Wadada hili vazi ni kwa ajili ya nini haswa?

Wadada hili vazi ni kwa ajili ya nini haswa?

Aah hizo bhana ukivaa its like hujavaa underwear, ikikaa vibaya kale kakamba kanakuumiza,

But ina faida zake pia, inamsisimua mwenza hasa kwa wenye big butt,

Inakupa muonekano mzuri kwa wale wanaovaa nguo zilizobana
Nimekupata mkuu sisi tunajua mkivaa ni fresh tu kumbe kuna maumivu tena. Lakini cha msingi ni kujua nn kinakufaa. Kuna aina fulani nikiona mwanamke kavaa alooo zinanibamba balaa. Zinakua kama zinavitobo tobo alafu hazifuniki trako lote linagawa mzigo nusu flani hivi basi mambo yanakua yedede 😂😂
 
Nimekupata mkuu sisi tunajua mkivaa ni fresh tu kumbe kuna maumivu tena. Lakini cha msingi ni kujua nn kinakufaa. Kuna aina fulani nikiona mwanamke kavaa alooo zinanibamba balaa. Zinakua kama zinavitobo tobo alafu hazifuniki trako lote linagawa mzigo nusu flani hivi basi mambo yanakua yedede 😂😂
Em ngoja nikipata off, nikazitafute kumbe unazipenda 😂😂😂
 
Back
Top Bottom