maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,070
- 4,698
We ungekua me ungeweza?Mbinu iliyopo ni kuachana na wadada na kufanya mambo mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ungekua me ungeweza?Mbinu iliyopo ni kuachana na wadada na kufanya mambo mengine
Sie kina Mwajei hatunaga makuu, tukija kwako uko kwenye chumba kimoja self contained, una sabufa TV flat aisee tunakuona bonge la tajiriAta wewe mwajuma nakupataje maana sina hela?
Sie kina Mwajei hatunaga makuu, tukija kwako uko kwenye chumba kimoja self contained, una sabufa TV flat aisee tunakuona bonge la tajiri
Sasa kama hata hivyo huna nye.ge unatoa wapiAsa kwa sie ambao hata hivyo hatuna mnatusaidiaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ata mi sijui zinatoka wapi ila hapa nipo kuchukua mbinu koo kwa kunisaidia ungenipa mbinu ya kuwanyaka pesa isihusikeSasa kama hata hivyo huna nye.ge unatoa wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ata mi sijui zinatoka wapi ila hapa nipo kuchukua mbinu koo kwa kunisaidia ungenipa mbinu ya kuwanyaka pesa isihusike
Basi ilibidi ujibu hivo before maana uzi ndo ulitaka hivoHaiwezekani
Juzi kati nikiwa mitaa flani nilimtokea mtoto mmoja mkali standard wight hivi.. yaani mtoto ana factor of safety(Shundu) flani cha kichokozi..
Mwanangu mtoto alikuwa na rangi flani ya mtume.. mwamba nikamuibukia.. katoto kakauliza "Khan Gari lako liko wapi??"
oya nilisinyaa kama barafu juani.. Gari jamani gari.. sasa swali langu kwa wadada je sisi wanaume ambao hatuna magari wala pesa tutumie mbinu gani kuwapata??
Wanaume Chukueni Notebook!🙂
Basi ilibidi ujibu hivo before maana uzi ndo ulitaka hivo