Baki kuwa...mpendwa mtazamaji!Juzi kati nikiwa mitaa flani nilimtokea mtoto mmoja mkali standard wight hivi.. yaani mtoto ana factor of safety(Shundu) flani cha kichokozi..
Mwanangu mtoto alikuwa na rangi flani ya mtume.. mwamba nikamuibukia.. katoto kakauliza "Khan Gari lako liko wapi??"
oya nilisinyaa kama barafu juani.. Gari jamani gari.. sasa swali langu kwa wadada je sisi wanaume ambao hatuna magari wala pesa tutumie mbinu gani kuwapata??
Wanaume Chukueni Notebook!🙂
Ndomanake!Pole..hata wewe??
Shemeji mamboUtaishia kutuita shemeji [emoji3][emoji3]
😀😀Aisee watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji, kwa sasa komaa tu na sie kina mwajuma ndala ndefu
Sasa mwanaume unaachwa na demu kisa huna pesa.. Badala ya kutafuta pesa unatafuta dem mwingineMbinu iliyopo ni kuachana na wadada na kufanya mambo mengine
Kuku wa kienyeji ndo wazuri btwAisee watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji, kwa sasa komaa tu na sie kina mwajuma ndala ndefu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuku wa kienyeji ndo wazuri btw
Hata mimi nini?Joanaha hata wewe
Mbona hata wewe mtoto mzuri bado mbichi tuAisee watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji, kwa sasa komaa tu na sie kina mwajuma ndala ndefu
Mbichi mimi? Nalea wajukuu ujueMbona hata wewe mtoto mzuri bado mbichi tu