitia.
Kabla ya kuzeeka hapa JF ushakula wangapi?Siku hizi nmezeeka hayo mambo nmeacha....
Kabla ya kuzeeka hapa JF ushakula wangapi?
Fb wanatumia majina fake au ulikuwa ukifungua link wanazoambatanisha ndio unakuja kukutana na majina fake? Nidadavulie kidogo bossNilijiunga mwenyewe baada ya kufuatilia page ya JF ya FB na kuona watu wanajadili mada kwa uwazi bila woga huku wakitumia majina fake.
Ndio nikasema ngojaniitafute App nikaipata na kujisajili moja kwa moja.
Ila kabla ya hapo nilikuwa naisikia JF bila kujua kwa undani zaidi jinsi ilivyo.
Yona alikuwa anaongea yule mtu!Babu mm nilianzia DHW...watu wengi tuliokuwa DHW tuliingia jambo.
Lile ndio lilikuwa chimbo langu la kuchukulia mademu...Mpaka maraehemu Yona tulikuja kutofautiana huko
Weraa weraaa.. [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]adui mwombee njaa afweee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wivu sina, roho inauma.
Nilikupenda tangu mimba mkewangu mpenziTunguli zako zilinivutaaa mpaka Jf maan nilijiunga bila kuelewa moja kwa moja nikaenda kwenye thread za Mme wangu
Naomba leo uniambie ulinijua tangu nipo tumboni mwa mama mkwe wako.
Na Rudia Tena Kusema Haya Mahaba Yenu Mnayo OnyeshanaNilikupenda tangu mimba mkewangu mpenzi
Utasubiri sana we mchawi....Weraa weraaa.. [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]adui mwombee njaa afweee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kutokujuana ni mwanzo wa kujuanaaisee mimi bwana nilijiunga kwa sababu nilitaka tu kujiunga sasa dont get me wrong mkuu .....wewe kama ulikua radhi kupukutisha muda wako....kisa watu ambao huwajui ......like really......?