Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #21
Sana kipindi hicho nilikuwa tester hadi wakaoa lio seriousUmeshawahi kupendwa kweli wewe mrembo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana kipindi hicho nilikuwa tester hadi wakaoa lio seriousUmeshawahi kupendwa kweli wewe mrembo?
Wapi kwa wazungu nao wanaakili zao wameshasanukaHakuna cha kuchoka muafrika wala nini, waafrika tumejua wadada ni matapeli na ndoa ni wizi wizi tuu.
Sasa mkaolewe huko .
Sasa unalia kwani ulitakajeNenda kwa mzungu tu hatutakulaumu , wacha ngozi nyeusi tuzuge humu , hatuwezi kosa
Ni kweli ila kwa wewe ungeoa nani hapo ndio point yanguWazee wa kizungu wamechoka na tamaa za waafrika kwa kuomba omba, mara watoto wa Shanghazi wanataka ada mara kuna njaa nyumbani, mara mama mgonjwa yaani ni shida zisizoisha
Mnageuza watu Charities
Hapo Mhindi hana ujinga huo na mwanaume wa nyumbani hizo hela za kulea familia 10 anapata wapi wa kwao tu wanamshinda
Wanawake fanyeni kazi acheni kuwa tegemezi milele mpaka vijana wanawaogopa
Mada za kibaguzi hizi! Penzi ni penzi kwa nini unaingiza ukabila? Halafu watu mkiambiwa watanzania wengi ni wabaguzi mnanuna!Mada mumeona kwa roho nyeupe nani akikutamkia ndoa unakubali akuoe, ??.
1. Mhindi
2. Mzungu
3. Muafrika
Mie kwangu naangalia upendo na mzungu kama nikiambiwa anioe nakubali tu . Ila muafrika nimemchoka hata wahindi hawana msimamo.
Je nyie mkiwa mmepata hao watu 3 utamchagua nani akuoe JamiiForums
UlitakajeMada za kibaguzi hizi! Penzi ni penzi kwa nini unaingiza ukabila? Halafu watu mkiambiwa watanzania wengi ni wabaguzi mnanuna!
Vizuri kama ni hivyo....me mzima ciccy unaendeleaje 🤗🤗Moe nimetoka huko leo nimewapa nafasi mie nilishajijibia hapo juu kipenzi mwaya mzima??
Poa tu aiseeVizuri kama ni hivyo....me mzima ciccy unaendeleaje 🤗🤗
Nina waafrika wawili wanaojielewa na watoto dozenNi kweli ila kwa wewe ungeoa nani hapo ndio point yangu
Sawa me nipo kipenzi changuPoa tu aisee