Mwanambugulu
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 683
- 851
Factor of safety [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji, kwa sasa komaa tu na sie kina mwajuma ndala ndefu
Nimecheka sanaaaa khantweeeeee bwaaaanaAisee watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji, kwa sasa komaa tu na sie kina mwajuma ndala ndefu
[emoji16][emoji16][emoji16]ukawa mdogo ka piltonJuzi kati nikiwa mitaa flani nilimtokea mtoto mmoja mkali standard wight hivi.. yaani mtoto ana factor of safety(Shundu) flani cha kichokozi..
Mwanangu mtoto alikuwa na rangi flani ya mtume.. mwamba nikamuibukia.. katoto kakauliza "Khan Gari lako liko wapi??"
oya nilisinyaa kama barafu juani.. Gari jamani gari.. sasa swali langu kwa wadada je sisi wanaume ambao hatuna magari wala pesa tutumie mbinu gani kuwapata??
Wanaume Chukueni Notebook!🙂
Una mawazo mafupiJuzi kati nikiwa mitaa flani nilimtokea mtoto mmoja mkali standard wight hivi.. yaani mtoto ana factor of safety(Shundu) flani cha kichokozi..
Mwanangu mtoto alikuwa na rangi flani ya mtume.. mwamba nikamuibukia.. katoto kakauliza "Khan Gari lako liko wapi??"
oya nilisinyaa kama barafu juani.. Gari jamani gari.. sasa swali langu kwa wadada je sisi wanaume ambao hatuna magari wala pesa tutumie mbinu gani kuwapata??
Wanaume Chukueni Notebook!🙂
Naomba uwe Mpenzi wangu.. Mimi hela sina!Una mawazo mafupi
Inategemea unataka mwanamke wa namna gani, kama unataka malaya yes tafuta pesa ukamnunue ila kama unataka mke huhitaji kuwa na hela, unatakuwa kuwa matured enough to handle the wife, to be a farther and to take respinsibilities
Moyo wako tu, penda unapipendwa baba usipende usipopendwa utajikuta unaishia kuhonga tu na kulalamika hela
Sijui huwa mnakwama wapi...mentality ya kusema mpaka uwe na pesa ndio unampata mwanamke haina mantiki kabisa
Sisi pua tuna mioyo ya kupenda...sio kwamba tunataka ATM hapana
Try to be positive na utampata wa kufanana na wewe
"" huhitaji kuwa na hela, unatakiwa kuwa matured enough to handle the wife, to be a father and to take respinsibilities ""Una mawazo mafupi
Inategemea unataka mwanamke wa namna gani, kama unataka malaya yes tafuta pesa ukamnunue ila kama unataka mke huhitaji kuwa na hela, unatakuwa kuwa matured enough to handle the wife, to be a farther and to take respinsibilities
Moyo wako tu, penda unapipendwa baba usipende usipopendwa utajikuta unaishia kuhonga tu na kulalamika hela
Sijui huwa mnakwama wapi...mentality ya kusema mpaka uwe na pesa ndio unampata mwanamke haina mantiki kabisa
Sisi pua tuna mioyo ya kupenda...sio kwamba tunataka ATM hapana
Try to be positive na utampata wa kufanana na wewe
Mkuy kwani wewe hujishyghulishu na chochote? Maana kama unajishughulisha na chochote hata kama kipato ni kidogo basi mke ataridhika na kilichopo"" huhitaji kuwa na hela, unatakiwa kuwa matured enough to handle the wife, to be a father and to take respinsibilities ""
Bila pesa hapa inakuwaje madam?
-handle wife kna basic needs
-be a father stil basic needs
-take responsibilities ndo nuksi,kuanzia matumiz madgo,mimba na aftermath'
Naimagine bila pesa hapa
Si ndo pesa hizoMkuy kwani wewe hujishyghulishu na chochote? Maana kama unajishughulisha na chochote hata kama kipato ni kidogo basi mke ataridhika na kilichopo
Ndo ninayoitumia yaan nimekua mdogo kam piliton ila nikipata nguvu za kiume............Mbinu iliyopo ni kuachana na wadada na kufanya mambo mengine
Umeniwahi mkuu. Unipe mrejeshoNaomba uwe Mpenzi wangu.. Mimi hela sina!
Ata wewe mwajuma nakupataje maana sina hela?Aisee watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji, kwa sasa komaa tu na sie kina mwajuma ndala ndefu