Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mimi aisee.... Sidhani mkuuMember wote wa intelligence ndo wamenishawishi.... Akiwepo Baba Swalehe Kiranga Mshana Jr (sema mshana we jau sana.. nifanyie mpango nipate chaguo la moyo wangu mkuu)
Ila kwa sasa nina mpango wa kutoka huku jf kutokana na huyu BICHWA KOMWE - amekua akiniandama sana mpaka najuta sasa πππππππππ mana kuna siku nimefingua comment ya bichwa mbele ya mshangazi wangu... Akabaki akifumba mdomo tuu .. kila nikijitetea hakunielewa maana alijua na mimi ni mtu wa vin.....