Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mimi aisee.... Sidhani mkuuMember wote wa intelligence ndo wamenishawishi.... Akiwepo Baba Swalehe Kiranga Mshana Jr (sema mshana we jau sana.. nifanyie mpango nipate chaguo la moyo wangu mkuu)
Ila kwa sasa nina mpango wa kutoka huku jf kutokana na huyu BICHWA KOMWE - amekua akiniandama sana mpaka najuta sasa πππππππππ mana kuna siku nimefingua comment ya bichwa mbele ya mshangazi wangu... Akabaki akifumba mdomo tuu .. kila nikijitetea hakunielewa maana alijua na mimi ni mtu wa vin.....
Wewe ndio mkuu ...Mimi aisee.... Sidhani mkuu
Mimi mtu wa mwakaleli mkuuWewe ndio mkuu ...
Swalehe achukue akili zako tuu..Mimi mtu wa mwakaleli mkuu
Huko wapi umekutaja ilkua miaka gani
Anhaa nmekumbuka kuna kipindi nlkua na akili ila nmerudi kukaa kwa shemeji akili hamna tena
Mkuu intelligence ndio wapi hukoSwalehe achukue akili zako tuu..
Ila ujanja ujanja wako huo aachane nao nahisi atasumbua sana dadek πππππππ