RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Kabla ya 2010.Since 2010? heshima yako mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya 2010.Since 2010? heshima yako mkuu
Hapana, najitambua tu.Wewe si MTU mkubwa.
[emoji119] [emoji119]Kabla ya 2010.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nisamehe Babu.
Babu umeamkaje??
Ahsante kwa kunisamehe Babu.Umesamehewa ila usirudie tena...
Mi ndo naenda kulala hivi sasa. Nikiamka ntakuambia nilivyoamka...
Tunguli zako zilinivutaaa mpaka Jf maan nilijiunga bila kuelewa moja kwa moja nikaenda kwenye thread za Mme wanguDah una bahati kubwa
Ahsante.. Ila ongea na haya majamaa yaache kufurumusha makombora... huku Sarajevo ili ulale vizuri shurti uwe kiziwi au uweke pamba masikioni.Ahsante kwa kunisamehe Babu.
Nakutakia njozi njema mubashara kabisa....
Shauri zako...Tunguli zako zilinivutaaa mpaka Jf maan nilijiunga bila kuelewa moja kwa moja nikaenda kwenye thread za Mme wangu
Naomba leo uniambie ulinijua tangu nipo tumboni mwa mama mkwe wako.
Sawa Babu nitafanya hivyoAhsante.. Ila ongea na haya majamaa yaache kufurumusha makombora... huku Sarajevo ili ulale vizuri shurti uwe kiziwi au uweke pamba masikioni.
Tupo....kama wewe hapo ID ni 2014 lakini unakumbuka Jambo Chat yaani ulikuwepo.Mmenifanya nikumbuke enzi za jambo tunachat huku dj anapiga mziki...mtu ambae namuona toka enzi hizo ni Malafyale tu.
Hongera sana kwa ndugu yangu Maxence kweli umepambana mpk leo JF imekuwa kubwa namna hii
Umesoma DIT?Hapana, najitambua tu.
Hapana.Umesoma DIT?
Tupo....kama wewe hapo ID ni 2014 lakini unakumbuka Jambo Chat yaani ulikuwepo.
Dar hot wire ulikuwemo?Tupo....kama wewe hapo ID ni 2014 lakini unakumbuka Jambo Chat yaani ulikuwepo.
Wamebadili ID ili kukwepa kuwachanganya wanaume wakware.Miss chagga,Evelyn salt,heaven sent na madame b..hawa wadada walinifanya nicreate accnt jf ili nije kupambana nao huko mnakukokuita pm ila nilivyojiunga tu nao wakapotea humu
Nanii alikufanya wewe ukajiunga humu jf?
Dar hot wire ulikuwemo?ID yangu ya kwanza niliachana nayo kuna mtu wa ofisini alijua nae alikuwepo humu nikaona anaifuatilia nikabadili.
Enzi za jambo ilikuwa raha sana..kina Tunu sijui wamepotelea wapi