Wadada hawa walinifanya nijiunge JamiiForums

Mimi aisee.... Sidhani mkuu
 
Mimi mtu wa mwakaleli mkuu

Huko wapi umekutaja ilkua miaka gani

Anhaa nmekumbuka kuna kipindi nlkua na akili ila nmerudi kukaa kwa shemeji akili hamna tena
Swalehe achukue akili zako tuu..
Ila ujanja ujanja wako huo aachane nao nahisi atasumbua sana dadek πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…